Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Zamani tuliaminishwa kuwa jeshi la israel ni hatari nakumbuka Waziri Mkuu wa Israel, Waziri wa Ulinzi kabla vita yale maneno yao unaweza kukimbia.

Walisema wanaenda kufuta Hamas na itakuwa mfano kundi lolote aliwezi kuisongelea Israel lakini tumeona kinyume chake….

Israeli military vehicle in Gaza…

Hiyo Jeep hajatoka mtu daaah
View attachment 2851485
Kazi nzuri mpk mizayuni ikimbie
 

Source: Aljazeera

Abu Obaida, The spokesman of the clerics of the brigades:
🔻Mujahideen managed to destroy 35 military machines in whole or in part and killed 48 zionist soldiers and injured dozens in the last 4 days 🔻Mujahideen carried out 24 military missions, including zero-range clashes and bombarded headquarters and field command rooms with mortar missiles and short term missiles during the past four days.

Kwa msaada wa Google 👇

Abu Obaida, Msemaji wa maulama wa brigedi:
🔻Mujahidina alifanikiwa kuangamiza mashine 35 za kijeshi zikiwa nzima au sehemu yake na kuua wanajeshi 48 wa Kizayuni na kujeruhi makumi katika siku 4 zilizopita
🔻Mujahidina walifanya kazi 24 za kijeshi zikiwemo mapigano ya masafa sifuri na kushambulia makao makuu. na vyumba vya amri vya shamba vilivyo na makombora ya chokaa na makombora ya muda mfupi katika siku nne zilizopita.

AL HAMDULILLAH

Source: @Aljazeeramubasher
 
Umeingiza faida kiasi gani kwa bandiko hili? Kumbuka kesho xmass .... na wapalestina wanaomba poo ili wapate mahitaji muhimu
 
Wanakumbi.

VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸

Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine.

Wiki kadhaa zimepita tangu kurejea kwa mapigano mapya pale Gaza mara baada ya makubaliano ya kusitisha kwa muda mapigano hayo kumalizika.

Tangu kurejea kwa mapigano mapya,

Ni takribani wiki kadhaa Jeshi la Israeli halijafanikiwa malengo yake Gaza pamoja na kubana vyombo vya habari kuifahamisha dunia wameishia kuwauwa waandishi hawa habari hapa Gaza kama wanavyouwa watoto na raia wasiokuwa na hatia yetote.

Kinyume na matarajio yao, awamu hii wamepata madhara makubwa kuliko kawaida ndiyi maana hadi Uongozi wa Jeshi lao umetangaza vifo pamoja na majeruhi wengi waliopatikana hivi karibuni uwa ni ngumu kutangaza mpaka wameamua kutangaza hesabu za kisiasa basi hali ni tete Gaza.

Taarifa hizi wala siyo propaganda, hatuandiki kuwafurahisha watu bali tunaleta uhalisia uliopo ambao ni ngumu kuupata mbele ya media zinazotawala dunia kama CNN, BBC, FOX NEWS na media zingine za magharibi.

Kwa nini Jeshi la Israeli linapata sana madhara kwenye operesheni ya nchi kavu pale Gaza?

Hamas wametawala na kutawanyika kila kona ya Gaza, kwa lugha rahisi unaweza kusema rada zao zinawachora tu wanajeshi wa taifa teule.

Kila hatua ambayo wanajeshi wa Israeli wanadiriki kuipiga kwa kuingia Gaza, ni kama vile wanakuwa wameingia kwenye tanuri la moto.

Kubwa zaidi ni mbinu hatari inayotumiwa na Hamas katika kupambana na wanajeshi wa Israeli.

Jamaa wameweka Wadunguaji (Snipers) kwenye maeneo mbalimbali ya Gaza, kila hatua moja ambayo wanajeshi wa Israeli wanaipiga, wanapoteza wanajeshi wengi sana na wengi wamebaki vilema vya maisha.

Ndiyo maana hivi karibuni idadi ya vifo vyao imeongezeka kuliko kawaida.

Ogopa sana kwenda kufanya vurugu kwenye uwanja wa nyumbani wa adui yako, wenzako wanayajua machaka ambayo wakijificha wewe huwezi kuyajua, ndicho kinachowakuta wanajeshi wa Israeli kwa sasa.

Wadunguaji wa Hamas wamejificha na Mashine zao, jamaa wakitoka tu kwenye vifaru vyao, wanachapwa za vichwa kisha Hamas wanapotea kama mizimu.

Huo ndo uhalisia uliopo pale Gaza, nadhani sasa utakuwa umepata picha kamili.

Wanachofanya sasa hivi ni hasira kufanya mashambulizi holela hawajui malengo ya vita ni yapi.

Hii leo ….

View: https://x.com/warintel4u/status/1738853337477300353?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mpaka leo hii wamekufa 48 soldiers, na makumi kujeruhiwa
 
View attachment 2851869
Source: Aljazeera

Abu Obaida, The spokesman of the clerics of the brigades:
[emoji839]Mujahideen managed to destroy 35 military machines in whole or in part and killed 48 zionist soldiers and injured dozens in the last 4 days [emoji839]Mujahideen carried out 24 military missions, including zero-range clashes and bombarded headquarters and field command rooms with mortar missiles and short term missiles during the past four days.

