Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Mossy is a cool dude , ila sijui ndio tean aikawje , was so bright aisee . Ok ngoa ni kumbuke pale zile nyumba , Kwa kina Mossy jirani kulikua na mzungu, nyumba ina fuata ni kw amansuri, ok, Nyumba inayo tizamana na kina Mossy ni kwa Bayona ( Mzee huyu alikua hana shida unapiga naye story safi tuu) Nyumba inayo fuata aliku ana kaa mzee mmoja anaitwa Kitipwi na waka hama akaja hamia Kitwana Kondo . Nyumab inayo fuaya ni Mzee moja wali hamia walitoka America anaitwa Muhombela , oposyte ni Mama mmoja mumewe alifraiki zamai aliitwa Judge Mwkasendo , huyo mzee ni yupi? alikua kama mwarabu? au una sema ukivuka nyumba ya kwenye goroda alikuwa an aka amze moja anitwa Nyakilanyanyi? , hap baadae pia waka hamia nyumba next to Kipokola , au ni hao?
Mzee Nyakirang'ani huyo bwana, unataka mpaka nimtaje jina.

Kwanza alikuwa anakaa kwenye ghorofa hapa kona ya Hill Rd, baadaye akahamia hapo hapo next na kina Mosi.

Alikuwa mnoko yule mzee. Hataki watoto waende kucheza mpira Kinondoni.

RIP.
 
Sawa. To “each their own” kama Binblia inavyosema, lakini ukweli ni kuwa you guys were spoiled rotten. Asilimia kubwa ya waliokulia Masaki na O’bay enzi zile walienda Ulaya na Marekani kupitia migongo ya Baba. Siyo kwa juhudi au sifa zao wenyewe.
Sasa kama baba ana uwezo why ni bebe box ulaya au ni jichangie kwenda ulaya?, wengine baba zetu wana upendo na wana jali familia , hivyo exerience yako na mzazi wako usifanye ulinganishe na za kwetu , Ulisha wahi ona Prince Charles (Then) aki work at McDonalds? usilinganishe , baraka za wenzako usilaumu , wengne ilikuwa simu moja tuu baba ana mwaga pesa , sasa tatizo liko wapi?, sioni ubaya wowote na kama una watoto acha kuwatesa wape misingi mizuri na sio kuwatesa eti sababu ulipitia shida na wao wapate shida kama wewe hiyo ni dhambi , hapana kwa hilo .
 
Mzee Nyakirang'ani huyo bwana, unataka mpaka nimtaje jina.

Kwanza alikuwa anakaa kwenye kigorofa hapa, baadaye akahamia hapo hapo next na kina Mosi.

Alikuwa mnoko yule mzee.

RIP.
Hehehehehehe, duh, weli nilisha sahau ukali wake hahahaha kweli kabisa hiyo
 
Hawa kina Kafipa it's so sad nilisikia baba yao alifariki, halafu mama yao naye akafariki muda si mrefu baadaye miaka michache iliyopita, nafikiri ilikuwa 2019 mwishoni.

RIP.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Nadhani walipishana Mwaka tuu R.I.P. wapendanao nomatter what akitangulia mmoja mwingine hufuata . Kama Kingunge na Mkewe , wapenzi mmoja kiondoka yani mwingine ina bidi labda mmchunge la sivyo atataka tuu kumfuata mpenzi wake .
 
Kuna Mzee mmoja wa Hill Rd (siku hizi wameiita Yasser Arafat Rd) mnoko huyo, nilikuwa nikienda kumtembelea mshkaji lazima aniulize "Unakaa wapi? Baba yako nani?"

Yani mshua alikuwa kama hataki mwanae alete ile crew ya Kinondoni Kajima nyumbani.

Mnakumbuka mechi za OFC na Kajima?
Cha kuchekesha mimi ndio nime geuka kama huyo mzee, madogo wakija na mtu simuelewi , napiga maswali kama wako Immigration , lazima ni jue ni nani ,a a kaa wapi ,ana fanya nini, baba yake ni nani ana yuko toka familia ya aina gani . huwa wanakoma nadhani wana hadithiana uko huyu mzee mnoko , lol
 
