Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

Huyo LemuTuz kaja julikana juzijuzi hatukukua naye kabisa wala tulikua hatumjui , hakuwa miongozi mwa zile circles ,Ippy ndio alikua .
Mtoto wa mchepuko siku zote hana haki, anafichwa fichwa kama vidonge vya ARV'S , alisimulia historia yake kuisoma nililia as if ni ndugu yangu hakuwahi ku enjoy kiwa mtoto wa mzee Malecela wakati akiwa mdogo. Na ni mtoto anaemfanana mzee Malecela kuliko watoto wake wote.

Dah haya maisha mtu anazaliwa anakutana na majanga ya duniani as if alituma maombi kuzaliwa dah.
 
Ettiennes hakuna ghorofa la kurushwa mtu akafa.

Labda aliuliwa akatupwa hapo.

Nimecheza disco kwa Mgiriki hapo miaka 1970 - 73.
Unajua mtu anaweza kuanguka kutoka akiwa amesimama (his own Height) na akafa ?

Au unazungumzia nini ?!! ; Kwa ujuzi wako at what Height falling can cause Death ?, Na hapo nasema falling sijaongelea kurushwa sababu akirushwa hata mija mota tu ile force inaweza ikasababisha Kifo...
 
My brother you are losing the plot. Hapa watu wanakumbushana stories za maisha miaka hiyo.. The point is, Oysterbay was there….so hata kama siyo Kiranga au Wingawinga wengine wangeishi. Hata wewe au mimi nyota ingetutokea mshua ramani zimekubali tungeishi huko.. Hata wewe hapo ulipo, Kuna watu wanaamini watoto au familia yako wanaishi kishua au ushuani. Sasa should they feel guilty at some point in the future kuishi maisha mazuri? Unataka Wingawinga akupe stories za mwananyamala ambayo hakuwahi kuishi, kisa ajinasibu kama mtu wa kipato cha chini?
wengine stories kama hizi zinatubariki. Zina kuonyesha kwamba tunaishi kwenye dunia yenye possibilities.

take it easy bro ..hizi ni stories, nothing serious. matabaka ndo yanaifanya dunia iwe na thamani.
Si unajua mkuu nikishapiga vyombo vyangu I become more like a loose canon. Mnisamehe.
 
Haya ngoja niunogeshe uzi wako na kapicha na matukio

Unaona sasa kujichanganya na mashuwa anakuitia mgahawa fulani
Kwa breakfast meeting,unapiga kapuchino huku mziki wa jazz au rock n roll fulani,sjui Country unaisikia kwa mbali
Syo mnaenda sjui shyshy kitambaa cheupe nk eti unaenda for meeting hapo na mtu mnaongelea biashara
Mikelele sjui singeli bongo fleva
Hata hamsikilizani [emoji1]
Hapo kuna picha junction ya kilimanyege nmemuwekea mwanangu
Kiranga inaonekana hapo kafanya sana vurugu na magari


Ova
View attachment 2676015View attachment 2676017View attachment 2676018View attachment 2676019
Dah,

Ndiyo naamka hapa unanitia uroho tu.

Umenikumbusha kuku wa Sea Cliff.
 
Kina K-Lynn nilikuwa siwajui ina nadhani Sister wake nilikua namuona kwnye Parties za Mwanguku , kama kawaida yangu na shoboka na mademu wakubwa, nilikua namuona demu mkali kinoma, Siku mmoja mshkaji wangu akaniambia , ebana kuna demu mkali kinoma na anaongea naye ,demu wanapiga naye story kwnye simu, amaniambia yuko na ye coco, basi hata sisi tulikua na gari moja la Ukweli ( Sisemi ni lipi) basi nikaenda kumfuata , ebanakuja mkuta nili pigwa butwa demu mkali kinoma kuja kukuta huyo demu ni K-Lynn , alikua mkali zaidi ya alipo kuwa Miss, Jamaa wazushi wakaanza mtisha ooh hutamuweza huyo demu mkali ata chukuliwa na watu, basi jamaa , tukawa tunamfuata K-Lynn Forodhani shuleni , wakati huo nina gari ya maana (ya baba) , ujiko watoto wote wanatutolea macho ,ila jamaa naye akawa domo zege , akamuogope eti wajanja wata mpiku basi haku endelea tukasikaa Victor Mollel ndio ana mfukuzia , sijui kama ali mpata au viipi , Kidogo ukatokea Msiba kwao , ikabidi kwenda mpa pole, baada ya hapo siku msikia tena , Mara ya mwisho niko Mambo Club, naona demu mkali ila ana nywele fupi ( mtoto anajua zana kupiga viwalo) ana dance , kumcheki kumbe ni K-Lynn , duh nika jisogeza msalimia hapo maana alikau kama Shemeji fulani , ingawa hakutoka na mshkaji , basi mimi week hiyo ndio nikaondoka Bongo, sikujua kinacho endelea Mpaka nakuja sikia Kashinda Miss TZ nika sema wow well deserved mtoto mkali kinoma .
Unakumbuka pia kwa Mkuu wa Magereza, palitokea pilika za kupigana risasi kati ya kijana wa pale na dada mmoja waliokuwa sijui ndugu wa karibu au dada alilelewa tokea mdogo na familia yao, kijana alikuwa anampenda waowane lakini yule dada anamkatalia kwa kuwa alikuwa anamuona kama kaka yake, kijana akamplipua na kujilipua yeye, nasikia sijui yule dada alipona ila kijana aliondoka.
 
