Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Attachments

  • IMG_8497.jpeg
    IMG_8497.jpeg
    55.5 KB · Views: 2
Vita ya siku hizi imebadilika sana..siyo ile ya kizamani can you imagine Mmarekani na coallition yake wameogopa kuivamia Yemen. Vita ya siku hizi unapiga na mtu usiyemjua..watu wanakusakizia week oponent ukiingia kichwa kichwa kumbe kuna watu wenye nguvu nyuma yake. Jeshi la Israel lipo overated ni jeshi ambalo linaweza kupambana na mtu alitefungwa kamba mikono yote na siyo mtu anayeweza rudisha mapigo, same to marekani na wenzake.
Ndio maana nawaheshimu sana warusi coz hawaogopi na wanaenda wenyewe
 
Mataifa ya uarabu sijui kwanini hawasaidii raia pale palestine.

Hamas hakuna anachoweza kutetea zaidi ya kujificha tu.

Ingependeza nchi za kiarabu zikaruhusu raia watoke waombe ukimbizi hata kwa muda kwa nchi za karibuni

Hakuna mtu atalalamika wapigane atakayeshindwa dunia itaona. Haya mambo ya kubadilishana mara wanakufa, mara wanaona maajabu kila mtu na propaganda zake.
 
Mataifa ya uarabu sijui kwanini hawasaidii raia pale palestine.

Hamas hakuna anachoweza kutetea zaidi ya kujificha tu.

Ingependeza nchi za kiarabu zikaruhusu raia watoke waombe ukimbizi hata kwa muda kwa nchi za karibuni

Hakuna mtu atalalamika wapigane atakayeshindwa dunia itaona. Haya mambo ya kubadilishana mara wanakufa, mara wanaona maajabu kila mtu na propaganda zake.
Ukimbizi ni mtego ambao hawawezi uingia, wakitoka kurudi inaweza ikawa ndo basi tena, acha kiendelee kuwaka tu,

Kitu nachoogopa hii ruti ya rwd sea serikali isije ikaanza leta utata kwa kisingizio kipya vita ya wayemeni imepandisha bei
 
Ukimbizi ni mtego ambao hawawezi uingia, wakitoka kurudi inaweza ikawa ndo basi tena, acha kiendelee kuwaka tu,

Kitu nachoogopa hii ruti ya rwd sea serikali isije ikaanza leta utata kwa kisingizio kipya vita ya wayemeni imepandisha bei
Inatia huruma sana mkuu.

Worst enough wanaojiita freedom fighters hawawezi kulinda hata raia mmoja.

Ni nani aliwapa hii plan ya kufanya shambulio bila kufikiri unalinda vipi raia?
 
Mataifa ya uarabu sijui kwanini hawasaidii raia pale palestine.

Hamas hakuna anachoweza kutetea zaidi ya kujificha tu.

Ingependeza nchi za kiarabu zikaruhusu raia watoke waombe ukimbizi hata kwa muda kwa nchi za karibuni

Hakuna mtu atalalamika wapigane atakayeshindwa dunia itaona. Haya mambo ya kubadilishana mara wanakufa, mara wanaona maajabu kila mtu na propaganda zake.
🤣 🤣 🤣
Poleni sana pambaneni kwanza na hamas acheni kulia
Suala la kuomba ukimbizi hawalitaki wameridhia kuishi kwenye shida wanajua kheri kwao ipo njiani
Hamas pigeni kazi
 
🤣 🤣 🤣
Poleni sana pambaneni kwanza na hamas acheni kulia
Suala la kuomba ukimbizi hawalitaki wameridhia kuishi kwenye shida wanajua kheri kwao ipo njiani
Hamas pigeni kazi
Nani karidhia kuishi kwenye shida?
Ni wameridhia au hakuna alternative?

Poleni sana? Wakina nani?

Mbona unashindwa kujielezea mkuu? Au umeninukuu vbaya?
 
Hivi hizi habari unatoaga wapi make israel inachapika afu dunia nzima inandamana kuionea huruma palestina hii ni ajabu. Nikiangalia aljazira na maongezi yako naona vituko tu
Natoaga wapi kwani video huzioni?

Sidhani kama watu wanapiga Israel kupigana na Hamas bali wanacho pinga ni mauaji ya kiholela dhidi ya raia.
 
The desire for wisdom and understanding, even among Palestinian children, reflects a universal longing for knowledge and the profound significance of independence. 🌍🕊️ #QuestForWisdom #IndependenceForAll
 
Back
Top Bottom