Vifurushi vya Data: TCRA yasema mfumo wa zamani unaweza kurudi ndani ya siku nne

Vifurushi vya Data: TCRA yasema mfumo wa zamani unaweza kurudi ndani ya siku nne

IQ yako iko below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki,
Kajifundishe kuandika kwanza,
Halafu unapotokwa povu kwa quote ambayo haikua yako unatia mashaka,
Wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Kijiji chako kizima kina hasara kuzalisha changu wewe
 
Kwa hiyo walikuwa wanatujaribu waone tuta-react vipi sio?
 
Mama yetu, Mh Rais Mama Samia, tufukuzie haraka huyu mtu Mkurugenzi TCRA , timua kabisa lirudi kwao usukumani, plz mama plz.😡
Watu wana midomo nuksi khaa.
 
Kwahyo wataturudishia ela zetu tunazojiunga sasa hv..pia ni wao ndo walitoa 24hrs inamaana hawakuyajua hayo yote?
 
Hivi kweli walikaa chini kabisa wakajadili hili swala kweli au wamekurupuka kabisa maana ,,,,,hiwezekani vifurushi vikawa hivi bhna ,,,,,hivi hawajui kwamba bila sisi hamna kitu watafanya au ,,,,,wasijitie viburi flow aseh Kwanza nashangaa huduma za kijamii moja wapo ni hili swala la internet watu wanatakiwa wapewe bure kabisa Kama ni Kodi si zipo watu watalipia juu kwa jula aseh Mambo gani Aya,,,,,,,,tunahitaji vifurushi vyetu virudi na virekebishwe aseh imeisha iyoooooooooooo
 
HAMIENI HUKU MTANDAO wa WANANCHI,HATUZIMI DATA
 
Mama yetu, Mh Rais Mama Samia, tufukuzie haraka huyu mtu Mkurugenzi TCRA , timua kabisa lirudi kwao usukumani, plz mama plz.[emoji35]
Tyr mkuu usku wa leo...anajiandaa kurudi mwanza
 
Back
Top Bottom