iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,412
- 8,198
Voda wakiona wamekupa kifurushi kizuri na ukawa una mazoea ya kujiunga sana huwa wanabadili wanakupa kibaya...Hawa huwa wanabadili, at least Airtel wakishakupangia unaweza kaa hata miaka 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda wakiona wamekupa kifurushi kizuri na ukawa una mazoea ya kujiunga sana huwa wanabadili wanakupa kibaya...Hawa huwa wanabadili, at least Airtel wakishakupangia unaweza kaa hata miaka 2
Mkuu nakutoa nje ya mada kidogo.Mkuu kuna harufu ya utapeli hapa
1. Hakuna bundle zinazofanana mitandao yote
2. GB 700 hio mitandao ya simu ikupende kiasi hicho?
PC huhitaji app tumia browser ingiaMkuu nakutoa nje ya mada kidogo.
Naomba unielekeze jinsi ya kudownload amazon prime kwenye pc.
Ikiwezekana naomba link au app kabisa.
2017 mpaka leo bado Upo premature (Member) kutokana na michango yako mchache!!Naomba kupata taarifa kuhusiana na wale watoa huduma za Proxy internet... unakutaka unalipa elf 8 unapewa GB 30. Baada ya kubadilika vifurushi sijui walipotelea wapi. Kama kuna mtu ana koneksheni msaada tafadhali.
2017 mpaka leo bado Upo premature (Member) kutokana na michango yako mchache!!
Wadhani hata kama ipo watakumegea pande?
Chief, Tccl menyu yao kubata mabando yao ya usiku n ipi?
This time, Hawana bando za usikuChief, Tccl menyu yao kubata mabando yao ya usiku n ipi?
This time, Hawana bando za usiku
Na router nilikua naitumia kwa simcard ya voda na muda mwingine ttcl na nilikua napata 4G,ajabu siku za karibuni aisomi voda wala ttcl,kuna uwezekano wamebadili band zao ambazo now ziko tofauti na ile router?Kama kifaa kinashika 4g Voda automatic kinatakiwa kishike TTCL, band ni mojA
Mkuu hata mimi simu yangu nime badili nimeweka line ya voda siku nzima haijashika 4g, then kesho yake ikashika yenyewe, jaribu kuiacha line kwa muda?Na router nilikua naitumia kwa simcard ya voda na muda mwingine ttcl na nilikua napata 4G,ajabu siku za karibuni aisomi voda wala ttcl,kuna uwezekano wamebadili band zao ambazo now ziko tofauti na ile router?
Umechek lini?Voda bado ni kutamu.View attachment 1771898
Menu ipiVoda bado ni kutamu.View attachment 1771898
*149*03#Menu ipi
Vipi mkuu umefanikisha?Tuonane PM tumalize biashara
Ukimpata mwaminifu nichek Pm juz nimepigwa 27kNaomba kupata taarifa kuhusiana na wale watoa huduma za Proxy internet... unakutaka unalipa elf 8 unapewa GB 30. Baada ya kubadilika vifurushi sijui walipotelea wapi. Kama kuna mtu ana koneksheni msaada tafadhali.