Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸

Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine.

Wiki kadhaa zimepita tangu kurejea kwa mapigano mapya pale Gaza mara baada ya makubaliano ya kusitisha kwa muda mapigano hayo kumalizika.

Tangu kurejea kwa mapigano mapya,

Ni takribani wiki kadhaa Jeshi la Israeli halijafanikiwa malengo yake Gaza pamoja na kubana vyombo vya habari kuifahamisha dunia wameishia kuwauwa waandishi hawa habari hapa Gaza kama wanavyouwa watoto na raia wasiokuwa na hatia yetote.

Kinyume na matarajio yao, awamu hii wamepata madhara makubwa kuliko kawaida ndiyi maana hadi Uongozi wa Jeshi lao umetangaza vifo pamoja na majeruhi wengi waliopatikana hivi karibuni uwa ni ngumu kutangaza mpaka wameamua kutangaza hesabu za kisiasa basi hali ni tete Gaza.

Taarifa hizi wala siyo propaganda, hatuandiki kuwafurahisha watu bali tunaleta uhalisia uliopo ambao ni ngumu kuupata mbele ya media zinazotawala dunia kama CNN, BBC, FOX NEWS na media zingine za magharibi.

Kwa nini Jeshi la Israeli linapata sana madhara kwenye operesheni ya nchi kavu pale Gaza?

Hamas wametawala na kutawanyika kila kona ya Gaza, kwa lugha rahisi unaweza kusema rada zao zinawachora tu wanajeshi wa taifa teule.

Kila hatua ambayo wanajeshi wa Israeli wanadiriki kuipiga kwa kuingia Gaza, ni kama vile wanakuwa wameingia kwenye tanuri la moto.

Kubwa zaidi ni mbinu hatari inayotumiwa na Hamas katika kupambana na wanajeshi wa Israeli.

Jamaa wameweka Wadunguaji (Snipers) kwenye maeneo mbalimbali ya Gaza, kila hatua moja ambayo wanajeshi wa Israeli wanaipiga, wanapoteza wanajeshi wengi sana na wengi wamebaki vilema vya maisha.

Ndiyo maana hivi karibuni idadi ya vifo vyao imeongezeka kuliko kawaida.

Ogopa sana kwenda kufanya vurugu kwenye uwanja wa nyumbani wa adui yako, wenzako wanayajua machaka ambayo wakijificha wewe huwezi kuyajua, ndicho kinachowakuta wanajeshi wa Israeli kwa sasa.

Wadunguaji wa Hamas wamejificha na Mashine zao, jamaa wakitoka tu kwenye vifaru vyao, wanachapwa za vichwa kisha Hamas wanapotea kama mizimu.

Huo ndo uhalisia uliopo pale Gaza, nadhani sasa utakuwa umepata picha kamili.

Wanachofanya sasa hivi ni hasira kufanya mashambulizi holela hawajui malengo ya vita ni yapi.

Hii leo ….

View: https://x.com/warintel4u/status/1738853337477300353?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Vita ya siku hizi imebadilika sana..siyo ile ya kizamani can you imagine Mmarekani na coallition yake wameogopa kuivamia Yemen. Vita ya siku hizi unapiga na mtu usiyemjua..watu wanakusakizia week oponent ukiingia kichwa kichwa kumbe kuna watu wenye nguvu nyuma yake. Jeshi la Israel lipo overated ni jeshi ambalo linaweza kupambana na mtu alitefungwa kamba mikono yote na siyo mtu anayeweza rudisha mapigo, same to marekani na wenzake.
 
Wanakumbi.

VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸

Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine.

Wiki kadhaa zimepita tangu kurejea kwa mapigano mapya pale Gaza mara baada ya makubaliano ya kusitisha kwa muda mapigano hayo kumalizika.

Tangu kurejea kwa mapigano mapya,

Ni takribani wiki kadhaa Jeshi la Israeli halijafanikiwa malengo yake Gaza pamoja na kubana vyombo vya habari kuifahamisha dunia wameishia kuwauwa waandishi hawa habari hapa Gaza kama wanavyouwa watoto na raia wasiokuwa na hatia yetote.

