Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Nonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesds murder sababu tu alikuwa anaishi Masaki/Oysterbay?
Dont hate the player, Hate the Game
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomedha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
Akili kubwaz chief
 
Yaani acha tu, halafu ikiwa mida ya jioni au usiku, ikipita mitaa ile halafu unasikia mchiriku unapigwa naona sasa hivi nakabwa, enzi hizo wanakuvua hata jeans uliyovaa na raba kali wanachukua.
Siku ya kwanza kuona Mdundiko ni shuleni ilikua sherehe ya Mwenge , mwenge ulikuaja hapo shule Obay primary , so kukawa na mdundiko , kipindi hicho sasa kwetu haturuhusiwi hata ktembea mtaa wa pili , sasa ilivyo anza mdundko tunaaza ufuata , tuka zunguka nao , toka Obay shule, Bongoyo road , Slender bridge , tuka rudi leaders club, Namanga, Maanzazi road , hadi Obay shule tena, duh si kuna mnoko akaja nisemea home kwamba nili tembea kote huko kufuata mdundiko , acha ni pigwe bonge la mkwara home lol
 
Dah watoto wa kishua wa kike wengi huwa wanaonekana wazuri automatically nakumbuka udogoni tuliishi na mtoto baba yake alikuwa Deputy DG wa shirika moja hivi dah tukaanza naye mafundisho kipaimara kanisan e bwan ehh alikuwa anapigiwa misele hatari na wakware wa church kweli alikuwa mzuri. Yaan nilikuwa napishana na washkaj kwenye fence nikiwauliza nyie vipi dah namfukuzia nancy buana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah,

Jina la Nancy umenikumbusha Nancy Sayore na ice cream za Kimicho.

Siku moja Namanga nilikiwa namsalimia Nancy nampa pole kwa masahibu fulani yalimpata, wabongo walikuwa wanamsema sana. Nikawa nafurahia kumuona na kumpa moyo tu kama kaka rafiki mwenye bashasha, kwamba asijali maneno ya wabongo.

Ile naangalia pembeni hivi, naona Lt. Gen Gideon Sayore kakaa kwenye Nissan Patrol ananipiga jicho pembe anaangalia body language yangu kwa Nancy.

Nikasema utubora kitu muhimu sana, yani Mzee Sayore aliniona poa kwa sababu nilikuwa nacheka vizuri na Nancy. Pale kama ningekuwa namzodoa Nancy Lt. General Sayore angeshuka na kunibeba mzobemzobe mara moja!
 
mwanaume akiwa power ya kipato/nafasi mara nyingi ataingia mahusiano na mwanamke mzuri wa sura sasa automatically wakizaa mtoto wa kike ana possibilities nyingi za kuwa mzuri plus maisha bora automatically toto linakuwa zuriiiiiiiiiii
Hiyo kweli kabisa aisee
 
Dah! Nillikupita sana Forodhani Primary. Na mimi ilikuwa mwendo wa UDA ile stendi ya Posta upande wa pili enzi hizo hata daladala hamna ni UDA tupu daladala zilianza wakati nipo la 6 au 7. Mwalimu Manyama namkumbuka na Julius.
HUWEZI AMINI NLIPOKUWA NASOMA FORODHANI KTK MWAKA MZIMA NAWEZA PANDA UDA LABDA MARA CHACHE SANA, LIFT NYINGI NLIKUWA NAPEWA NA WATOTO WA KISHUWA TENA KWA MAKUBALIANO
YA WAZEE WAO...NIKISHUKA KITUO CHA MBUYUNI PALE AHH NAKANYAGA MPK HOME,SAA NYINGINE NLIKUWA NAPELEKWA MPK HOME [emoji1]
KUNA YULE MUUZA PIPI NJE YA GETI
FORODHANI UNAMKUMBKA,TULIKUWA TUNABUTUA SANA PIPI ZAKE WATU WANAGOMBANIA,ULE MSALA KNA SIKU AKAPELEKWA MWL JAMES AISE NLICHEZEA
UNAIKUMBUKA MIHOGO YA KULE BAHARINI...CHINI ILIKUWA INAUZWA
NLIKUWA NAWAKUSANYA WASHKJ WATOTO WA KISHUWA TUNAENDA KULA
HIVI MWL MBUYA YUKO HAI KWELI

NMEKUMBUKA MBALI SANA

Ova
 
Dah! Nillikupita sana Forodhani Primary. Na mimi ilikuwa mwendo wa UDA ile stendi ya Posta upande wa pili enzi hizo hata daladala hamna ni UDA tupu daladala zilianza wakati nipo la 6 au 7. Mwalimu Manyama namkumbuka na Julius.
Mwalm manyama yupo hazeeki aise
Yuko kwake mitaa ya Tunisia Road
(Leaders)
Tunawasiliana sana

Ova
 
Nonsense. Why exactly him? There was a whole bunch of useless, entitled, fucked up brats living free out of their parents’ government rental properties in Masaki and Oysterbay, including yourself? Kwahiyo unataka kusema Makwatta alikuwa a random victim of such a savage and senselesds murder sababu tu alikuwa anaishi Masaki/Oysterbay?
Mkuu hata wewe unaruhusiwa kuanzisha thread kuhusu mtu yeyote au sehemu yoyote bila kutoa sababu yoyote.

