Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe dawa yangu ilikuingia kisawasawa eeh! naona umelala ukaamka ila maumivu yako palepale,
Sasa tulia ili nimalizie dozi,utapona tu.
Binti umekuja jaribu huku, hapa JF sio kijiwe cha michambo uje!Kumbe dawa yangu ilikuingia kisawasawa eeh! naona umelala ukaamka ila maumivu yako palepale,
Sasa tulia ili nimalizie dozi,utapona tu.
Unadhani watajali hao viriba tumbo!?
Unabonyeza ngap hii hudumaAIRTEL KAMA AIRTELView attachment 1742893
Intaneti ~ SMATIKAUnabonyeza ngap hii huduma
Sasa kama lengo la vifurushi vipya ilikuwa ni kushusha gharama, iweje wapandishe?Mkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841
Unajikakamua mpaka unaquote comment moja mara mbili mbili,Binti umekuja jaribu huku, hapa JF sio kijiwe cha michambo uje!
Najikomoa na nini sasa? Nadownload podcast, vitabu, JF napumzika.Unajikomoa mwenyewe
Maana hadi uende kazin ndiyo utaingia internet
Unaonekana ni kaschana kamepatikana kwenye choo cha baa, baba zaidi ya 6Unajikakamua mpaka unaquote comment moja mara mbili mbili,
Unaonekana ni kavulana kaliko lelewa malezi ya hovyo kuliko hovyo yenyewe.
Watakuwa wameshapiga za kutoshana sanaaMkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841
Hujui usemaloMbona kwene kuvipandisha ilichukua siku mbili tu..
By the way siku nne sio nyingi,hadi leo nazan tyr zimebaki cku mbili ngoja tuone
IQ yako iko below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki,Unaonekana ni kaschana kamepatikana kwenye choo cha baa, baba zaidi ya 6
Boya kweli huyo mkurugenziMkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841
Mbona wengine hatuna hio kenu?
Mkurugenzi mtendaji wa TCRA amesema kuwa sababu kiufundi zitasababisha ichukue siku nne kurejesha mfumo wa vifurushi wa awali View attachment 1742841