Kina K-Lynn nilikuwa siwajui ina nadhani Sister wake nilikua namuona kwnye Parties za Mwanguku , kama kawaida yangu na shoboka na mademu wakubwa, nilikua namuona demu mkali kinoma, Siku mmoja mshkaji wangu akaniambia , ebana kuna demu mkali kinoma na anaongea naye ,demu wanapiga naye story kwnye simu, amaniambia yuko na ye coco, basi hata sisi tulikua na gari moja la Ukweli ( Sisemi ni lipi) basi nikaenda kumfuata , ebanakuja mkuta nili pigwa butwa demu mkali kinoma kuja kukuta huyo demu ni K-Lynn , alikua mkali zaidi ya alipo kuwa Miss, Jamaa wazushi wakaanza mtisha ooh hutamuweza huyo demu mkali ata chukuliwa na watu, basi jamaa , tukawa tunamfuata K-Lynn Forodhani shuleni , wakati huo nina gari ya maana (ya baba) , ujiko watoto wote wanatutolea macho ,ila jamaa naye akawa domo zege , akamuogope eti wajanja wata mpiku basi haku endelea tukasikaa Victor Mollel ndio ana mfukuzia , sijui kama ali mpata au viipi , Kidogo ukatokea Msiba kwao , ikabidi kwenda mpa pole, baada ya hapo siku msikia tena , Mara ya mwisho niko Mambo Club, naona demu mkali ila ana nywele fupi ( mtoto anajua zana kupiga viwalo) ana dance , kumcheki kumbe ni K-Lynn , duh nika jisogeza msalimia hapo maana alikau kama Shemeji fulani , ingawa hakutoka na mshkaji , basi mimi week hiyo ndio nikaondoka Bongo, sikujua kinacho endelea Mpaka nakuja sikia Kashinda Miss TZ nika sema wow well deserved mtoto mkali kinoma .