si yeye , atakuwa alifanyiwa mambo ya kiswahili, sio kitu cha kawaida rais kwenda vitani frontHuyo alijitakia mwenyewe kifo. Unatawala kidikteta kwa miaka 30, unafanya uchaguzi wa maigizo na kujitangazia ushindi kibabe, una maadui kibao wa ndani, bado unakwenda battlefront kufuata nini?
Mwanakulitafuta mwanakulipata
Unaongaea utadhani tunafahamiana. Wengine wala hatutegemei upepo wa kisiasa ndio tufanikiwe chief. Hata hilo jiwe lenu lingetawala mileleNinyi mlioshindwa kupiga maisha enzi za Jiwe ndio MNA hasira sana. Tunajua kufuata uwelekeo wa upepo tulidunda kwa Che Nkapa, tulidunda kwa JK, tukatusua kwa Jiwe na sasa tunaangalia upepo wa Mama unaelekea wapi ili twende nao. Wewe baki na hasira za Mkizi. Jiwe, Jiwe! Hukumfanya kitu akiwa hai na HUWEZI kumfanya kitu akiwa Hayati. AND THIS IS A FACT OF LIFE!
Mwaka wa madikteta huu mpaka Jiwe limekufa sijawahi kuona aiseee .huyu wa CHAD kafa kiboya kweli hana tofauti na NKurunzinza
Hakuna mtu katika ulimwengu wa kibinadamu aliyewahi kufanikiwa bila kufuata upepo wa kisiasa. Lakini sikushangai, inawezekana nimeongea kwa context iliyo nje na upepo wako wa kuelewa.Unaongaea utadhani tunafahamiana. Wengine wala hatutegemei upepo wa kisiasa ndio tufanikiwe chief. Hata hilo jiwe lenu lingetawala milele
Jiwe alipenda sana kutukuzwa na kukuzwaMwaka wa madikteta huu mpaka Jiwe limekufa sijawahi kuona aiseee .
Hakuna mtu!!! Ulimwenguni!!! Umeishi kwa favour za kisiasa mpaka umelemaa ubongo chief.Hakuna mtu katika ulimwengu wa kibinadamu aliyewahi kufanikiwa bila kufuata upepo wa kisiasa. Lakini sikushangai, inawezekana nimeongea kwa context iliyo nje na upepo wako wa kuelewa.
Vizuri, basi tulia tuli ishu za chadema waachie wanachadema. Pole kwa msiba wa Jiwe.Mimi ni Staunch CCM Member!
Inaonekana ni mwanae, lakini wacha wafe huyo Derby nchi ina gesi mafuta, lakini fedha zote anaweka Ulaya Nchi ni masikini wa kutupa
Nitabadilisha ukweli kwamba jamaa kwa sasa ni mkuu wa malaika?Kazi imaendelea ila wewe uko mitandaoni unademka unafikiri kuna kitu utabadilisha?
Ntaryamira=Ntayaramirwa; mbona la Habyarimana umepatia???????πππππππππππππππππππππMauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Una uhakika?
Una uhakika?
MayarditNtaryamira=Ntayaramirwa; mbona la Habyarimana umepatia???????πππππππππππππππππππππ
Vipi Salva Kir
Kwa hiyo Roho imekuuma sana huyo chawa wa Chad kufa? Ma Rais Pumbavu Kama huyo kenge wa Chad acha wafe tuAngalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza. Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa Kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Kama roho inakuuma na wewe kufa Tu,no way...we don't entertain foolsManeno gani haya?
Son of gun, keep silenceKama roho inakuuma na wewe kufa Tu,no way...we don't entertain fools
Wewe ukifa utajulikana wapi? Japo kakosea, Ungemuasa vizuri tu ungeonekana wa maana.Ngoma imebaki kwako. Hata ukifa, hakuna atakayejua humu. Huwenda hata majirani zako hawatajua! Ahahahahahahah! Poor you!!!!
Ameshindwa kujifunza kwa shujaa mwenzake. Mara nyingi anguko la shujaa huwa la aibu. Rejea Samson, Okonkwo na hata shujaa na mwamba wa Afrika ambaye anguko lake lilimkuta ofisini akiwa anachapa kazi. Hiiiiiiiiiiiiiiii....bhaghosha.Usijiamini sana mkuu ukajiona wewe ndo mwenye akili. Maisha hugeuka. Leo upo juu kesho upo chini. Usidharau watu ukajiona wewe ndo mjanja. Maisha hayana mshindi. Jifunze kuwa humble,la sivyo maisha yatakufanya kitu mbaya sana
Ongezea na mwamba wa Afrika mpinga ubeberu.huyu wa CHAD kafa kiboya kweli hana tofauti na NKurunzinza