Kinyume na matarajio yao, awamu hii wamepata madhara makubwa kuliko kawaida ndiyi maana hadi Uongozi wa Jeshi lao umetangaza vifo pamoja na majeruhi wengi waliopatikana hivi karibuni uwa ni ngumu kutangaza mpaka wameamua kutangaza hesabu za kisiasa basi hali ni tete Gaza.

Taarifa hizi wala siyo propaganda, hatuandiki kuwafurahisha watu bali tunaleta uhalisia uliopo ambao ni ngumu kuupata mbele ya media zinazotawala dunia kama CNN, BBC, FOX NEWS na media zingine za magharibi.

Kwa nini Jeshi la Israeli linapata sana madhara kwenye operesheni ya nchi kavu pale Gaza?

Hamas wametawala na kutawanyika kila kona ya Gaza, kwa lugha rahisi unaweza kusema rada zao zinawachora tu wanajeshi wa taifa teule.

Kila hatua ambayo wanajeshi wa Israeli wanadiriki kuipiga kwa kuingia Gaza, ni kama vile wanakuwa wameingia kwenye tanuri la moto.

Kubwa zaidi ni mbinu hatari inayotumiwa na Hamas katika kupambana na wanajeshi wa Israeli.

Jamaa wameweka Wadunguaji (Snipers) kwenye maeneo mbalimbali ya Gaza, kila hatua moja ambayo wanajeshi wa Israeli wanaipiga, wanapoteza wanajeshi wengi sana na wengi wamebaki vilema vya maisha.

Ndiyo maana hivi karibuni idadi ya vifo vyao imeongezeka kuliko kawaida.

Ogopa sana kwenda kufanya vurugu kwenye uwanja wa nyumbani wa adui yako, wenzako wanayajua machaka ambayo wakijificha wewe huwezi kuyajua, ndicho kinachowakuta wanajeshi wa Israeli kwa sasa.

Wadunguaji wa Hamas wamejificha na Mashine zao, jamaa wakitoka tu kwenye vifaru vyao, wanachapwa za vichwa kisha Hamas wanapotea kama mizimu.

Huo ndo uhalisia uliopo pale Gaza, nadhani sasa utakuwa umepata picha kamili.

Wanachofanya sasa hivi ni hasira kufanya mashambulizi holela hawajui malengo ya vita ni yapi.

Hii leo ….

View: https://x.com/warintel4u/status/1738853337477300353?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wewe tulia tu, waache waendelee kuchapana.
 
Zamani tuliaminishwa kuwa jeshi la israel ni hatari nakumbuka Waziri Mkuu wa Israel, Waziri wa Ulinzi kabla vita yale maneno yao unaweza kukimbia.

Walisema wanaenda kufuta Hamas na itakuwa mfano kundi lolote aliwezi kuisongelea Israel lakini tumeona kinyume chake….

Israeli military vehicle in Gaza…

Hiyo Jeep hajatoka mtu daaah
 
🇮🇱EX-OFFICIAL TO GALLANT: STOP YOUR "WAR PROPAGANDA"

"Despite Gaza's destruction, we appeared weak, unable to defend ourselves without American aid... Gallant's statements are meaningless war propaganda."

Ex-Israeli Deputy Chief of Staff, Yair Golan, urges a truthful approach with Hamas, criticizing current Israeli tactics.


Source: Al Jazeera
 

Attachments

  • IMG_8490.jpeg
    IMG_8490.jpeg
    37.5 KB · Views: 3
  • IMG_8489.jpeg
    IMG_8489.jpeg
    18.4 KB · Views: 3
⚡️| 🌍 BIG SUMMARY of all resistance operations today, December 23, against (US)-israeli forces

— 🇵🇸 Al-Qassam Brigades:

🔻A total of ~50 israeli soldiers were either killed/wounded today.

