Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe walikuwa wanatutestia mitambo 😌😌Mkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841
TCRA iko mifukoni mwa makampuni fedhuli ya simuMkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841
Kuna katuni moja ya kipanya anamuuliza mzee wake "nawezaje kupanda kisiasa.?"siasa tu hizo
Unajikomoa mwenyeweMe mgomo wangu unaendelea. Day 3 no bundle. Hapa natumia WIFI ya job.
Dada unatujazia server, sasa ndio umechangia nn?Aisee.
Unadhani watajali hao viriba tumbo!?Hivi hawa hawakufanya risk analysis ya kutosha, scenarios & mitigation measures? Kilichofanyika ni ukurupukaji wa kiwango cha juu mno
Kumbe dawa yangu ilikuingia kisawasawa eeh! naona umelala ukaamka ila maumivu yako palepale,Dada unatujazia server, sasa ndio umechangia nn?
Hebu jiulize mf. Waliongeza bei kwa % 45. Wanashindwaje kuondoa hiyo 45% iliozidi hatA kwa dk 10 tu!?Mmh!!!
Kuna mfumo gani huo wa kubadilishwa kwa siku nne kwenye kurekebisha tarrifs?