Sasa kama baba ana uwezo why ni bebe box ulaya au ni jichangie kwenda ulaya?, wengine baba zetu wana upendo na wana jali familia , hivyo exerience yako na mzazi wako usifanye ulinganishe na za kwetu , Ulaishaona Prince Charles (Then) ana work at McDonalds? usilinganishe , baraka za wenzako usisilaumu , wengne ilikuw simu moja tuu baba ana mwaga pesa , sasa tatizo liko wapi?, sioni ubaya wowote na kama una watoto acha kuwatesa wape misingi mizuri na sio kuwatesa eti sababu ulipitia shida na wao wapate shida kama wewe hiyo ni dhambi , hapana kwa hilo .
Upendo pekee hautoshi mkuu. Uwezo ndiyo kila kitu. Cha msingi kwenye hoja yangu ni kwamba wengi kama siyo wote wa generation yako mliyokuwa mnaishi Masaki na Oysterbay, sana sana Baba alikuwa mwajiriwa serikalini nyadhifa za juu kabisa na ndiyo sababu mlikuwa mnaishi maeneo hayo. Sasa kusomesha watoto Ulaya na Marekani kwa mshahara wa Serikali enzi hizo (na hata sasa) inahitaji zaidi ya upendo wa Mzazi. Au tuseme inahitaji rushwa na ufisadi?
 
Upendo pekee hautoshi mkuu. Uwezo ndiyo kila kitu. Cha msingi kwenye hoja yangu ni kwamba wengi kama siyo wote wa generation yako mliyokuwa mnaishi Masaki na Oysterbay, sana sana Baba alikuwa mwajiriwa serikalini nyadhifa za juu kabisa na ndiyo sababu mlikuwa mnaishi maeneo hayo. Sasa kusomesha watoto Ulaya na Marekani kwa mshahara wa Serikali inahitaji zaidi ya upendo wa Mzazi. Au tuseme inahitaji rushwa na ufisadi?
Hivi wewe umeona watoto wa kishua wa karne hii wanavyo tanua? unajau kwamba watu wana weza spend hadi like $20K a nighta] at Element? unajua matanuzi ya sasa wewe? Tuache bana tulibarikiwa hata wewe hivyo baraka ungeipata usingeiacha .
 
Dada wa kazi alikua anakaa Msasani ,hivyo kama ana sherehe nyumbani kwake tulikuwa tuna kwenda huko , tukawa tunapita maandazi road, vibatali kibao na ndio mara ya kwanza nikaona samaki kambare hapo kwenye meza . hahahahahah
Say What !????
Kwanini hakukaa Servant Quarters ?
 
Bitterness inaweza kuwa cancer kuwa makini ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu hawaelewi kwamba popote ulipo katika maisha utakuwa na watu uliowazidi na waliokuzidi.

Na kuwa na roho safi ni kujifunza waliokuzidi wamekuzidi vipi, kutowaonea wivu, kufanya kazi uwafikie, na ukishindwa kuridhika na hali yako, na kusaidia uliowazidi wanaostahili kusaidiwa kadiri ya uwezo wako.

Everything is relative. Hiyo Oysterbay yenyewe ukiilinganisha na The Hamptons ni slum tu.

Kwa standards za utajiri wa dunia, Watanzania ukitoa familia chache sana, wote tuligawana umasikini tu, ila katika hao masikini wengine walikuwa na afadhali kidogo, wengine walielimika kidogo, wengine walikuwa na resources kujua waende wapi kujiongeza.

Sasa kugombana ya nini?
 
Say What !????
Kwanini hakukaa Servant Quarters ?
Alikua ni mama tuseme sababu alianza kazi toka wazazi wameoana akiwa msichana , hivyo akaweza nunua nyumba huko Msasani na akaolewa na kuw ana familia ingaw abado alikau ana fanua kazi home, Servant Quarter ilikuw ana vyumba viwili alikua hoseboy na kuna ndugu mwingine aliishia hapo ,
 
Watu hawaelewi kwamba popote ulipo katika maisha utakuwa na watu uliowazidi na waliokuzidi.

Na kuwa na roho safi ni kujifunza waliokuzidi wamekuzidi vipi, kutowaonea wivu, kufanya kazi uwafikie, na ukishindwa kuridhika na hali yako, na kusaidia uliowazidi wanaostahili kusaidiwa kadiri ya uwezo wako.

Everything is relative. Hiyo Oysterbay yenyewe ukiilinganisha na The Hamptons ni slum tu.

Kwa standards za utajiri wa dunia, Watanzania ukitoa familia chache sana, wote tuligawana umasikini tu, ila katika hao masikini wengine walikuwa na afadhali kidogo, weng8ne walielimika kidogo, wengine walikuwa na resources kujua waende wapi kujiongeza.

