Kuna Mzee mmoja wa Hill Rd (siku hizi wameiita Yasser Arafat Rd) mnoko huyo, nilikuwa nikienda kumtembelea mshkaji lazima aniulize "Unakaa wapi? Baba yako nani?"hahahahahahahaah kweli kabisa, tulikatazwa watoto wa Mbuyuni sababu ni wahuni , wengi wao walitoka uswazi .
Dah yule handsomeboy alikua ,dah its sad alifariki nasikia alikuwa ana itwa Benjamin Rwegasira , alifriki longtime sijui tatizo ni nini ilikuwa , kitu li fariki akiwa SouthAffrica or America .Dah,
Mnakutana mpaka majirani sasa hapa mpaka mtajuana sasa.
Kuna Ras mmoja mtoto wa Waziri Balozi Rwegasira alikuwa anakaa karibu na beach kule alikuwa dread anavaa kofia ya rasta sanaa, alikuwa anasoma Mzizima nafikiri.
Sijui yuko wapi siku hizi yule.
Duh OFC ilikua kIboko , kuna ishu zao fulani fulai inabidi tuu tusiziseme hapa ila duh , ilikuwa soo, Huyo Mzee ni nani ,Mansoor au nani?Kuna Mzee mmoja wa Hill Rd mnoko huyo, nilikuwa nikienda kumtembelea mshkaji lazima aniulize "Unakaa wapi? Baba yako nani?"
Yani mshua alikuwa kama hataki mwanae alete ile crew ya Kinondoni Kajima nyumbani.
Mnakumbuka mechi za OFC na Kajima?
Hongera sana , ila pole hukua na baba mwenye upendo wa kukupa hadhi waliyo pewa wengine, ila yote hayo ndi yame kujenga kuwa mtu wa kujitegemea na kusimama kam wewe ,safi sana mkuu .Mimi nimeenda Ulaya kusoma kwa akili yangu sikusaidiwa na mzee. Hadi ticket ya KLM economy class nili hustle mwenyewe. Nyie washua wa Masaki na O’bay mlikuwa mnaoanda ndege first/business class kwa pesa ya baba aliyekuwa akilipwa mshahara na serikali?
Hii habari ya kuangalia dollar ndani na mimi nilishawahi kuambiwa na watoto wa Msasani, ila nilivyowajibu mpaka leo wananikumbuka.Aisee kweli , siku hizi kuna watu wameibuka hahahahahahaha, ume ni chekesha kitu kimoja, kuna jama walikua wana kaa hapo Namanga ,uswazi, sasa walikua wanakuja Obay , wana ndugu zao, hao jamaa ndio wakaanza funza watoto wa kishua wizi, waka wana waambia , ukiingia ndani , cheki kwnye wallet ya baba yako una weza kuta dollar chukua halafu lete, au walio walio fuga kuku,walikua wana waambia ingia bandani iba kuku , sasa kibaya ndio wakawavutisha bangi, kuna jamaa mmoja hadi leo ame data sababu ya bangi na pombe na chanzo ni hao jamaa wa Namanga hapo .Kama mtu amesha wastukia ni nani please anomba asiwataje majina .lol
Ok sikumbuki ni Kaka yupi huyo mwenye Kibiongo , ila na Mkumbuka walikua wana Kaka yao anaitwa Kamba ( Kamba kama unasoma hapa unajua tulisha wahi pigana mangumi mimi na wewe ) . Obay nilisha wai pigana na watu wawil , Kamba Na Aluta Warioba na wote waka ni dunda, hahahaha
Hiyo nyumba unayo sema sikujua alikuja hamia nani baada ya hapo na dhani ndio nyie , ila aliye kuwa wakati huoa naishi hapo ni huyo ni Prffesor mmoja wa UDOM ambaye baadae akaja kuwa Waziri , nime sahau jina lake , ila watoto wake ni kulikua na Arden , Wema na Ndoli, Mama yao alikua Mganda namkumbuka yule mama na Miwani yake , nilikua namuogopa sana kwa kudhani ni mkalisababu ni Mganda kipindi hicho Amin ndio habari za mjini , hivyo nikadhani waganda wote ni wakali .
Alikuwa anakaa nyumba next na kina Cool Moe Cee.Duh OFC ilikua kIboko , kuna ishu zao fulani fulai inabidi tuu tusiziseme hapa ila duh , ilikuwa soo, Huyo Mzee ni nani ,Mansoor au nani?