Kina K-Lynn nilikuwa siwajui ina nadhani Sister wake nilikua namuona kwnye Parties za Mwanguku , kama kawaida yangu na shoboka na mademu wakubwa, nilikua namuona demu mkali kinoma, Siku mmoja mshkaji wangu akaniambia , ebana kuna demu mkali kinoma na anaongea naye ,demu wanapiga naye story kwnye simu, amaniambia yuko na ye coco, basi hata sisi tulikua na gari moja la Ukweli ( Sisemi ni lipi) basi nikaenda kumfuata , ebanakuja mkuta nili pigwa butwa demu mkali kinoma kuja kukuta huyo demu ni K-Lynn , alikua mkali zaidi ya alipo kuwa Miss, Jamaa wazushi wakaanza mtisha ooh hutamuweza huyo demu mkali ata chukuliwa na watu, basi jamaa , tukawa tunamfuata K-Lynn Forodhani shuleni , wakati huo nina gari ya maana (ya baba) , ujiko watoto wote wanatutolea macho ,ila jamaa naye akawa domo zege , akamuogope eti wajanja wata mpiku basi haku endelea tukasikaa Victor Mollel ndio ana mfukuzia , sijui kama ali mpata au viipi , Kidogo ukatokea Msiba kwao , ikabidi kwenda mpa pole, baada ya hapo siku msikia tena , Mara ya mwisho niko Mambo Club, naona demu mkali ila ana nywele fupi ( mtoto anajua zana kupiga viwalo) ana dance , kumcheki kumbe ni K-Lynn , duh nika jisogeza msalimia hapo maana alikau kama Shemeji fulani , ingawa hakutoka na mshkaji , basi mimi week hiyo ndio nikaondoka Bongo, sikujua kinacho endelea Mpaka nakuja sikia Kashinda Miss TZ nika sema wow well deserved mtoto mkali kinoma .
K-Lynn alikuwa anawawekea mitego washua wenye pesa tangu Forodhani.

Alikuwa anasema kabisa lazima ampate mdingi mmoja mwenye pesa kubwa ammiliki.

Naona ndoto zake zimetimia.
 
Sasa kama baba ana uwezo why ni bebe box ulaya au ni jichangie kwenda ulaya?, wengine baba zetu wana upendo na wana jali familia , hivyo exerience yako na mzazi wako usifanye ulinganishe na za kwetu , Ulaishaona Prince Charles (Then) ana work at McDonalds? usilinganishe , baraka za wenzako usisilaumu , wengne ilikuw simu moja tuu baba ana mwaga pesa , sasa tatizo liko wapi?, sioni ubaya wowote na kama una watoto acha kuwatesa wape misingi mizuri na sio kuwatesa eti sababu ulipitia shida na wao wapate shida kama wewe hiyo ni dhambi , hapana kwa hilo .
Sahihi
 
Cha kuchekesha mimi ndio nime geuka kama huyo mzee, madogo wakija na mtu simuelewi , napiga maswali kama wako Immigration , lazima ni jue ni nani ,a a kaa wapi ,ana fanya nini, baba yake ni nani ana yuko toka familia ya aina gani . huwa wanakoma nadhani wana hadithiana uko huyu mzee mnoko , lol
Kumbe umeshazeeka? Shikamoo mzee!
 
Watu hawaelewi kwamba popote ulipo katika maisha utakuwa na watu uliowazidi na waliokuzidi.

Na kuwa na roho safi ni kujifunza waliokuzidi wamekuzidi vipi, kutowaonea wivu, kufanya kazi uwafikie, na ukishindwa kuridhika na hali yako, na kusaidia uliowazidi wanaostahili kusaidiwa kadiri ya uwezo wako.

Everything is relative. Hiyo Oysterbay yenyewe ukiilinganisha na The Hamptons ni slum tu.

Kwa standards za utajiri wa dunia, Watanzania ukitoa familia chache sana, wote tuligawana umasikini tu, ila katika hao masikini wengine walikuwa na afadhali kidogo, weng8ne walielimika kidogo, wengine walikuwa na resources kujua waende wapi kujiongeza.

