Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?


Takriban wanajeshi kumi wa Israel waliuawa katika mapigano makali katika Ukanda wa Gaza tarehe 23 Disemba, na kufanya idadi rasmi ya waliouawa mwishoni mwa juma hili kufikia wanajeshi 14.

Wanajeshi watano katika Kikosi cha Kupambana na Uhandisi na daktari wa jeshi waliuawa kwa kombora la kukinga tanki kusini mwa Gaza, jeshi lilisema. Wengine wanne waliuawa katika mashambulizi ya milipuko yaliyofanywa na muqawama wa Wapalestina.

"Askari kumi waliuawa siku ya Jumamosi," gazeti la Times of Israel liliripoti tarehe 24 Desemba.

Jeshi lilitangaza vifo vya wanajeshi wengine wanne mnamo Ijumaa, 22 Desemba.

Tangu kuanzishwa kwa shambulio kamili huko Gaza, jeshi la Israeli limekiri vifo vya wanajeshi 153. Hata hivyo, rekodi za hospitali zinaonyesha kuwa Tel Aviv hairipoti majeruhi kwa kiasi kikubwa.

View: https://x.com/thecradlemedia/status/1738930449202692468?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mimi nakuja na data siyo porojo.
 
uimara wa hamas, hamas kutumia raia kama ngao, hamas wameweka mitego mingi ambayo waisrael hawaijui, kugundua hapa kuna handaki lazima kugarimu maisha ya wanajeshi kadhaa wa israel, na Israel kuona huruma kufyeka kile kitu akihofia dunia itasema ameua raia wengi mno. ilikuwa apige tu bom na kutindua hadi chini na handaki zingeonekana wazi.
Hizo propaganda za kishoga dunia imeishazipuuza kwa Hamas akimueka raia mbele kombora linachagua lonauwa raia linawaacha Hamas?

Usiwe punguani punguani hivi kwa nini Waisrael weusi wa. Makete, Kimara, Njombe, hawakubali kama wanajeshi wa IDF wanakufa Gaza lakini Waisral wenyewe wanakubali.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1739008492579516730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 

Kwani wdwe bikra yako ulitolewa lini hizo picha umepata lakini picha za maiti hamna mashoga peke yao ndiyo wanakubali hizo propaganda za Mossad🤣

View: https://x.com/sprinter99800/status/1739064435585519626?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hiyo page ya Mossad ya propaganda mashoga peke yao ndiyo wanaikubali walilfuta video zate za Shifa Hospital kuwa ndiyo makao makuu ya Hamas wakafuta wale mateka walisema hamas🤣🤣
HAo mashoga wameiga kutoka kwa mudi
 

Attachments

  • Screenshot_20231225_092343_Gallery.jpg
    Screenshot_20231225_092343_Gallery.jpg
    122.8 KB · Views: 1
Kifo hakina huruma, hebu tazama namna ambavyo wanajeshi wa Israeli wanavyokufa Hamas wanafanya hivi nao wajue uchungu wa vifo ambavyo wanavyowua watoto wa Palestne.
 

Attachments

  • 6f7ba155-620c-4141-b325-09c95db968e4.mov
    2.7 MB
Hizo propaganda za kishoga dunia imeishazipuuza kwa Hamas akimueka raia mbele kombora linachagua lonauwa raia linawaacha Hamas?

Usiwe punguani punguani hivi kwa nini Waisrael weusi wa. Makete, Kimara, Njombe, hawakubali kama wanajeshi wa IDF wanakufa Gaza lakini Waisral wenyewe wanakubali.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1739008492579516730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

hamas wamekufa wengi san apia ndugu, usijitoe ufahamu. hata hivyo mashoga mmejaa pwani huko, huku bara hayo mambo hatuna. safisha kwanza dini yako ili uwe na haki kutukana wengine mashoga. kwenu yamejaa kibao.
 
Back
Top Bottom