asante mkuu, bandika bandua naipatia wapi? mi nimezoea kile cha usiku ofa kinachoanza saa sita usiku.Unlimited vya mwanzo ndio zilikuwa hivyo, hiki kina speed mara 3 ama 2 ya 2G.
Kinatosha kustream YouTube 240p video zote, ama 360p kwenye channel maarufu, kubrowse pia Hakuna shida jf, na site nyepesi.
Sio mbaya mkuu, ukihitaji kudownload file kubwa unaunga vifurushi Cha usiku Kama bandika bandua, vifurushi Kama hiki kinakuweka online mwezi mzima kwa matumizi madogo.
No nina app kabisa haifungukii kwa airtel mpaka bando..Mkuu sina uhakika, maybe umekosea spelling?
0.freebasics.com
Bandika bandua Ni Cha TTCL,asante mkuu, bandika bandua naipatia wapi? mi nimezoea kile cha usiku ofa kinachoanza saa sita usiku.
Mkuu labda Ni tatizo la Airtel, ngoja aje mtumiaji wa Airtel aturhibitishie.No nina app kabisa haifungukii kwa airtel mpaka bando..
Kivipi mkuuBandika bandua Ni Cha TTCL,
Kitu chengine ufahamu, ukiunga royal bundle sahahu kuhusu vifurushi vyengine maana vitaathiriwa na hio speed ndogo.
Mfano una royal bundle ukaunga vifurushi Cha siku Cha mb 500, usitegemee kutumia zile mb 500 kwa speed kubwa, Bali utazitumia kwa speed ile ile ndogo ya royal.Kivipi mkuu
hapa mwishoni sijakuelewa mkuu.Bandika bandua Ni Cha TTCL,
Kitu chengine ufahamu, ukiunga royal bundle sahahu kuhusu vifurushi vyengine maana vitaathiriwa na hio speed ndogo.
Kwamba ukiwa na Royal bundle speed yako Ni 60KBps hata uunge vifurushi vya usiku speed itakuwa ndogo hivyo hivyo.hapa mwishoni sijakuelewa mkuu.
sawa, unaizungumziaje mega ya gb 15 kwa mwezi?Kwamba ukiwa na Royal bundle speed yako Ni 60KBps hata uunge vifurushi vya usiku speed itakuwa ndogo hivyo hivyo.
Angalia matumizi yako mkuu Kama mb 500 kwa siku inakutosha Ni kifurushi kizuri.sawa, unaizungumziaje mega ya gb 15 kwa mwezi?
yeah kwangu naona matumizi hayo yako ok, hofu yangu ni uhakika wa jamaa wanavyokula bando tu, je haitakuwa na sigisu kwenye mb consumption? maana baadhi ya mitandao mingine unakuta umepata mb kadhaa na zinavyopotea unashangaa kama hela za kubetAngalia matumizi yako mkuu Kama mb 500 kwa siku inakutosha Ni kifurushi kizuri.
Mkuu Kuna mitandao speed inavyokuwa kubwa na wao wanakurushia content zenye quality kubwa na kusababisha mb kwenda nyingi, Sana Sana YouTube Wana tabia hii.yeah kwangu naona matumizi hayo yako ok, hofu yangu ni uhakika wa jamaa wanavyokula bando tu, je haitakuwa na sigisu kwenye mb consumption? maana baadhi ya mitandao mingine unakuta umepata mb kadhaa na zinavyopotea unashangaa kama hela za kubet
NakubaliMkuu Kuna mitandao speed inavyokuwa kubwa na wao wanakurushia content zenye quality kubwa na kusababisha mb kwenda nyingi, Sana Sana YouTube Wana tabia hii.
Tumia Go/mini/lite apps kupunguza ulaji wa mb Kama vile
-youtube go
-facebook lite
-gmail Go
-opera mini
-uc mini
-files go
-gallery go etc.
