Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Sawa vinapatikana wapi na nani anaunganisha
Voda wenyewe ndio wanauza,mimi natumia kwenye router so waliniuzia hiyo sim card na kuniunga kwenye iko kifurushi,kwenye menu yao ya *149*03# utakikuta iko kifurushi kwenye internet then nenda kasi internet,ila nakushauri uende ofisini kwao wakuelekeze zaidi,ni unlimit kweli kwa elfu 50 nafanya fujo zote za internet kwa mwezi mzima,netflix,youtube n.k

 

Duuuuh safi hiyo kumbe hata Voda shop wanazo aiseee
 
Mkuu kuna mtu kaniambia Voda wana unlimited kwa mwezi ukitoa TZS 50,000/= basi utaona hadi Netflix bila kukwama au kuisha kwa mwezi mzima.
 
Mkuu kuna mtu kaniambia Voda wana unlimited kwa mwezi ukitoa TZS 50,000/= basi utaona hadi Netflix bila kukwama au kuisha kwa mwezi mzima.
Mkuu ni kile kifurushi cha 50,000 unapata GB 30, zikiisha unaendelea kutumia internet ila kwa speed ndogo,

Kwa 500kbps unaangalia netflix ila quality ndogo kabisa, kama ni Netflix kwenye TV huta enjoy angalau ukiangalia kwa simu inavumilika.

Ttcl kwako haijafika?
 
Mimi ameniunga, nimekwenda pm japo nilikuwa na wasiwasi kupigwa lkn mwisho wa siku tulimalizana
 
Mimi nilijitoa akaniunga, japokuwa nilikuwa na hofu ya kupigwa lakini nikaenda, na ndio ninayotumia kwasasa hata kupost humu JF
 
Nashukuru mkuu huku kwangu TTCL ni bure kabisa sijui kwanini, nipo mkoani,kijijini. Hata hivyo nashukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…