DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AtakwmbiaMkuu kwa bei hizo unachekesha sanaaa, mtungi was oryx ukiwa full (mpya) in sh.90k wewe unauza 100k
Rice cooker inauzwa 65000 wewe unauza 120000, hapo utasuburi sanaaa
Atakua Mzungu mkurya uyo[emoji12]Saingine chanzo cha ban ni mada kama hii ulioleta[emoji28] hamna mzungu Expatriate anakaaga kitunda!
Uelekeo ni Masaki ama Oysterbay siku zote akifeli sana ataishia Kawe au Mbezi beach. Huko ndiko kuna maeneo ambayo walau yanafanana na alipotoka.
Hizo bidhaa sema ulipozitoa kama si zako ila usisingizie ni za mzungu expatriate.
Wanafuga Sana Bata kule[emoji4]Niliwahi kwenda Kitunda mara moja na nilihapa sitokaa niishi uko. Kwanza nilienda na vipanya alafu watu wote kwenye gari ni washamba na uncivilized, kelele kibao na uswahili mwingi. Nilichokuwa naenda kununua nikakuta ni feki nikarudi zangu nikaenda kipata kwa muuzaji mwingine mjini.
Kitunda kuna vumbi na kila kona kuna dalili za kuku. Either vibanda, mayai, vyakula, baiskeli za wabebaji. Yani fujo tu
Mzungu koko huyuMgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)
Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338
Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.
View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Hii picha huyu sio mzungu,labda mhindi au muarabu,ndio wako sawa na waafrika,kimaisha.Mkuu bidhaa ni kama zipo overpriced !!!
Kuhusu wazungu inategemea sio wote wana Lamborghini
View attachment 2097674
Huyo ni Mzungu tena ni states.....Hii picha huyu sio mzungu,labda mhindi au muarabu,ndio wako sawa na waafrika,kimaisha.
Mzungu anakaa Kitunda, Kinyanturu kwa Fundi Baiskeli....Unadhani kwa nini muuzaji kataja mzungu?
Mmasai huyo, mzungu gani hana hata friji/jokofuMgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)
Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338
Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.
View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Umeona eeeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Comments walah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa bei ya hivi vitu hapa, bora kama nina pesa nikanunue mpya kuliko kununua vitu used.Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)
Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338
Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.
View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Hiyo baridi ya kufa mtu ni ipi, mbona hafi sasa kama ni ya kufa mtuHuyo ni Mzungu tena ni states.....
Amini nakwambia huko Homelessness ni jambo la kufikia tena shukuru huku Bongo unaweza kulala barabarani weather sio mbaya kuna nchi huko kama UK mtu analala nje na anapigwa baridi ya kufa mtu...,
View attachment 2099834View attachment 2099839
Kwanza kabisa unapaswa kuelewa siwezi kuishi kinyantira, pili sina takataka ndani kwangu na tatu siwezi weka getto langu hapa bila sababu ya msingi.Weka picha ZA geto lako tuone.
100% haiwezi kuzidi hili
Au mzungu ni wewe? [emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu sana jf..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani comments za kwenye huu uzi zinaongeza kinga ya mwili kabisa