Kwa msaada wa Google [emoji116]

Abu Obaida, Msemaji wa maulama wa brigedi:
[emoji839]Mujahidina alifanikiwa kuangamiza mashine 35 za kijeshi zikiwa nzima au sehemu yake na kuua wanajeshi 48 wa Kizayuni na kujeruhi makumi katika siku 4 zilizopita
[emoji839]Mujahidina walifanya kazi 24 za kijeshi zikiwemo mapigano ya masafa sifuri na kushambulia makao makuu. na vyumba vya amri vya shamba vilivyo na makombora ya chokaa na makombora ya muda mfupi katika siku nne zilizopita.

AL HAMDULILLAH

Source: @Aljazeeramubasher
Rabaika
 
Umeingiza faida kiasi gani kwa bandiko hili? Kumbuka kesho xmass .... na wapalestina wanaomba poo ili wapate mahitaji muhimu
Na ww umeingiza faida kiasi gani kwa kusoma kwako na kucoment kwako kwenye hili bandiko?
Au unaingiza sh ngapi unapo chekelea mauaji wa watoto wadogo?
 
⚡️Israeli media:

“A difficult debate” in the cabinet session held today to discuss the war in #Gaza

Economy Minister Nir Barkat attacked Netanyahu during the session because of his management of the war.

Barakat confirmed during the session that soldiers are sent to booby-trapped buildings “like ducks.”

One of the ministers joined the debate and said that the public has hard feelings of irresponsibility for the lives of soldiers.
 

Attachments

  • IMG_8506.jpeg
    IMG_8506.jpeg
    51.5 KB · Views: 2
Wanakumbi.

VIFO VINGI VYA WANAJESHI WA ISRAELI, CHANZO CHAKE NI NINI? 🇮🇱🇵🇸

Watu wengi wanajiuliza kwamba tangu Jeshi la Israel litangaze kuanza kufanya operesheni ya nchi kavu “Ground Operation” wamefikia wapi wapi na uwezo wao wa kijeshi na misaada kutoka Marekani na mataifa mengine.

Wiki kadhaa zimepita tangu kurejea kwa mapigano mapya pale Gaza mara baada ya makubaliano ya kusitisha kwa muda mapigano hayo kumalizika.

Tangu kurejea kwa mapigano mapya,

Ni takribani wiki kadhaa Jeshi la Israeli halijafanikiwa malengo yake Gaza pamoja na kubana vyombo vya habari kuifahamisha dunia wameishia kuwauwa waandishi hawa habari hapa Gaza kama wanavyouwa watoto na raia wasiokuwa na hatia yetote.

Kinyume na matarajio yao, awamu hii wamepata madhara makubwa kuliko kawaida ndiyi maana hadi Uongozi wa Jeshi lao umetangaza vifo pamoja na majeruhi wengi waliopatikana hivi karibuni uwa ni ngumu kutangaza mpaka wameamua kutangaza hesabu za kisiasa basi hali ni tete Gaza.

Taarifa hizi wala siyo propaganda, hatuandiki kuwafurahisha watu bali tunaleta uhalisia uliopo ambao ni ngumu kuupata mbele ya media zinazotawala dunia kama CNN, BBC, FOX NEWS na media zingine za magharibi.

Kwa nini Jeshi la Israeli linapata sana madhara kwenye operesheni ya nchi kavu pale Gaza?

Hamas wametawala na kutawanyika kila kona ya Gaza, kwa lugha rahisi unaweza kusema rada zao zinawachora tu wanajeshi wa taifa teule.

Kila hatua ambayo wanajeshi wa Israeli wanadiriki kuipiga kwa kuingia Gaza, ni kama vile wanakuwa wameingia kwenye tanuri la moto.

Kubwa zaidi ni mbinu hatari inayotumiwa na Hamas katika kupambana na wanajeshi wa Israeli.

Jamaa wameweka Wadunguaji (Snipers) kwenye maeneo mbalimbali ya Gaza, kila hatua moja ambayo wanajeshi wa Israeli wanaipiga, wanapoteza wanajeshi wengi sana na wengi wamebaki vilema vya maisha.

Ndiyo maana hivi karibuni idadi ya vifo vyao imeongezeka kuliko kawaida.

Ogopa sana kwenda kufanya vurugu kwenye uwanja wa nyumbani wa adui yako, wenzako wanayajua machaka ambayo wakijificha wewe huwezi kuyajua, ndicho kinachowakuta wanajeshi wa Israeli kwa sasa.

Wadunguaji wa Hamas wamejificha na Mashine zao, jamaa wakitoka tu kwenye vifaru vyao, wanachapwa za vichwa kisha Hamas wanapotea kama mizimu.

Huo ndo uhalisia uliopo pale Gaza, nadhani sasa utakuwa umepata picha kamili.

