Vifo vingi vya wanajeshi wa Israeli chanzo chake ni nini?

Sasa mbona mafuta yanapanda bei badala ya kushuka?
 
Kuhusu huyo rahisi aliotawala pale nenda ka google
Nahapo kwa mafuta hata kama petrol station zote duniani zifungwe mafuta yataendelea kutumika mpaka kiama
Unadhani mafuta yanatumika kwenye magari tuuu
 
Kuhusu huyo rahisi aliotawala pale nenda ka google
Nahapo kwa mafuta hata kama petrol station zote duniani zifungwe mafuta yataendelea kutumika mpaka kiama
Unadhani mafuta yanatumika kwenye magari tuuu
unaonesha una kichwa kigumu hakuna aliyesema mafuta yataacha kutumika nimesema matumizi ya mafuta yatapungua
 
unaonesha una kichwa kigumu hakuna aliyesema mafuta yataacha kutumika nimesema matumizi ya mafuta yatapungua
Kupungua kwa mafuta kupo kila leo mzeee
Nandio maana ni kakwambia yemen itapiga hela
Sababu awali yemen walikua wapo kama koloni la saudia kwasada watakua huru
Nandio maana juu huko nikakwambia kuna mkataba utasainiwa januaru ukienda vyema yemen itapiga hela sana
Sababu mafuta hayataachwa leo wala kesho mpaka wakija kuacha yemen itakua ishafika mbali sana
 
acha porojo kama yemen wangekua matajiri wangeshakua kitambo hizo unazoleta wewe ni hadith za kusadikika
 
Kiboko yao mu Iran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…