Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Utaonwa mchawi tu hapa hawajui kama hii kitu ni illegal na inapaswa kufanyika kwa uficho.
Zama zile tulijificha JF store ikabuma ikaja kipindi cha kuangalia ID pia ikabuma seuze kipindi hiki watu wanatoa medani za kivita wazi wazi, tigo wapo humu na tayari team inafanyia kazi hii kitu so itabuma soon kama Airtel walivyoblock zile host.
Kitu imezagaa kwenye social media mpaka wengine wanapost kwenye page za tigo wakijiona ni Hacker wakati ni newbie
Kwa hiyo tufanyeje?
 
Utaonwa mchawi tu hapa hawajui kama hii kitu ni illegal na inapaswa kufanyika kwa uficho.
Zama zile tulijificha JF store ikabuma ikaja kipindi cha kuangalia ID pia ikabuma seuze kipindi hiki watu wanatoa medani za kivita wazi wazi, tigo wapo humu na tayari team inafanyia kazi hii kitu so itabuma soon kama Airtel walivyoblock zile host.
Kitu imezagaa kwenye social media mpaka wengine wanapost kwenye page za tigo wakijiona ni Hacker wakati ni newbie
Kwamba ni illegal izo app zinaibwa ofisi za tigo au vipi yani? Kizuri kula na mwenzako.Hayo maswala ya kubuma achana nayo.Yakibuma Sio kwamba maisha ndo yatasimama.Kwani kabla ya hayo ma VPN tuliishije? Wewe share upendo acha uchoyo.Tusiwe tuna share TU vipisi vya sigara mtaani Kwa target tufe pamoja Kwa kifua kikuu hata ivi vibando vya bure navyo itakuwa poa.Kwanini wabongo tunapenda tunufaike wenyewe na siyo kama kundi???
 
Imebuma
Screenshot_20220326-010457_EC%20Tunnel%20PRO.jpg
 
Daaah Shusheni FREE INTERNET KWA LAINI ZA VODACOM MWENYE KUJUUA TAFADHALI
 
Kwamba ni illegal izo app zinaibwa ofisi za tigo au vipi yani? Kizuri kula na mwenzako.Hayo maswala ya kubuma achana nayo.Yakibuma Sio kwamba maisha ndo yatasimama.Kwani kabla ya hayo ma VPN tuliishije? Wewe share upendo acha uchoyo.Tusiwe tuna share TU vipisi vya sigara mtaani Kwa target tufe pamoja Kwa kifua kikuu hata ivi vibando vya bure navyo itakuwa poa.Kwanini wabongo tunapenda tunufaike wenyewe na siyo kama kundi???
Nakazia
 
Tuendelee kupambana na Sky vpn.

kama unaitumia hii una uhakika wa kupata hadi Gb 1 kwa siku 1.

Pambana na hivi vipengele ujiongezee mb za kutoshaView attachment 2163700

kwenye daily check in unapata mb za kutosha

hapo kwenye 15 left today bonyeza tazama ads mara 15 unapata mb 750

kwenye 1024mb alika mtu mmoja mpaka ishirini. Hakikisha wamedownload unapata 1gb

kazi ni kwenu
Mbona m nimeunga na bado mb zangu zinaendeleaa kuliwa..za kwenye tigo
 
Inawezekana mkuu maana hizi app ziko play store.

naamini pia zitapatikana wa watumiaji wa ios.

search ec tunnel pro na sky vpn.

ukishindwa kabisa nicheki incharge wa hizi vitu nikusaidie
Nmedownload ec tunel pro, nikawasha data tigo internet haiendi, msaada
 
Hivi pd proxy au vpn nyingine za style hiyo zinapatikana? Zamani nilipeta sana na pd proxy ilikuwa nanunua kwa mwezi.
 
Nmedownload ec tunel pro, nikawasha data tigo internet haiendi, msaada
Hujasema kama uliiwasha au la!

kama hujawasha basi fungua kisha bonyeza hio button nyekundu mara 1 kisha utaona inawaka kwenda kijani
Screenshot_20220326-195705.png
 
Tuendelee kupambana na Sky vpn.

kama unaitumia hii una uhakika wa kupata hadi Gb 1 kwa siku 1.

Pambana na hivi vipengele ujiongezee mb za kutoshaView attachment 2163700

kwenye daily check in unapata mb za kutosha

hapo kwenye 15 left today bonyeza tazama ads mara 15 unapata mb 750

kwenye 1024mb alika mtu mmoja mpaka ishirini. Hakikisha wamedownload unapata 1gb

kazi ni kwenu
Mkuu bado nipo gizani naomba muongozo
Najuaje kama nimefanikiwa kuunganishwa
 
Back
Top Bottom