Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Umesahau story za Msasani ukikatisha unatembe ukitetemeka , sasa sijui tulitetemeka nini wakati huo ahata kukabwa au kuporwa kulikua hakuna au lada nime sahau
Maandazi Road huku mwisho karibu na njia ya kwenda Mkirikiti Bar kulikuwa na maskani inaitwa Lebanon.

Ile maskani ukikatiza lazima ujihakikishe uko gado unajistukia mara mbilimbili maana pale masela wanaokaa si wa kawaida, kuna mateja na kila mazaga pale hawakawii kukuvua raba mtoni wakasepa.
 
Kuna kitu ambacho sikielewi , kuna mademu walikua wakubwa sana kwangu mimi niko darasa la tatu wao wengine sekondar au darasa la saba huko ,ila nilikua na wapenda na nina wish eti wawe mademu zangu
Leo ngoja ni wataje my childhood crush ( Mnisamehe jamaa najua wengine nita vunja heshima ni wake za watu na tunaheshimiana kwa sasa )

Judy Temu
Masha Macatta
Goudencia Shigella
Annita Mzena
Anna Mbagga
Jamillah Hemed ( nadhani huy u ndio kwao kulikua na video store )
Tibu Mwandoro
Shaka Kirigini
Kisa Kilindu
Titi (sijui last name Alikua anaka Sea Vie )
Tamika Chikawe
Zuhura Kajembo
Husna Katunda
Erica Msangi
Khadija Faraji ( nisamehe dada ila ndio ujue, yani iki muona Michelle Obama na Singer Deseree namuona Khadija tuu )
Jueliet Ngodoki
Stellah Sebwache
Lucy Mality
Pandwe Kalala
Norah Manyama
Na wengine wengi nime sawahau kuwandika hapa , ila sijui nijiite ni malaya wa rohoni nilikuwa maana wote hao nilikua na wish wawe mademu zangu wakati ni wakubwa kwangu sana tuu.
Hahaha project hiyo

Ulitakiwa uifanyie kazi

Ova
 
Huu uzi umetawaliwa na ushua. Naomba pia msome huu uzi kuhusu mtaa nilipotokea. Huenda na wewe umetoka hapa pia.
 
Maandazi Road huku mwisho karibu na njia ya kwenda Mkirikiti Bar kulikuwa na maskani inaitwa Lebanon.

Ile maskani ukikatiza lazima ujihakikishe uko gado unajistukia mara mbilimbili maana pale masela wanaokaa si wa kawaida, kuna mateja na kila mazaga pale hawakawii kukuvua raba mtoni wakasepa.
Duh basi nilisha sahau kam walikua wana kaba lol
 
Kuna kitu ambacho sikielewi , kuna mademu walikua wakubwa sana kwangu mimi niko darasa la tatu wao wengine sekondar au darasa la saba huko ,ila nilikua na wapenda na nina wish eti wawe mademu zangu
Leo ngoja ni wataje my childhood crush ( Mnisamehe jamaa najua wengine nita vunja heshima ni wake za watu na tunaheshimiana kwa sasa )

Judy Temu
Masha Macatta
Goudencia Shigella
Annita Mzena
Anna Mbagga
Jamillah Hemed ( nadhani huy u ndio kwao kulikua na video store )
Tibu Mwandoro
Shaka Kirigini
Kisa Kilindu
Titi (sijui last name Alikua anaka Sea Vie )
Tamika Chikawe
Zuhura Kajembo
Husna Katunda
Erica Msangi
Khadija Faraji ( nisamehe dada ila ndio ujue, yani iki muona Michelle Obama na Singer Deseree namuona Khadija tuu )
Jueliet Ngodoki
Stellah Sebwache
Lucy Mality
Pandwe Kalala
Norah Manyama
Na wengine wengi nime sawahau kuwandika hapa , ila sijui nijiite ni malaya wa rohoni nilikuwa maana wote hao nilikua na wish wawe mademu zangu wakati ni wakubwa kwangu sana tuu.
Duh we noumer ulishawavua vyupi wote hao mawazoni mwako na suppose ungekuwa ushawakula ungesuuzika na roho yako! ila Mungu mwema labda nawe umauti ungekukuta sababa ya malovee ha ha ha jokes tu mkuu kuchangamsha kijiwe!
 
