Kwa hiyo tufanyeje?Utaonwa mchawi tu hapa hawajui kama hii kitu ni illegal na inapaswa kufanyika kwa uficho.
Zama zile tulijificha JF store ikabuma ikaja kipindi cha kuangalia ID pia ikabuma seuze kipindi hiki watu wanatoa medani za kivita wazi wazi, tigo wapo humu na tayari team inafanyia kazi hii kitu so itabuma soon kama Airtel walivyoblock zile host.
Kitu imezagaa kwenye social media mpaka wengine wanapost kwenye page za tigo wakijiona ni Hacker wakati ni newbie
We expose watu wafaidike.Hakuna ambacho hakina mwisho. Vingapi vimebuma lakini mpaka Sasa maisha yanaendelea. Expose watu watumie,Vikibuma watu wata tafuta alternative.Mwendo wa kimya kimya maana hizi mambo zilikuwa bomba sana enzi za UDP port.
Expose kama hivi ikagharimu watu
Kwamba ni illegal izo app zinaibwa ofisi za tigo au vipi yani? Kizuri kula na mwenzako.Hayo maswala ya kubuma achana nayo.Yakibuma Sio kwamba maisha ndo yatasimama.Kwani kabla ya hayo ma VPN tuliishije? Wewe share upendo acha uchoyo.Tusiwe tuna share TU vipisi vya sigara mtaani Kwa target tufe pamoja Kwa kifua kikuu hata ivi vibando vya bure navyo itakuwa poa.Kwanini wabongo tunapenda tunufaike wenyewe na siyo kama kundi???Utaonwa mchawi tu hapa hawajui kama hii kitu ni illegal na inapaswa kufanyika kwa uficho.
Zama zile tulijificha JF store ikabuma ikaja kipindi cha kuangalia ID pia ikabuma seuze kipindi hiki watu wanatoa medani za kivita wazi wazi, tigo wapo humu na tayari team inafanyia kazi hii kitu so itabuma soon kama Airtel walivyoblock zile host.
Kitu imezagaa kwenye social media mpaka wengine wanapost kwenye page za tigo wakijiona ni Hacker wakati ni newbie
Mkuu mbona imeandika lugha rahisi kabisa.
NakaziaKwamba ni illegal izo app zinaibwa ofisi za tigo au vipi yani? Kizuri kula na mwenzako.Hayo maswala ya kubuma achana nayo.Yakibuma Sio kwamba maisha ndo yatasimama.Kwani kabla ya hayo ma VPN tuliishije? Wewe share upendo acha uchoyo.Tusiwe tuna share TU vipisi vya sigara mtaani Kwa target tufe pamoja Kwa kifua kikuu hata ivi vibando vya bure navyo itakuwa poa.Kwanini wabongo tunapenda tunufaike wenyewe na siyo kama kundi???
Wacha ni update
Mbona nimeunganisha mb zangu zinaendeleaa kuliwa??
Sasa una MB unategemea utateleza free. Subiri ziishe ndo uendelee freeMbona nimeunganisha mb zangu zinaendeleaa kuliwa??
Mbona m nimeunga na bado mb zangu zinaendeleaa kuliwa..za kwenye tigoTuendelee kupambana na Sky vpn.
kama unaitumia hii una uhakika wa kupata hadi Gb 1 kwa siku 1.
Pambana na hivi vipengele ujiongezee mb za kutoshaView attachment 2163700
kwenye daily check in unapata mb za kutosha
hapo kwenye 15 left today bonyeza tazama ads mara 15 unapata mb 750
kwenye 1024mb alika mtu mmoja mpaka ishirini. Hakikisha wamedownload unapata 1gb
kazi ni kwenu
OkSasa una MB unategemea utateleza free. Subiri ziishe ndo uendelee free
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Inawezekana mkuu maana hizi app ziko play store.Wakuu hizi mambo zinakubali kwenye iphone?
Nmedownload ec tunel pro, nikawasha data tigo internet haiendi, msaadaInawezekana mkuu maana hizi app ziko play store.
naamini pia zitapatikana wa watumiaji wa ios.
search ec tunnel pro na sky vpn.
ukishindwa kabisa nicheki incharge wa hizi vitu nikusaidie
Hujasema kama uliiwasha au la!Nmedownload ec tunel pro, nikawasha data tigo internet haiendi, msaada
Mkuu bado nipo gizani naomba muongozoTuendelee kupambana na Sky vpn.
kama unaitumia hii una uhakika wa kupata hadi Gb 1 kwa siku 1.
Pambana na hivi vipengele ujiongezee mb za kutoshaView attachment 2163700
kwenye daily check in unapata mb za kutosha
hapo kwenye 15 left today bonyeza tazama ads mara 15 unapata mb 750
kwenye 1024mb alika mtu mmoja mpaka ishirini. Hakikisha wamedownload unapata 1gb
kazi ni kwenu