Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

Yeap ,zamani walikuwa wanapata ila sasa hata ukienda nchi zilizoendelea watu wanafanya ngono zembe haswa matajiri ila hutosikia wamepata HIV hata siku moja.

Njoo huku kwa wazembe, wananua hawa wanawake kweny mazingira machafu bila ya kutumia akili ,mwisho wa siku ni UTI na HIV.
 
Mbona kwa story yake fupi inaonesha wazi walikua ni watu wa namna gani.

Wala jamaa asiogoe, aachane tu na ile lifestyle ya hao jamaa zake marehemu.
 
Pole sana,endelea kuogopa hivyohivyo,kwakuwa unaendelea kuishi hiyo ni neema Mungu amaeachilia kwako, hivyo inakupasa kumcha yeye usiku na mchana maana shetani hata kuacha salama,usipoangalia unaweza kujikuta na wewe unawafuata kwa mtindo uleule...
 
"Kwamba wanaopata ukimwi ni washamba"
Hii kauli ni ya mtu asiyejua maisha kama wewe na vip wale wanaokula maisha na hawajapata ukimwi upeo wako ni mdogo sana

Hujawahi shika fedha ndo maana unajitetea sana we bado unabangaiza
 
Kwamba wanaopata ukimwi ni washamba
Hii kauli ni ya mtu asiyejua maisha kama wewe
Hujawahi shika fedha ndo maana unajitetea sana
Huwezi kuamini ,soma uzi hao jamaa ni wasomi ..kama kampeni ya HIV tangu mwaka 2000's ilikuwa inabamba na wasomi walipata elimu ya kutosha mpaka ngazi ya msingi kama unakumbuka.

Sasa huwezi kuniambia msomi asijue jinsi ya kujiepusha , mazingira ya ulaji bata nyie sio kwamba mnajifunza kama wazungu ! Wabongo wakisema bata no ulevi na umalaya hakuna kipya .

Wajanja wanakula bata kwa kutembea sehemu tofauti na kujifunza ndio mwanzo wa exposure ,sasa washamba ndio hawa kulewa na uzinzi ndio bata 😂😂
 
Ujinga ndo unaokusumbua
Nimesema TB ni moja ya dalili kubwa za ukimwi asilimia kubwa ya watu wenye TB wana ukimwi

We bado ni mjinga kwa hiyo sio kosa lako
 
Kupata au kutokupata ugonjwa ni mapenzi ya Mungu
kuna watu wanafanya sana starehe na ngono zembe hawapati ukimwi na kuna watu ni wastaarabu ila wanaletewa ukimwi na wenza wao

Haya magonjwa ni kuomba tu Mungu usiojione leo ni mzima basi ukajiona ni mjanja au unaakili

Unaweza usipate ukimwi ila kisukari au kansa zikakutesa sana changamoto yako unaangalia maisha kwenye angle moja ndo maana nakuita mtoto angalia maisha kwa upana wake
 
Hao jamaa wamebakwa ,msomi mzima unawezaje kufanya ngono zembe?


Ina maana elimu imeshindwa kuwapa maarifa kabisa ya kijamii kama hayo?
 
Ndo maana nikakuambia bado ni mtoto hiyo niliyokuletea ni mifano tu
Na Wanaongoza kwa maambukizi ni wana-ndoa na sio vijana kama ulikua hujui
Hapa tunaongelea hao jamaa sio nje ya hapo jaribu kurudi kweny uzi .

Eti unakula bata ushamba tu ,kulewa na uzinzi kupatiliza ni ushamba.

Ukitaka kujua mimi na wewe nan mtoto angalia hoja zako?

Hakuna mtu mzima anakula bata 😂 akawa na akili timamu
 
Umebadilisha tena gia we ni kiboko
Jitahidi sana uwe na upeo mpana wa kufikiri sababu unaupeo mdogo sana
 
Umebadilisha tena gia we ni kiboko
Jitahidi sana uwe na upeo mpana wa kufikiri sababu unaupeo mdogo sana
Upeo upi dogo? Hoja zako zinaonyesha bado mdogo ,tena yule anayependa kufuata mkumbo wa marafiki hata kujitegemea bado.

Ukiambiwa uende kulewa basi unaenda ,hamna bata huo ni ushamba wa utotoni ngoja ukue .
 
Upeo upi dogo? Hoja zako zinaonyesha bado mdogo ,tena yule anayependa kufuata mkumbo wa marafiki hata kujitegemea bado.

Ukiambiwa uende kulewa basi unaenda ,hamna bata huo ni ushamba wa utotoni ngoja ukue .
Kufanya starehe sio ushamba
Jambo kama wewe hufanyi na mwingine akifanya sio sababu ya kuliita ni ushamba

Kufanya starehe sio kosa la jina ndo maana nikakuambia wewe bado ni mdogo sababu kama mtu kufanya starehe unaona ni ushamba basi unasafari ndefu sana kifikra
 
Kufanya starehe za kulewa na uzinzi ni ushamba ...Kaa vile unaweza kufanya mambo kimya kimya .

Kama unafanya basi ni ushamba acha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…