Kwa sababu umependa tu kuanzisha topic hiyo.

Halafu watakaopenda wachangie, wasiopenda wasichangie.

Huhitaji sababu kuanzisha topic.

Why do you make it sound like people have to justify their threads?

Kuna watu wameanzisha thread za kula tunda kimasihara na zimevuma kutoka 2014 mpaka leo, thread inakaribia miaka 10.
 
Dah,

Jina la Nancy umenikumbusha Nancy Sayore na ice cream za Kimicho.

Siku moja Namanga nilikiwa namsalimia Nancy nampa pole kwa masahibu fulani yalimpata, wabongo walikuwa wanamsema sana. Nikawa nafurahia kumuona na kumpa moyo tu kama kaka rafiki mwenye bashasha, kwamba asijali maneno ya wabongo.

Ile naangalia pembeni hivi, naona Lt. Gen Gideon Sayore kakaa kwenye Nissan Patrol ananipiga jicho pembe anaangalia body language yangu kwa Nancy.

Nikasema utubora kitu muhimu sana, yani Mzee Sayore aliniona poa kwa sababu nilikuwa nacheka vizuri na Nancy. Pale kama ningekuwa namzodoa Nancy Lt. General Sayore angeshuka na kunibeba mzobemzobe mara moja!
au mzee Sayore alikuwa anakujua so akajua ah huyu ni mtoto wa mshua fulani ah hana sheeda huyu amekuzwa vyema tu!!
 
HUWEZI AMINI NLIPOKUWA NASOMA FORODHANI KTK MWAKA MZIMA NAWEZA PANDA UDA LABDA MARA CHACHE SANA, LIFT NYINGI NLIKUWA NAPEWA NA WATOTO WA KISHUWA TENA KWA MAKUBALIANO
YA WAZEE WAO...NIKISHUKA KITUO CHA MBUYUNI PALE AHH NAKANYAGA MPK HOME,SAA NYINGINE NLIKUWA NAPELEKWA MPK HOME [emoji1]
KUNA YULE MUUZA PIPI NJE YA GETI
FORODHANI UNAMKUMBKA,TULIKUWA TUNABUTUA SANA PIPI ZAKE WATU WANAGOMBANIA,ULE MSALA KNA SIKU AKAPELEKWA MWL JAMES AISE NLICHEZEA
UNAIKUMBUKA MIHOGO YA KULE BAHARINI...CHINI ILIKUWA INAUZWA
NLIKUWA NAWAKUSANYA WASHKJ WATOTO WA KISHUWA TUNAENDA KULA
HIVI MWL MBUYA YUKO HAI KWELI

NMEKUMBUKA MBALI SANA

Ova
Dah mzee mimi nilisoma Forodhani miaka mingi kabla yako lakini kuna mambo fulani yaliendelea kama ile mihogo ya kuchoma baharini wakati wa break. Kutoka getini pekee yake ilikuwa shida. Halafu kuwahi darasani baada ya break nayo ilikuwa changamoto. Vyoo vya shule vilikuwa kama jehanamu. Mtu ulikuwa unajibana uende choo cha Cathedral.
 
Mkuu hata wewe unaruhusiwa kuanzisha thread kuhusu mtu yeyote au sehemu yoyote bila kutoa sababu yoyote.

Kwa sababu umependa tu kuanzisha topic hiyo.

Halafu watakaopenda wachangie, wasiopenda wasichangie.

Huhitaji sababu kuanzisha topic.

Why do you make it sound kike people have to justify their threads?

Kuna watu wameanzisha thread za kula tunda kimasihara na zimevuma kutoka 2014 mpaka leo, thread inakaribia miaka 10.
Dah jamaa ana kinyongo fulani hivi🤣😂
 
Huu uzi umetawaliwa na ushua. Naomba pia msome huu uzi kuhusu mtaa nilipotokea. Huenda na wewe umetoka hapa pia.
Mkuu bigbup kwa kuwakilisha sehemu uliyotokea bila kuweka chuki kwa wengine.

Hata Mshana Jr nakumbuka alianzisha uzi wa mitaa ya Mwananyamala. Mimi nikawa msomaji tu kwa sababu uzoefu wangu mitaa hiyo ni mdogo.

Wala sikuusema vibaya uzi wa watu kufurahia kumbukumbu za kwao walipokulia.

Ndivyo inavyotakiwa hivyo.
 
mwanaume akiwa power ya kipato/nafasi mara nyingi ataingia mahusiano na mwanamke mzuri wa sura sasa automatically wakizaa mtoto wa kike ana possibilities nyingi za kuwa mzuri plus maisha bora automatically toto linakuwa zuriiiiiiiiiii
Hao wengi walikua wamenawiri tu huenda si Waziri,jitu hata likiwa baya lakini likinawiri unaliona zuri
 
Back
Top Bottom