Sasa kugombana ya nini?

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Bravo[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Miaka ya 80 wakati tuko watoto ilitokea misiba ya vifo vya utatanishi, sijui kama ni utatanishi au ni kwasababu nilikuwa mtoto hivyo sikuelewa mwisho wa hizi case .

Kifo ha kwanza kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Makatta Makatta, huyu inasemekana aliuawa kwenye party maeneo ya Upanga, kwa kurushwa ghorofani, je kisa kamili kilikuwaje?

Kifo cha pili ni dada mmoja alijulikana kama Angelica Rwechungura, huyu aliuawa kwa kurushwa ghorofani maeneo ya Hotel inaitwa Entience (sina uhakika na jina la hotel), je hili tukio lilikuwaje?

Kifo cha tatu kilikuwa cha kijana mmoja alijulikana kama Robert Cathless, yeye naye inasemekana alirusha ghorofani maeneo ya mjini, je naye hili tukio lilikuwaje?

Wote hao vijana walikuwa ni vijana wanaishi Oysterbay na wengi wetu hatujui kama watuhumiwa walikamatwa au case ziliishaje, zaidi ya wauaji wa Angelica ambao walikamatwa na case ilifanyika ila hatujui mwisho wake ulikuaje, mwenye taarifa naomba atujuze zaidi.
Mm Bado nilikuwa Kazuramimba nachoma tofali
 
Ndio maana nilikua simuoni na nilikua sija mjua kabisa ,sasa alikua ana hang wapi maana Coco ndio ilikuwa sehemu pekee ya wakishua , hivi ilkua ni wapi kwingine ?
Kuna mademu fulani nime wasahau walikua wana soma ITS ,mmoja laikua Mzambia na Mwingine Mganda, mmoja alini shobokea nika wan na hang naye halafu domo zito , tulikuwa tukienda kwao kwnye party reagent , sometime walikua wanakuja na gari ya baba yao Mercedez ya number za ubalozi , halafu mimi nikachemsha sababu alikua Mossy au Robert Byabato wako nao so close , ila demu aka shoboka kisiri na mimi , ila mimi kwa ujinga eti nikaogopa sababu washkaji ndio mademu zao , anyways nilikua domo zege kinamna, ila demu alinielewa, alikua anaitwa kitu kama Lilian or Joan , her lastname ndio tulikua tuna make fun of it , somebody Shipwashoke.
Alphonce kumbe alikuwepo miaka hiyo , duh , nakumbuka pale ilikuwa changing room ime choka kinoma, hapo ndio ilikua ina fanyika beach parties na umeme tuna chukua kw akina Kapere Shaba ,.
Ninasikia baadae bech parties zikaja kufungwa baada ya wimbi la wahuni toka Manzese walipo anza kuja hapo na kuona watoto wa kishua wako wamevaa mini skirts wakata mbaka binti ya mmoja wa mtoto wa mama moja alikuwa waziri na sikia akaokolewa na police na toka hapo Beach partis zika pigwa marufuku .
Rob Byabato alikua akiishi Mzinga way na Mossy Kipokola alikua akiishi jirani na hill road kule. Mossy alisoma IST ila hao mademu wa kiganda siwakumbuki, namkumbuka kijana moja akiitwa Dick Tembo, huyu alikua ni mzambia na alikua akitesa sana na 504 yenye namba za ubalozi wa Zambia, miaka ile waliishi masaki mwisho jirani na uwanja wa basket. Huko pia tuli hangout sana kuvizia mademu. [emoji3][emoji3]
 
Mkuu una roho safi sana.

Ukiwa na kijiba cha roho unajiumiza mwenyewe tu.

Kitu muhimu ni kufanya kazi kuboresha hali yako, kutengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wanaokufuatia, na ukishindwa kabisa ukubali hali yako kwa roho safi bila kujisikia unyonge, maisha ni zaidi ya nafasi katika jamii na utajiri.

Shaaban Robert hakuwa mtoto wa Oysterbay lakini kuna watoto wa Oysterbay kibao wamesoma katika shule iliyopewa jina lake.

Kwa nini? Alikuwa na mchango mkubwa katika literature ya Kiswahili kwa namna ambayo hakuna mtoto wa Oysterbay aliyefikia.

Labda unaweza kusema huyo wa zamani sana.

Diamond Platnumz hajasoma sana, hata Kiingereza hajui vizuri, lakini hakujisikia unyonge, kajikubali, kajiongeza, leo hakuna mtoto wa Oysterbay anayejulikana dunia nzima kama Diamond Platnumz, mtoto wa Tandale sijui Mbagala huko LeMutuz alikuwa anapaita maswekeni.