🔻Inflicted significant casualties among IOF soldiers, both killed and wounded, in the Jabaliya Al-Balad area north of Gaza, using explosive devices, Yasin-105s & "TBG" anti-personnel and fortification explosives.

🔻Detonated an explosive-laden tunnel targeting a special israeli force in the Juhr Al-Dik area, also targeting their rescue forces with heavy-caliber mortars, causing casualties.

🔻Ambushed & engaged 4 IOF soldiers from point-blank range in the Qassasib neighborhood in Jabaliya Camp.

🔻Destroyed 5 Merkava tanks, killing & injuring all crew members, by repurposing two unexploded 2-ton bombs dropped by IOF warplanes.

🔻Shelled IOF field command rooms in the southern axis of Gaza City with heavy-caliber mortars.

🔻Targeted 2 military vehicles with Yasin-105s in Sheikh Radwan neighborhood, Gaza City.

🔻Ambushed an IOF soldier at point-blank range in Sheikh Radwan neighborhood, Gaza City.

🔻Ambushed 4 military jeeps in a well-prepared ambush in the Juhr Al-Dik area, using explosive devices, resulting in crushing the force and killing all its members. Additionally, a Merkava tank rushing to the scene was also destroyed by a Yasin 105. The rescue & evacuation forces in the operation area were also targeted with the "Rajoom" rockets and heavy-caliber mortars.

🔻Destroyed an IOF armored personnel carrier (APC) with a Yassin-105, north of Khan Yunis, causing it to catch fire.

🔻 Succesfully targeted 2 IOF soldiers with an RPG in Khan Yunis, resulting in their immediate death and turning them into pieces.

🔻Shelled an IOF army gathering east of Khan Yunis with mortars.

🔻Targeted an IOF infantry force with an anti-personnel and other explosive devices, finishing off using machine guns, causing casualties between killed and wounded east of the Juhr Al-Dik area.

🔻Targeted the infiltrated forces in the Juhr Al-Dik area, with the "Rajoom" 114mm short-range rockets

— 🇵🇸 Al-Quds Brigades:

🔻Shelled military vehicle movements east of Rafah with heavy-caliber mortars, causing direct and confirmed hits.

🔻Targeted a Merkava tank with a "Tandem" rocket, around the Abu Sharakh roundabout in the northern axis of Gaza.

🔻Shelled military concentrations in the Umm Al-Mahd area east of Khan Yunis with heavy-caliber 60mm mortars.

🔻Shelled military concentrations in the Zanna’a area, east of Khan Yunis, with mortars.

🔻Shelled an IOF field command center in the Zanna’a area east of Khan Yunis with mortars.

🔻Shelled military vehicles, east of Rafah, with a barrage of mortars of various of other types of rockets, including Badr-1 IRAM rockets.

— 🇵🇸 Martyr Omar Al-Qassem forces:

🔻Clashed with israeli soldiers in the central axis of Khan Younis, firing an anti-personnel RPGs, hitting them directly.

🔻Clashed with the israeli soldiers that infiltrated Abu Holi Street, and managed to launch several mortars at "Kissufim."

🔻Clashed with invasion forces in central Khan Younis, using automatic rifles, hand grenades, anti-tank weapons, and explosive devices, successfully killing a number of IOF soldiers. The fighters withdrew safely.

🔻Ambushed IOF forces in Sheikh Radwan neighborhood, north of the Gaza Strip, using machine guns & anti-tank rockets, forcing them to retreat and call for heavy artillery support, but their forces withdrew to their bases after inflicting severe losses.

— 🇵🇸 Al-Aqsa Martyrs Brigades:

🔻Blew up 2 IOF military vehicles in the Sheikh Radwan neighborhood in Gaza City.

🔻Shelled a gathering of IOF tanks, east of Khan Younis with 120mm mortars.

🔻Clashed with the IOF forces in the Al-Balad axis, in the center of Khan Younis, with heavy barrages of bullets and RPGs.

— 🇵🇸 Martyr Abu Ali Mustafa Brigades:

🔻Clashed with IOF forces penetrating the eastern Jabalia al-Balad axis in northern Gaza.
 

