Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Vifungashio vya plastiki visivyo na nembo ya TBS visitumike kuanzia leo

Kama hivyo vifungashio (vifuko) vina madhara kwa mtumiaji, kosa liko wapi?

Ila kama havina madhara, basi serkali ime yumba kwenye hilo, maana hizo ndio sekta za mtu wa hali ya chini sasa.

#totobaya#
 
Machupa ya plastiki ya maji nayo yamejazana mijini
 
Sasa mbadala ni nini?

Wale wananchi wa chini ina maana waache kufanya biashara zao ambazo ndio wanazitegemea kupata chakula cha siku sasa wataishije?

Hivi serikali inatambua uchumi wa kati upo kwenye karatasi tu na sio kwa wananchi?
Mnavyozidi kuwakazia uchumi utakuwa mkubwa kwenye karatasi lakini wananchi ni masikini wa kutupwa.

Tanzania itakuwa kama india.
 
View attachment 1666617
Makusanyo ya DPP hatujaelezwa, Yale yalikua ni ya TRA tu.

==
Kaimu Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini, Nancy Nyenga, aliiambia Nipashe kwamba, kwa kiwanda kitakachozalisha vifungashio hivyo, kitatozwa faini ya Sh. milioni 20 na isiyozidi Sh. bilioni moja au kifungo cha miaka miwili jela au adhabu zote kwa pamoja.


Kwa mujibu wa mtendaji huyo wa NEMC, vifungashio vinavyolengwa ni pamoja na vinavyotumika kufungasha ubuyu, barafu na vyote vya plastiki visivyokuwa na nembo ya TBS.


Akizungumzia marufuku hiyo, alisema vifungashio vyote vya plastiki visivyokuwa na nembo ya TBS, havitaruhusiwa kuanzia Januari Mosi mwaka huu, yaani leo, kwa kuwa serikali imeshapiga marufuku na kuelekeza vifungashio vinavyoruhusiwa.
Kitu ambacho TRA hawajawaambia wananchi ni kwamba siku hizi wanakusanya pia makusanyo yote ya TANAPA badala ya kodi kama ilivyokua awali.. So tegemea hizi story za kuvunja record kukua kadiri utalii unavyorudi kwenye hali yake ya kawaida
 
Back
Top Bottom