Rapper Rakim aliwahi kusema "It's not where you're from, it's where you're at".

Hapa tunapiga stories tu kukumbushana tulivyokua, majirani, kukumbuka waliotangulia mbele kwa kifo, mpaka majirani walioishi next door wanajuana, hatuna nia ya kumfanya mtu mwingine ajisikie mdogo na sisi tuliokulia Oysterbay kuwa zaidi.

Kwa kiasi kikubwa nafasi za kukulia huko zimekuja na bahati fulani, ambayo mtu yeyote angeweza kuipata, na wengine baba zetu wamezipata, ingawa na wao walipozipata hizo bahati wengi wao hawakuzilazia damu, hawakuogopa umande.

Mfano huyo Malecela aliyekuwa Waziri Mkuu wakoloni walikuja kwa Chifu Mazengo kutaka kuwasomesha watoto wa Chifu Mazengo, Chifu Mazengo akakataa watoto wake kusomeshwa na wakoloni.

Wakoloni wakaenda pembeni kwa baba yake Malecela kumuomba wasomeshe watoto wake, ndiyo John Malecela na Job Lusinde wakapata nafasi kusoma.

Ina maana yule Chief Mazengo angekubali watoto wake wasomeshwe na wakoloni, leo labda huyo Malecela tusingemjua.

Na huko ndiko Watanzania karibu wote tumetoka, ukichunguza hata kama familia ina wasomi sana utakuta kuna sehemu huko nyuma kulikuwa na pure chance event imewapa the edge.

So, mara nyingine ni vijimambo vya maisha tu vinatoa nafasi, si kwamba watu wanatamba kwamba wana uwezo zaidi.
You are a humble man dude
 
Sio mmoja alikuwa anaitwa Ipyana nadhani, tumecheza nao sana basketball kwenye half court ya Mzee Malay(rRIP) na kina Mazula, Warioba, halafu tulikuwa tunaenda kuomba mechi na watoto wa Masaki mwisho kina Mpoki(RIP), Eric Mwenda, daaah, zamani kweli mitaa ile tulikuwa tunajiona tunaishi US, mtu jua kali unavaa ki jumper cha hoodie
Tumeingia sana IST kucheza basketball na wototo wa kizungu
kuna mshkaji alikua anasoma Tambaza, alikua tall sana na alikua akicheza basket ball, walikua wanaishi Masaki, alikua anaitwa Magilani Mollel. sio huyo?
 
Usisahau pia hao mastaa wanapata sana promo na social medias na hiyo inapromote pia kazi zao. Sasa baadhi ya wa kishua na matajiri wengine wanapenda faragha.So ni rahisi harusi ya Nandy, Zamaradi au Wolper kutrebd maana online tv kama zote mpaka mabango ya barabarani! but hao wenye hela zao utaona tu kwenye page za watu kama maMC fulan kapost na labda wanafamilia.
Rizi mngemjua tu mpaka muandiko wake una kithembe!

By the way, Kikwete hajawahi kukaa Oysterbay kama kumbukumbu zangu ziko sawa.

Kikwete alikuwa anakaa mikocheni karibu na TIps.

Kina rizwan wamekulia mikocheni. Hawajawai kukaa oysterbay
 
Viwanja vyangu vyote hivyo.

I was out and about.

Maandazi Road ndiyo mama akikuita ukisikia tu "mtoto wangu mzuri..." unajua hii safari ya maandazi road inafuata hapa.

Unalitafuta Toyota Stout la TZA enzi hizo ulichanganye mafuta.

Haile Selassie ndiyo kuanzia St. Peters mpaka IST na Coco Beach, parties za mabalozi na kwa Warioba kama zote.

Mpaka nyingine siwezi kusema hapa.RIP Baba T for lifting me up in the compound.

Kilima nyege hapo nashuka kwenda kwa Bibi Masaki meeting up with my Geneva cousins to catch up, I make a left tMsasani Road nafikiri hapo, to the Bakilanas, na ubalozi wa Ireland huko, nyumba ya Mzee Bakilana ndiyo ipo mwisho wa Mzinga Way, tunatoka parties za alipokaa Mtei tunahamia kwa paries za Bakilana, tunakwenda kupita kwenye kilimanyege chenyewe. Tunaamua, tuende parties za Mzee Malocho, IST, Coco beach, za kwa Marcel Komanya au za balozi Mahiga? parties za posta au za bandari?

Au tunarudi Msasani Road kwa Ronald Mutie Mengi na kulianzisha Oysterbay Hotel huko na ufirauni wa Abbas Mwinyi?

Leo nimeamua tu kuepuka kikombe hiki, nikitaja mengi sana kuna wasiojulikana watanijua mpaka jina.
Dah umetisha
 
Back
Top Bottom