Wanachofanya sasa hivi ni hasira kufanya mashambulizi holela hawajui malengo ya vita ni yapi.

Hii leo ….

View: https://x.com/warintel4u/status/1738853337477300353?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Remarking on the latest Israeli troop deaths, Mr Netanyahu said: "This is a difficult morning, after a very difficult day of fighting in Gaza."

But he said his forces would continue with "full force until the end", reiterating his goals of eliminating Hamas and ensuring the safe return of hostages held in Gaza.
"Let it be clear: this will be a long war," the Israeli prime minister added.
The military's 154th death was announced later that day: tank commander Maj Aryeh Rein.
In a separate statement, the military said it had killed more than 8,000 Palestinian fighters during its campaign to date .
 
View attachment 2851869
Source: Aljazeera

Abu Obaida, The spokesman of the clerics of the brigades:
🔻Mujahideen managed to destroy 35 military machines in whole or in part and killed 48 zionist soldiers and injured dozens in the last 4 days 🔻Mujahideen carried out 24 military missions, including zero-range clashes and bombarded headquarters and field command rooms with mortar missiles and short term missiles during the past four days.

Kwa msaada wa Google 👇

Abu Obaida, Msemaji wa maulama wa brigedi:
🔻Mujahidina alifanikiwa kuangamiza mashine 35 za kijeshi zikiwa nzima au sehemu yake na kuua wanajeshi 48 wa Kizayuni na kujeruhi makumi katika siku 4 zilizopita
🔻Mujahidina walifanya kazi 24 za kijeshi zikiwemo mapigano ya masafa sifuri na kushambulia makao makuu. na vyumba vya amri vya shamba vilivyo na makombora ya chokaa na makombora ya muda mfupi katika siku nne zilizopita.

AL HAMDULILLAH

Source: @Aljazeeramubasher
Si haba.
 
Remarking on the latest Israeli troop deaths, Mr Netanyahu said: "This is a difficult morning, after a very difficult day of fighting in Gaza."

But he said his forces would continue with "full force until the end", reiterating his goals of eliminating Hamas and ensuring the safe return of hostages held in Gaza.
"Let it be clear: this will be a long war," the Israeli prime minister added.
The military's 154th death was announced later that day: tank commander Maj Aryeh Rein.
In a separate statement, the military said it had killed more than 8,000 Palestinian fighters during its campaign to date .
Hahahhaa si mwanzo walisema vita itakuwa ya muda mfupi kisha Gaza wataikalia wao leo tena vita vya muda mrefu. Halafu usiwe punguani Mungu amekupa Akili pambanua mambo.

Israel walisema wanaenda kupigana na Hamas lakini cha ajabu wamawau raia 8000 hawajasema Hamas wanauwa Wapelestina 😂 soma hii


View: https://x.com/megatron_ron/status/1738975692161728673?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Zamani tuliaminishwa kuwa jeshi la israel ni hatari nakumbuka Waziri Mkuu wa Israel, Waziri wa Ulinzi kabla vita yale maneno yao unaweza kukimbia.

Walisema wanaenda kufuta Hamas na itakuwa mfano kundi lolote aliwezi kuisongelea Israel lakini tumeona kinyume chake….

Israeli military vehicle in Gaza…

Hiyo Jeep hajatoka mtu daaah
View attachment 2851485
Hamna akili magaidi ya kiislamu
 
View attachment 2851869
Source: Aljazeera

Abu Obaida, The spokesman of the clerics of the brigades:
🔻Mujahideen managed to destroy 35 military machines in whole or in part and killed 48 zionist soldiers and injured dozens in the last 4 days 🔻Mujahideen carried out 24 military missions, including zero-range clashes and bombarded headquarters and field command rooms with mortar missiles and short term missiles during the past four days.

Kwa msaada wa Google 👇

Abu Obaida, Msemaji wa maulama wa brigedi:
🔻Mujahidina alifanikiwa kuangamiza mashine 35 za kijeshi zikiwa nzima au sehemu yake na kuua wanajeshi 48 wa Kizayuni na kujeruhi makumi katika siku 4 zilizopita
🔻Mujahidina walifanya kazi 24 za kijeshi zikiwemo mapigano ya masafa sifuri na kushambulia makao makuu. na vyumba vya amri vya shamba vilivyo na makombora ya chokaa na makombora ya muda mfupi katika siku nne zilizopita.

AL HAMDULILLAH

Source: @Aljazeeramubasher
Uongo mtupu ,
 
Na ww umeingiza faida kiasi gani kwa kusoma kwako na kucoment kwako kwenye hili bandiko?
Au unaingiza sh ngapi unapo chekelea mauaji wa watoto wadogo?
Ndio mkuu tunafurahi sana hata Allah Allah mwenyewe karidhia nakuomba poo.

Hao matoto yana haki kuuliwa kwani ni terror bred and future terrorist.

Mbona watoto waislamu mieusii tii kama wewe wanauliwa kwa maelfu Darfur na miislam miarabu haikuumi sengeee wewee
 
Back
Top Bottom