Duh we noumer ulishawavua vyupi wote hao mawazoni mwako na suppose ungekuwa ushawakula ungesuuzika na roho yako! ila Mungu mwema labda nawe umauti ungekukuta sababa ya malovee ha ha ha jokes tu mkuu kuchangamsha kijiwe!
Walikua wakubwa sana kwangu wasinge weza ni kubali hahahahaahaha halafu kpindi hicho due kija na kutoka na dmu mkubwa wsinge kubal kabisa ilikua si kitu cha kawaida hahahahaa
 
Hahaha project hiyo

Ulitakiwa uifanyie kazi

Ova
Mzee Mrangi mimi kilichonileta Dar ilikuwa chuo mwaka 2006 vinginevyo ningekuwa nakuja na fuso za ndizi tu.. hata huko ushuani nilipajua mapema kwasababu nilienda HESLB pale Tirdo kufuatilia mambo ya mikopo. Ila nilibahatika kufahamiana na binti wa Kitwanga... sasa hivi ni mtu mzito BOT kiasi kwamba kuonana naye ni ngumu. Mdogo wake Kitwanga alikuwa school mate. Nakumbuka familia za Kitwanga na Magufuli zilikuwa kitu kimoja. Mtoto wa Kitwanga au Magu angeweza kulala popote kati ya nyumba hizo mbili.
 
Kuna kitu ambacho sikielewi , kuna mademu walikua wakubwa sana kwangu mimi niko darasa la tatu wao wengine sekondar au darasa la saba huko ,ila nilikua na wapenda na nina wish eti wawe mademu zangu
Leo ngoja ni wataje my childhood crush ( Mnisamehe jamaa najua wengine nita vunja heshima ni wake za watu na tunaheshimiana kwa sasa )

Judy Temu
Masha Macatta
Goudencia Shigella
Annita Mzena
Anna Mbagga
Jamillah Hemed ( nadhani huy u ndio kwao kulikua na video store )
Tibu Mwandoro
Shaka Kirigini
Kisa Kilindu
Titi (sijui last name Alikua anaka Sea Vie )
Tamika Chikawe
Zuhura Kajembo
Husna Katunda
Erica Msangi
Khadija Faraji ( nisamehe dada ila ndio ujue, yani iki muona Michelle Obama na Singer Deseree namuona Khadija tuu )
Jueliet Ngodoki
Stellah Sebwache
Lucy Mality
Pandwe Kalala
Norah Manyama
Na wengine wengi nime sawahau kuwandika hapa , ila sijui nijiite ni malaya wa rohoni nilikuwa maana wote hao nilikua na wish wawe mademu zangu wakati ni wakubwa kwangu sana tuu.

Masha alikuwa dadaake Makatta aliyefariki alikuwa mzuri balaa hata mama yao, rangi flani ya hela. Anna Mbagga dadaake Joms Mbagga na Terence Mbagga, very beautiful aisee. Kisa Kilindu mbona sio rika hilo lakini? But as well, pretty Kyusa girl na mdogo wake Anna Kilindu.

Kulikuwa na hao kina Anita, Norah na Bella Buizilili aisee walikuwa wazuri jamani acha kabisa, wote binti wa nyumba moja.

Then kulikuwa na Adelaida Temu, huyu nakumbuka babaake boss mkubwa polisi basi kaka yangu mmoja alikuwa anampenda siku moja akaandika ujumbe akazungushia kwenye jiwe akarusha kwao kina Temu[emoji28]. Babaake na baba yangu walikuwa wanaheshimiana so yule mzee akaja home kumreport kaka yangu akagombezwa nakumbuka.
 
Mwaka ngj nkumbuke
Nawakumbuka walimu akina manyama,mwalimu julius,james,nasari
Huyu rizmoko tulikuwa naye shule alikuwa mnyonge tu [emoji1]

Ova
Dah! Nillikupita sana Forodhani Primary. Na mimi ilikuwa mwendo wa UDA ile stendi ya Posta upande wa pili enzi hizo hata daladala hamna ni UDA tupu daladala zilianza wakati nipo la 6 au 7. Mwalimu Manyama namkumbuka na Julius.
 
