Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kwenye menu ya halotel kuna sehemu ya zawadi kwa rafiki' naona wameweka kuwa unaweza mnunulia mtu kifurushi cha 1500 unlimited usiku.
Sijajua kama walisahau badilisha walipokipunguza au vipi....kwa aliyejaribu atujuze
 
Nenda setting weka "3G only" toa "auto" usikute 4G inakuponza inakula vibaya mno mbs mi nimetumia ilo bando la airtel la buku youtube..insta sana na haliishi siku 2 zote apa na mb 300 bdo..
 
Kwenye menu ya halotel kuna sehemu ya zawadi kwa rafiki' naona wameweka kuwa unaweza mnunulia mtu kifurushi cha 1500 unlimited usiku.
Sijajua kama walisahau badilisha walipokipunguza au vipi....kwa aliyejaribu atujuze
Kipo ntatest usiku
 
Usisahau Kuleta Mrejesho Asubuhi
Nashindwa kukesha alafu sina cha kudownload, kusema nitaacha vitu vinashuka nilale... [emoji28][emoji28][emoji28] Ila Nadhani kitakuepo

Nikifanikiwa kucheki nitarejesha taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…