INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

Atakua Mzungu mkurya uyo[emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafuga Sana Bata kule[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu koko huyu
 
Hii picha huyu sio mzungu,labda mhindi au muarabu,ndio wako sawa na waafrika,kimaisha.
Huyo ni Mzungu tena ni states.....

Amini nakwambia huko Homelessness ni jambo la kufikia tena shukuru huku Bongo unaweza kulala barabarani weather sio mbaya kuna nchi huko kama UK mtu analala nje na anapigwa baridi ya kufa mtu...,

 
Unadhani kwa nini muuzaji kataja mzungu?
Mzungu anakaa Kitunda, Kinyanturu kwa Fundi Baiskeli....

utakabwa na panya road bure unatafuta dining table ya chuma na kabati la chuma
 
Mmasai huyo, mzungu gani hana hata friji/jokofu
 
Kwa bei ya hivi vitu hapa, bora kama nina pesa nikanunue mpya kuliko kununua vitu used.
 
Mzee mm nipo Nyantila Mwembeni hapa, kesho ntakuja kunegoshieti na Mzungu mwenyewe face to face
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…