Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kupigwa nnje nje... natamani sana offer kubwa sema naogopa kupigwa. 27k kwa usawa huu kubwa sana..
 
Chief-Mkwawa Hivi hiki kitu kinawezekana bongo? Na kama inawezekana je gharama zake ni kiasi gani mpaka kuanza kutumia?
IMG_20210506_153606.jpg
 
Chief-Mkwawa Hivi hiki kitu kinawezekana bongo? Na kama inawezekana je gharama zake ni kiasi gani mpaka kuanza kutumia?
View attachment 1775336
Hii ni wifi antenna? Kibongo bongo mpaka uwe mjini mkuu, Sababu kabla hujawawekea watu inabidi kwanza kuwe na source ya internet.

Bongo Ukitoa city center tu nategemea tu mitandao ya simu.
 
Hii ni wifi antenna? Kibongo bongo mpaka uwe mjini mkuu, Sababu kabla hujawawekea watu inabidi kwanza kuwe na source ya internet.

Bongo Ukitoa city center tu nategemea tu mitandao ya simu.
Ndio mkuu ni wifi antena ila hilo neno Uncapped inamaanisha kwamba hakuna kuhofia kuisha GB wala hakuna malipo ya mwezi, yaani ni totally free.

Sasa nimewaza kama kweli hiki kitu kipo na hivyo vifaa vya kufanya hivyo kweli vipo?
Au hii ni internet ya satelite?

Bado sijafahamu kiundani ni nini hii
 
Chief-Mkwawa Hivi hiki kitu kinawezekana bongo? Na kama inawezekana je gharama zake ni kiasi gani mpaka kuanza kutumia?
View attachment 1775336
kuna mageuzi makubwa ya internet yanafanywa na bwana Musk soon internet itapatikana popote at fair speed check starlink internet project ambayo hata south imeanza kazi utaelewa. hata hapa bongo waweza nunua hiyo antena na ukapata internet kwa gharama nafuu tuu.
 
Ndio mkuu ni wifi antena ila hilo neno Uncapped inamaanisha kwamba hakuna kuhofia kuisha GB wala hakuna malipo ya mwezi, yaani ni totally free.

Sasa nimewaza kama kweli hiki kitu kipo na hivyo vifaa vya kufanya hivyo kweli vipo?
Au hii ni internet ya satelite?

Bado sijafahamu kiundani ni nini hii
WiFi ni medium tu ya kusafirishia, na broadband za majumbani hupimwa kwa speed, na sio kiasi ulichotumia.

Mfano kwa sasa hivi zuku hapa mjini unapata 20mbps kwa 69,000, hivyo unadownload chochote unachotaka speed tu haitazidi 20mbps. Mimi na download sometime 100GB kwa siku hakuna throttle yoyote unatumia tu.

Sasa fikiria mfumo kama huo wa zuku upelekwe mwananyamala kisiwani uswahilini kule ama Tandale, Sababu ngumu kupitisha waya na uswahili mwingi inabidi wafunge wifi, unaweka antenna kama hio na internet inakufikia bila waya.

Naona sasa hivi wamesha anza ku expand nje ya kkoo baadhi ya makampuni, hope soon Dar itakua covered atleast maeneo ya karibu na mjini.
 
kuna mageuzi makubwa ya internet yanafanywa na bwana Musk soon internet itapatikana popote at fair speed check starlink internet project ambayo hata south imeanza kazi utaelewa. hata hapa bongo waweza nunua hiyo antena na ukapata internet kwa gharama nafuu tuu.
South ni 2022, na Starlink haiji kumsaidia mtu wa mjini Bali vijijini,

Bei ya kuinstall ni $500 tena vifaa vikiwa huko US, na kwa mwezi $100. Hio ni kwa US ilivyoenda UK na Australia bei ikaongezeka kidogo.
 
South ni 2022, na Starlink haiji kumsaidia mtu wa mjini Bali vijijini,

Bei ya kuinstall ni $500 tena vifaa vikiwa huko US, na kwa mwezi $100. Hio ni kwa US ilivyoenda UK na Australia bei ikaongezeka kidogo.
Wameshatoa ramani ya wapi utapata signal na wameruhusu pre-order, ni wewe mwenyewe kuangalia kama utaziweza gharama na kuagiza vifaa. Maana wanasema no technical knowledge required for installation
 
Wameshatoa ramani ya wapi utapata signal na wameruhusu pre-order, ni wewe mwenyewe kuangalia kama utaziweza gharama na kuagiza vifaa. Maana wanasema no technical knowledge required for installation
Tulizungumzia hii issue uzi wa Huawei ku launch satelite.

Speedwise starlink ni almost 4g level ila haijafika 4g hasa suala la ping, mfano zuku ping ni 2ms tu na voda ni chini ya 20ms wakati starlink ni 20 mpaka 40ms.why uhangaike na Starlink ukiwa eneo kwenye coverage ya 4g ama Fiber? Ukija kwenye gharama hivyo hivyo unapata unlimited kwa hio 69,000 ama kwa vifurushi vya home internet japo si unlimited ila Unapata GB nyingi si hapa, zaidi ya GB 100 kwa laki,

Ila kwa mtu wa kijijini hana Choice Sababu kule hata 3g ni shida hivyo huyu atafaidika.
 
Kuna mtu alikuwa akitumia line za Halotel TANZANITE TWS ?...Vp bado una access ya bundle za Tanzanite Tws ?
 
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
Kwa Tigo bonyeza *147*00# kisha chagua size yako, unaweza kupata vifurushi vizuri, Ila njia hii sio reliable kwani vifurushi hivyo hubadilika kila Mara.


Vodacom
Vodacom angalia kwenye ya kwako tu, piga *149*03# kuangalia ofa.

Airtel
[
Halotel
-Royal bundles pengine kifurushi kizuri zaidi kwa Sasa kinakupa dakika takriban 200 na Internet unlimited kwa 0.5mbps kwa mwezi mzima. Ni vyema kwenda ofisi za Halotel na kununua line ya Royal bundle, pia unaweza kukuunga kwa kubonyeza menu yao ya *148*66#

-Mega bundle kwa shilingi 10,000 Unapata GB 15 ambazo unatumia mb 500 kila siku kwa mwezi, kujiunga ni *150*88#, unakiunga na salio la halopesa.

-Kifurushi Cha usiku kwa 1000 unapata Internet unlimited, kizuri kwa ajili ya kudownload files kubwa Kama games na movies. Kujiunga *148*66# kisha vifurushi maalum (ya kwako tu)

vifurushi vya 4G kuendana na line zao mpya za 4G,
1000 unapata GB 1 kwa siku
5000 unapata GB 7 kwa wiki
10,000 unapata GB 10 kwa mwezi.


TTCL
-bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini.

-Toboa Night navyo ni vifurushi vizuri vya usiku in case Halotel kwako inasumbua ama Haina speed, kwa 500 unapata GB 2 na 1000 unapata GB 10.

Vyote toboa na bandika bandua unajiunga kwa kubonyeza *148*30# kisha TTCL bundles.

-Ofa maalum, pia TTCL Wana ofa mbalimbali Kama vile za sabasaba, nanenane etc ambazo wanazieka kwenye option ya vifurushi maalum,


Remote[/B][/B][/B]
Zantel

*148*05#
 
Back
Top Bottom