Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

asante
 
Si uingie kule uchukue hat file ucheck then ufanye hizo mambo
 
Asante mkuu nmejoin kama kuna magroup mengine ya tereglam na WhatsApp mazur yenye madini naomba link zake niongeze madini mkuu [emoji122][emoji122]
 
Mzee baba umetisha sana na una memory ya miaka mingi sana.

Nipo bado, sema utu uzima na majukumu ya kikazi ndo ulifanya tukaacha kupambana. e2themiza aliondoka bongo muda mrefu na akaanza taratibu kupotea JF.

Nadhani nae anaweza akawa anachungulia tu na kupotea.

I guess Mwl.RCT atakua anaendelea na upambanaji.
 
Asili ya hizi programs za simu nyingi ni pc, kama mtu anaweza kushare config yake tunaweza kuiport kwenye pc.

Na kweli hotspot inaua battery siku kadhaa tu ukitumia na vpn pamoja.
si uchukue hat file kule then fanya hizo mambo
 
Yapo encrypted. Niliwahi jaribu mda kidogo zinakuja gibberish, labda kama kuna mtu ana program inayo decrypt vizuri

Aaaah kweli asee nyota nyoya tu
 
Nisha download nishaconect lkn naona bando linaliwa tu km kawaida nifanyaje hapo ili kupta free Internet???
 
Sijawahi kuelewa naomba msaada
Yani kila baada ya siku 14 unapewa gb6 sindio?
Means kwa siku 28 utapewa gb12
So ndani ya miezi6 gb si zitakua zimeisha muda wake au?
 
Uzi wa bidhaa used tu, kwa bei nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…