totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 369
- 1,106
Habari ndugu zanguni,
Naomba tushauriane na tutoe ya moyoni kuhusu shule zinazowaingiza watoto kufanya usafi kwenye maghala ya kuhifadhi mahindi hizi ishu naona isipoziwa sauti itakuwa sugu kwa sasa. Jana nimeona watoto Watatu wa Form 3 wamefariki Dunia baada ya mwalimu kuwachukua watoto sita kwa ajili ya kufanya usafi hatimaye watoto watatu wamefariki Dunia 😭😭.
Inahuzunisha sana nikiwa kama mzazi kwa sababu hizo ghala ni hatari kwa maisha ya watoto wetu ambao wanaishi shule za kulala, mtoto ameondoka mzima wa afya kwenda shule kusoma unarudishiwa nyumbani mtoto amelala inaumiza mnoo..
Mwaka jana hii ishu ilitokea katika shule mbili tofauti na jana tarehe 2/5 nimeona imetokea tena.. Ndugu zanguni najua humu viongozi mbalimbali wapo ikiwemo mama yetu Gwajima Atusaidie kupaza sauti kwa walimu katika hizi shule za Sekondari watoto wa bweni..
Haya matukio yanaumiza mno ndugu zanguni.
Pia, soma=> Wanafunzi watatu wafariki kwa kukosa hewa wakati wanatoa mahindi kwenye kihenge cha shule, mwalimu aliwaacha na kwenda kunywa chai
Naomba tushauriane na tutoe ya moyoni kuhusu shule zinazowaingiza watoto kufanya usafi kwenye maghala ya kuhifadhi mahindi hizi ishu naona isipoziwa sauti itakuwa sugu kwa sasa. Jana nimeona watoto Watatu wa Form 3 wamefariki Dunia baada ya mwalimu kuwachukua watoto sita kwa ajili ya kufanya usafi hatimaye watoto watatu wamefariki Dunia 😭😭.
Inahuzunisha sana nikiwa kama mzazi kwa sababu hizo ghala ni hatari kwa maisha ya watoto wetu ambao wanaishi shule za kulala, mtoto ameondoka mzima wa afya kwenda shule kusoma unarudishiwa nyumbani mtoto amelala inaumiza mnoo..
Mwaka jana hii ishu ilitokea katika shule mbili tofauti na jana tarehe 2/5 nimeona imetokea tena.. Ndugu zanguni najua humu viongozi mbalimbali wapo ikiwemo mama yetu Gwajima Atusaidie kupaza sauti kwa walimu katika hizi shule za Sekondari watoto wa bweni..
Haya matukio yanaumiza mno ndugu zanguni.
Pia, soma=> Wanafunzi watatu wafariki kwa kukosa hewa wakati wanatoa mahindi kwenye kihenge cha shule, mwalimu aliwaacha na kwenda kunywa chai