Sasa kugombana ya nini?

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Lol The Hamptons ? mbona umeenda mbali , hapo tuu Karen ,Nairobi bado tuna subiri lol
 
Makatta nilikuwaga nasoma tangazo la familia gazeti la Uhuru wkt wa kuadhimisha siku ya kifo chake. Walikuwa wanaweka hadi picha enzi hizo. Sasa wivu wa kuishi Oysterbay ndiyo visababishe kijana kurushwa kutoka ghorofani? Hizo siyo sababu zenye ushawishi au nguvu za kutosha za kufanya mauaji ya kinyama kama hayo.
 
Upendo pekee hautoshi mkuu. Uwezo ndiyo kila kitu. Cha msingi kwenye hoja yangu ni kwamba wengi kama siyo wote wa generation yako mliyokuwa mnaishi Masaki na Oysterbay, sana sana Baba alikuwa mwajiriwa serikalini nyadhifa za juu kabisa na ndiyo sababu mlikuwa mnaishi maeneo hayo. Sasa kusomesha watoto Ulaya na Marekani kwa mshahara wa Serikali enzi hizo (na hata sasa) inahitaji zaidi ya upendo wa Mzazi. Au tuseme inahitaji rushwa na ufisadi?
Mkuu,

Kwanza si watu wote waliokaa Oysterbay walikuwa wafanyakazi wa serikali.

Kuna watu kama Dr. Andrew Mziray alikuwa na practice yake, hospitali yake. By some account, he was the best gynaecologyst in Tanzania.

Pili,

Mara nyingine ni kujua mambo tu.

Mimi nimekaa na mtoto wa huyo Dr. Andrew Mziray alikuwa amerudi likizo kutoka Marekani, tena visiwa vya Hawaii, katoka chuo.

Akawa ananihadithia baba yake anavyofanya kuwapeleka watoto chuo kwa scholarships za makanisa , NGOs za Marekani, na balozi za nje, anavyonunua magari makali kwa bei nafuu kwa kujua kuongea na mashirika ya kimataifa na balozi za nje, jamaa alinifungua macho sana kujua kwamba knowlege mara nyingine ni kitu muhimu kuliko pesa.

Kwa hivyo, si watu wote wamefanikiwa kwa kufanya ufisadi serikalini. Kuna wengi wameelimika na wakazitumia vizuri elimu zao ku network kimataifa na kufanya biashara halali.

Dr. Andrew Mziray ni mfano mmoja.

RIP.
 
Pia ni sisi pekee yetu kwenye familia yetu tulikuwa tunajua na kuongea kiingereza. Nakumbuka serikali ya Nyerere ilituonya tuache kuongea kiingereza eti tunaringa na kujionesha kitendo ambacho kinakera wengine.
Kwa hili nakukatalia. Mimi nimezaliwa kabla ya uhuru. Tulipopata uhuru kingereza ndilo somo lilitumika darasani. Kwenye miaka ya sabini wakati kiingereza kinaonekana kinapuuzwa, tulianza kuvalishwa kata au kubebeshwa vibao na kuandikwa kwenye daftari ukiongea kilugha tulivyokiita kiswahili au kuongea lugha ya ko ya nyumbani.

Baada ya kuanzishwa UPE shule zikawa zina walimu wazuri wali std 8 na seven wa seventies na hasa wale waliofail au kurudishwa toka Seminary.
English wakati wa Nyerere ilitumika kila mahali. Yeye Mwl. alikuwa akiende kwenye makongamano yote alikuwa anausema ung'e mtupu.

Tumseme mengi kama kunyima uhuru wa kujieleza, kuwa na wafuatiliaji wasiojulikana, kulazimishwa kusoma magazeti mawili tu Uhuru na Mzalendo na Daily news and sunday news basi.
 
uzi safi sana.

Niliingia Dar kwa nguvu zangu. Nikaenda Ulaya kwa juhudi zangu. Lakini hainifanyi nichukie waliobahatika kuishi maisha mazuri ambayo mpaka leo wapo nostalgic. Ndo dunia ilivo……jamii ina matabaka.

kama hukuishi ushuani the best you can do, tengeneza mazingira wanao wayaishi hayo maisha. Otherwise hatuwezi kuwa Sawa.
 
Back
Top Bottom