Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Ettiennes hakuna ghitifa kurushwa. Mtu akafa.

Labda aliuliwa akatupwa hapo.

Nimecheza disco kwa Mgiriki hapo miaka 1970 - 73.
Kwani hiyo hetel iko wapi labda nime changanya majina, ila nayo isema iko huku Town kama sijui maeneo ya Billicans or ile Margott maeneo hao, isije kuwa nime changanya naile ya kule Ocean Road pake jirani na petroil station kwa Manji seaview
 
MImi nitawajuaje wakati sija wahi ishi huko ? , mimi nime zaliwa Dar na kukulia Oysterbay , sasa nita wezaje kujua hao wa huko?
Hawa ninao wasema wote ni family friends yani wazazi wetu walijuana na hizo familia na kwa kua wote hao walio fariki ni kwakubwa kimiaka na mimi , hivyo hata kwnye misiba yao sikuweza huzuria kwa sababu kipindi hicho watoo hawa ruhusiwi kwenda misibani na hivyo hata kuuliza huwezi why fulani kafa lazima utadanganywa tuu, Msiba peke enilio hudhuria niwa Robert tuu ,maana nilkua teari teenager fulani.
Kipindi hicho hata kufika Mbagara ,Tandika, Tabata ,Chanika ,kwa Mparange, na kwingine uswahili mtu unaogopa kwenda au hata hukujui, mimi hadi leo nataka nikakuone Uwanja wa Fisi kila siku nakusikia tuu, najua kwa sasa kumebadilika ila kipindi chetu kulikua na sifa mbaya sana hata kufika huko unaogopa , sijui kuna wangapi wa toto wa Obay wamesha wahi fika Uwanja wa fisi , naamini ni wachache sana .
Sisi uswahilini yetu ilikuwa ukienda pale Msasani bondeni au Mandazi road, ndio tunajiona tumefika uswahilini.
 
uzi safi sana.

Niliingia Dar kwa nguvu zangu. Nikaenda Ulaya kwa juhudi zangu. Lakini hainifanyi nichukie waliobahatika kuishi maisha mazuri ambayo mpaka leo wapo nostalgic. Ndo dunia ilivo……jamii ina matabaka.

kama hukuishi ushuani the best you can do, tengeneza mazingira wanao wayaishi hayo maisha. Otherwise hatuwezi kuwa Sawa.
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
 
Nirudi sasa kwnye kukuchana wewe , hebu fikiria, hapa tuu hunioni na wala hunijui , ila story zangu za Obay na ushuani zina kukera kupita kawaida , je ungenijua na ninakutanulia wakati wewe una saga jiwe, si ungeniua kabisa ?
Hilo ndio suala sasa , Vijana a Obay tulikua na ujiko sababu baba zetu waliku ana hadhi , ina wezekana mfukoni hatuna pesa , ila ile tittle ilikua sio ya mchezo, so mademu walikua na shobo na sisi , kumbuka enzi hizo haijalisi una hela mradi baba yako ni fulani na una endesha gari lake , hauna haja ya kuhonga sababu wote tulikua tuna date naa ,nao kwao wako vizuri , hivyo tulikua hatuna haja ya matanuzi ya pesa ni magari ya wazazi tuu .
Hivy mademu wa Upanga wali leta shobo , so ina semekana Vijana wa Upanga hawakupenda mademu zao na shobo zao kwetu , ndio waka attack him usiku wa kwnye hiyo party iliyo fanyika Upanga na kumuua , siamini kamwa lidhamiria kama ni wali mburuza maana story ni kwamba wali mburusa ipo pia ila kama wali mrusha badi wali dhamiria kumuua , sasa nadhani umeelewa .
Nonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesds murder sababu tu alikuwa anaishi Masaki/Oysterbay?
 
Sisi uswahilini yetu ilikuwa ukienda pale Msasani bondeni au Mandazi road, ndio tunajiona tumefika uswahilini.
Umesahau story za Msasani ukikatisha unatembe ukitetemeka , sasa sijui tulitetemeka nini wakati huo ahata kukabwa au kuporwa kulikua hakuna au lada nime sahau
 
Nonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesd murder?
Sasa matusi tena? Kweli maumivu ni makali, yes alikua targeted kama wewe unavyo umia kusikia ushuani .
 
Basi na dhani huyo mzee hapo alihama hiyo late 70's na labda mzee wako akaja hamia, Huyo mzee baade kipindi cha Mkapa akaja kuwa waziri kitu kama waziri wa fedha au biashara .
Huyu alikye kuwa kabla ya nye hapo anaitwa Mporogonyi nadhani alikuwa waziri wakati wa Mkapa
 
Alafu isichukuliwe kuwa waliopata neema ya kuishi ushuani na baba zao waliokuwa na nafasi serikalini miaka hiyo kwamba sasa hivi life imewachapa; not at all na hata kama wapo basi ni wachache sana! Wengi bado maisha ni mazuri kabisa.
Mfano sisi hatukupata bahati ya kupelekwa UK or USA, ila ile exposure tu ya kuishi kwenye ile standard ya maisha ya ushuani inakuwa kama iliweka benchmark on how life should be! Sio sifa na isiwe siri, hapahapa TZ tuliweza kujua maisha yanapaswa kuwa namna gani and life is good tena pengine zaidi ya ilivyokuwa wazazi wetu. Mfano nakumbuka mzee wangu kwa nafasi yake he had 3 cars of his own, Peugeot 504, pick up ya Peugeot 404, na Ford CortinaL nakumbuka anaitumia Saturday na Sunday tu kwa mitoko binafsi! Gari za ofisini used to be Peugeot 505 ama Landrover 109 na hizo zina dereva!

Maisha ya sasa knowing standard inatakiwa kuwa namna gani, nje hayakosekani magari matatu kwa namna yoyote na yote ni ile ooops gari hiyo sio chombo cha usafiri.

Angalizo: bitterness sio healthy u may end up injuring your internal organs.
Uko sawa brother exposure na network support ilifamya mtu uwe bwege sana kufeli, mfano mdogo tu Dr. Kambi aliyekuwa mganga mkuu aliyeondolewa kazini na JPM alikuwa mmoja wapo kitaa pale kaunda.
 
Sisi uswahilini yetu ilikuwa ukienda pale Msasani bondeni au Mandazi road, ndio tunajiona tumefika uswahilini.
Mnapelekwa na Banzi na crew yaje ya Namanga.

Mnaenda kula ice cream Kimicho Namanga.

Na kuazima mikanda ya movies VHS Oysterbay Video Library.

Halafu mnaambiwa mkimaliza kuangalia tafadhali rewind [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa matusi tena? Kweli maumivu ni makali, yes alikua targeted kama wewe unavyo umia kusikia ushuani .
Bora ume admit possibly alikuwa targeted. Haya mambo wewe unayachukuliq kijuujuu tu. Umekuja na swali, halafu cha ajabu mahali umeishia kujijibu mwenyewe. Kunbe jibu ulikuwa nalo all along? Simply amazing.
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomedha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
Safi sana
 
Back
Top Bottom