Jaribu kuweka simu nyengine, ila Mara nyingi hili tatizo linasababishwa na line kuharibika.Msaada wakuu laini yangu ya voda kila nikiweka kwenye simu inaandika failed to register tatizo nini??
Hawa TTCL mafala sana wametuona wakulima tuna hela sana au
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
Kwa Tigo bonyeza *147*00# kisha chagua size yako, unaweza kupata vifurushi vizuri, Ila njia hii sio reliable kwani vifurushi hivyo hubadilika kila Mara.
Vodacom
Vodacom angalia kwenye ya kwako tu, piga *149*03# kuangalia ofa.
Airtel
[
Halotel
-Royal bundles pengine kifurushi kizuri zaidi kwa Sasa kinakupa dakika takriban 200 na Internet unlimited kwa 0.5mbps kwa mwezi mzima. Ni vyema kwenda ofisi za Halotel na kununua line ya Royal bundle, pia unaweza kukuunga kwa kubonyeza menu yao ya *148*66#
-Mega bundle kwa shilingi 10,000 Unapata GB 15 ambazo unatumia mb 500 kila siku kwa mwezi, kujiunga ni *150*88#, unakiunga na salio la halopesa.
-Kifurushi Cha usiku kwa 1000 unapata Internet unlimited, kizuri kwa ajili ya kudownload files kubwa Kama games na movies. Kujiunga *148*66# kisha vifurushi maalum (ya kwako tu)
TTCL
-bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini.
-Toboa Night navyo ni vifurushi vizuri vya usiku in case Halotel kwako inasumbua ama Haina speed, kwa 500 unapata GB 2 na 1000 unapata GB 10.
Vyote toboa na bandika bandua unajiunga kwa kubonyeza *148*30# kisha TTCL bundles.
-Ofa maalum, pia TTCL Wana ofa mbalimbali Kama vile za sabasaba, nanenane etc ambazo wanazieka kwenye option ya vifurushi maalum,
Remote[/B][/B][/B]
Na vya mitandao mingine vya kibabe pia vipo bando mpaka za mwaka mzima yanHii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
Kwa Tigo bonyeza *147*00# kisha chagua size yako, unaweza kupata vifurushi vizuri, Ila njia hii sio reliable kwani vifurushi hivyo hubadilika kila Mara.
Vodacom
Vodacom angalia kwenye ya kwako tu, piga *149*03# kuangalia ofa.
Airtel
[
Halotel
-Royal bundles pengine kifurushi kizuri zaidi kwa Sasa kinakupa dakika takriban 200 na Internet unlimited kwa 0.5mbps kwa mwezi mzima. Ni vyema kwenda ofisi za Halotel na kununua line ya Royal bundle, pia unaweza kukuunga kwa kubonyeza menu yao ya *148*66#
-Mega bundle kwa shilingi 10,000 Unapata GB 15 ambazo unatumia mb 500 kila siku kwa mwezi, kujiunga ni *150*88#, unakiunga na salio la halopesa.
-Kifurushi Cha usiku kwa 1000 unapata Internet unlimited, kizuri kwa ajili ya kudownload files kubwa Kama games na movies. Kujiunga *148*66# kisha vifurushi maalum (ya kwako tu)
TTCL
-bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini.
-Toboa Night navyo ni vifurushi vizuri vya usiku in case Halotel kwako inasumbua ama Haina speed, kwa 500 unapata GB 2 na 1000 unapata GB 10.
Vyote toboa na bandika bandua unajiunga kwa kubonyeza *148*30# kisha TTCL bundles.
-Ofa maalum, pia TTCL Wana ofa mbalimbali Kama vile za sabasaba, nanenane etc ambazo wanazieka kwenye option ya vifurushi maalum,
Remote[/B][/B][/B]
Vyote hivyo ni vya kitoto
Halotel
Dak 200 halo-halo, 120 mitandao yote, internet ni bure mwezi mzima yan bila kikomo
Gharama: 16,000/=
Mwezi mzima unateleza tu na internet bureee
Mkuu menyu gani inapatikana hii