Hahahahah kumbe nao walikushauri , hawa wa msasani wali haribu sana baadhi ya watoto wa Obay dah hahahahaa ndio wengine walipelekwa hadi kwa Wahaya hapo Maandazi road hahahaHii habari ya kuangalia dollar ndani na mimi nilishawahi kuambiwa na watoto wa Msasani, ila nilivyowajibu mpaka leo wananikumbuka.
mlihamia lini hapo na kabla yenu alikuw ana ni , jina la huyo mzee ndionime lisahau , alikuwa Waziri au ndio nyie?Sisi tumeondoka 1986 hapo
Huyu ni Kaka yake anaitwa Anthony , alikua gagwe enzi hizo tuna danganyana eti Anthony anaweza piga shule nzima kama tulivyo kuwa tuna danganya eti Bruce Lee ana weza piga dunia nzima . lol
Siyi upendo mkuu, ni uwezoHongera sana , ila pole hukua na baba mwenye upendo wa kukupa hadhi waliyo pewa wengine, ila yote hayo ndi yame kujenga kuwa mtu wa kujitegemea na kusimama kam wewe ,safi sana mkuu .
mlihamia lini hapo na kabla yenu alikuw ana ni , jina la huyo mzee ndionime lisahau , alikuwa Waziri au ndio nyie?
Mossy is a cool dude , ila sijui ndio tean aikawje , was so bright aisee . Ok ngoa ni kumbuke pale zile nyumba , Kwa kina Mossy jirani kulikua na mzungu, nyumba ina fuata ni kw amansuri, ok, Nyumba inayo tizamana na kina Mossy ni kwa Bayona ( Mzee huyu alikua hana shida unapiga naye story safi tuu) Nyumba inayo fuata aliku ana kaa mzee mmoja anaitwa Kitipwi na waka hama akaja hamia Kitwana Kondo . Nyumab inayo fuaya ni Mzee moja wali hamia walitoka America anaitwa Muhombela , oposyte ni Mama mmoja mumewe alifraiki zamai aliitwa Judge Mwkasendo , huyo mzee ni yupi? alikua kama mwarabu? au una sema ukivuka nyumba ya kwenye goroda alikuwa an aka amze moja anitwa Nyakilanyanyi? , hap baadae pia waka hamia nyumba next to Kipokola , au ni hao?Alikuwa anakaa nyumba next na kina Cool Moe Cee.
Cool Moe Cee alitisha sana, alikuwa na kigari chake ki two doors, anakuja nacho shule Tambaza.
Basi akitukuta njiani anatupa lift. Yani ilikuwa kitu cha ajabu jamaa anakuja shule anaendesha gari, wakati walimu hawana magari.
Cool Moe Cee was such a cool dude maan.
Alikuwa ana rap yake moja hiyo anataja wanyama wote halafu anajipa characteristic zao, anamalizia "Cool Moe Cee".
Enzi hiyo katoka Marekani nafikiri.
Mijitu mizima wengine wana wajukuu wanawaza jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya privilege Oysterbay na Masaki sababu baba zao walikuwa vigogo Serikalini. Utakuta wengi walipelekwa Ulaya na USA kupitia pesa za kodi na leo hii maisha yamewashinda wamebaki kukumbuka how happy and licky their lives were back when they were living with moms and pops i n Masaki and Oysterbay.
ila yote kheri ukikosa huku anapata hukuSiyi upendo mkuu, ni uwezo
Kabisa hahahahahahaaBitterness inaweza kuwa cancer kuwa makini ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi na dhani huyo mzee hapo alihama hiyo late 70's na labda mzee wako akaja hamia, Huyo mzee baade kipindi cha Mkapa akaja kuwa waziri kitu kama waziri wa fedha au biashara .No m-sure hakuwa waziri alikuwa DG TIRDO, pale baba alihamia na kaka zangu wakubwa late 70s so sisi wengine tukamjoin 1983. 1986 tukaondoka. Yaani hata ninavyovikumbuka ni kichwa tu iko sawa but I was really young. Kaka zangu wakubwa ndo wanaweza kuwa na details zaidi
Sawa. To “each their own” kama Binblia inavyosema, lakini ukweli ni kuwa you guys were spoiled rotten. Asilimia kubwa ya waliokulia Masaki na O’bay enzi zile walienda Ulaya na Marekani kupitia migongo ya Baba. Siyo kwa juhudi au sifa zao wenyewe.ila yote kheri ukikosa huku anapata huku
Dah, sikusikia.Dah yule handsomeboy alikua ,dah its sad alifariki nasikia alikuwa ana itwa Benjamin Rwegasira , alifriki longtime sijui tatizo ni nini ilikuwa , kitu li fariki akiwa SouthAffrica or America .
Hahaha hatariaiseeHahahah aliwahi mburuza binti mmoja kichakani nakumbuka[emoji23]