Umesahau story za Msasani ukikatisha unatembe ukitetemeka , sasa sijui tulitetemeka nini wakati huo ahata kukabwa au kuporwa kulikua hakuna au lada nime sahau
Yaani acha tu, halafu ikiwa mida ya jioni au usiku, ikipita mitaa ile halafu unasikia mchiriku unapigwa naona sasa hivi nakabwa, enzi hizo wanakuvua hata jeans uliyovaa na raba kali wanachukua.
 
Walikua wakubwa sana kwangu wasinge weza ni kubali hahahahaahaha halafu kpindi hicho due kija na kutoka na dmu mkubwa wsinge kubal kabisa ilikua si kitu cha kawaida hahahahaa
Dah watoto wa kishua wa kike wengi huwa wanaonekana wazuri automatically nakumbuka udogoni tuliishi na mtoto baba yake alikuwa Deputy DG wa shirika moja hivi dah tukaanza naye mafundisho kipaimara kanisan e bwan ehh alikuwa anapigiwa misele hatari na wakware wa church kweli alikuwa mzuri. Yaan nilikuwa napishana na washkaj kwenye fence nikiwauliza nyie vipi dah namfukuzia nancy buana🤣🤣🤣
 
Masha alikuwa dadaake Makatta aliyefariki alikuwa mzuri balaa hata mama yao, rangi flani ya hela. Anna Mbagga dadaake Joms Mbagga na Terence Mbagga, very beautiful aisee. Kisa Kilindu mbona sio rika hilo lakini? But as well, pretty Kyusa girl na mdogo wake Anna Kilindu.

Kulikuwa na hao kina Anita, Norah na Bella Buizilili aisee walikuwa wazuri jamani acha kabisa, wote binti wa nyumba moja.

Then kulikuwa na Adelaida Temu, huyu nakumbuka babaake boss mkubwa polisi basi kaka yangu mmoja alikuwa anampenda siku moja akaandika ujumbe akazungushia kwenye jiwe akarusha kwao kina Temu[emoji28]. Babaake na baba yangu walikuwa wanaheshimiana so yule mzee akaja home kumreport kaka yangu akagombezwa nakumbuka.
Wache aisee Masha alikua mrembo haswa , Mother wangu aliniambia kwamba Mama yao alisha wahi Kuwa Miss wa urembo .,Anna alikua naye mashallah, Nilipenda mademu wakubwa ndio maan hata huy Kissa anilikua namzimia , ,anita na Nora hao walikua kama na feel ndugu zangu zo sikuweza watamani lol , huyo Adelide Temu ni yupi, au ndio nilye muita Judy,? Judy baba yao alikua police na walikaa mtaa wa Ethiopian Crecent , alikau mrebo sana ila huyo na hisi ndio alikua mkuba zaidi ya wote .
 
Mnapelekwa na Banzi na crew yaje ya Namanga.

Mnaenda kula ice cream Kimicho Namanga.

Na kuazima mikanda ya movies VHS Oysterbay Video Library.

Halafu mnaambiwa mkimaliza kuangalia tafadhali rewind [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wakati mwingine unajifanya bingwa, unaacha TV nyumbani, halafu nakatiza bondeni , tunapita mandaazi road yote natokezea Drive Inn cinema kuangalia muvi ya kibubu, basi tu tujione wasela
 
Dah watoto wa kishua wa kike wengi huwa wanaonekana wazuri automatically nakumbuka udogoni tuliishi na mtoto baba yake alikuwa Deputy DG wa shirika moja hivi dah tukaanza naye mafundisho kipaimara kanisan e bwan ehh alikuwa anapigiwa misele hatari na wakware wa church kweli alikuwa mzuri. Yaan nilikuwa napishana na washkaj kwenye fence nikiwauliza nyie vipi dah namfukuzia nancy buana🤣🤣🤣
hahahahaahaha maisha bora na uzuri uchangia hahaha
 
Back
Top Bottom