Attachments

  • IMG_8492.jpeg
    IMG_8492.jpeg
    41.5 KB · Views: 3
Nikiwa Kama muwakilishi wa wayahudi uchwara kutoka hapa tinde nasema hivi saiv mnatumia majini kutuua

View: https://youtube.com/shorts/dKcdxsn2JBw?si=JpdHVRRG3l3oZXBw

Bado tu hampati akili? Qur'an inawambieni Yesu kawambieni Mungu wetu ni mmoja tu, kwanini Yesu asema Mungu wetu ni mmoja tu, na wewe mkristo umuite Yesu ni Mungu.

Hamasi piga hao nguruwe walio laniwa wanao jiita wa Israel, katika kizazi cha Yokobo, na uwape ushindi wa Palestine u
sababu ni Wajukuu wa Yakobo wasio kufuru.
 
Wanakumbi.

VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸

Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine.

Wiki kadhaa zimepita tangu kurejea kwa mapigano mapya pale Gaza mara baada ya makubaliano ya kusitisha kwa muda mapigano hayo kumalizika.

Tangu kurejea kwa mapigano mapya,

Ni takribani wiki kadhaa Jeshi la Israeli halijafanikiwa malengo yake Gaza pamoja na kubana vyombo vya habari kuifahamisha dunia wameishia kuwauwa waandishi hawa habari hapa Gaza kama wanavyouwa watoto na raia wasiokuwa na hatia yetote.

Kinyume na matarajio yao, awamu hii wamepata madhara makubwa kuliko kawaida ndiyi maana hadi Uongozi wa Jeshi lao umetangaza vifo pamoja na majeruhi wengi waliopatikana hivi karibuni uwa ni ngumu kutangaza mpaka wameamua kutangaza hesabu za kisiasa basi hali ni tete Gaza.

Taarifa hizi wala siyo propaganda, hatuandiki kuwafurahisha watu bali tunaleta uhalisia uliopo ambao ni ngumu kuupata mbele ya media zinazotawala dunia kama CNN, BBC, FOX NEWS na media zingine za magharibi.

Kwa nini Jeshi la Israeli linapata sana madhara kwenye operesheni ya nchi kavu pale Gaza?

Hamas wametawala na kutawanyika kila kona ya Gaza, kwa lugha rahisi unaweza kusema rada zao zinawachora tu wanajeshi wa taifa teule.

Kila hatua ambayo wanajeshi wa Israeli wanadiriki kuipiga kwa kuingia Gaza, ni kama vile wanakuwa wameingia kwenye tanuri la moto.

Kubwa zaidi ni mbinu hatari inayotumiwa na Hamas katika kupambana na wanajeshi wa Israeli.

Jamaa wameweka Wadunguaji (Snipers) kwenye maeneo mbalimbali ya Gaza, kila hatua moja ambayo wanajeshi wa Israeli wanaipiga, wanapoteza wanajeshi wengi sana na wengi wamebaki vilema vya maisha.

Ndiyo maana hivi karibuni idadi ya vifo vyao imeongezeka kuliko kawaida.

Ogopa sana kwenda kufanya vurugu kwenye uwanja wa nyumbani wa adui yako, wenzako wanayajua machaka ambayo wakijificha wewe huwezi kuyajua, ndicho kinachowakuta wanajeshi wa Israeli kwa sasa.

Wadunguaji wa Hamas wamejificha na Mashine zao, jamaa wakitoka tu kwenye vifaru vyao, wanachapwa za vichwa kisha Hamas wanapotea kama mizimu.

Huo ndo uhalisia uliopo pale Gaza, nadhani sasa utakuwa umepata picha kamili.

Wanachofanya sasa hivi ni hasira kufanya mashambulizi holela hawajui malengo ya vita ni yapi.

Hii leo ….

View: https://x.com/warintel4u/status/1738853337477300353?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 

Attachments

  • Screenshot_20231224-143457~2.png
    Screenshot_20231224-143457~2.png
    31 KB · Views: 4
Back
Top Bottom