Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hebu nipe maelezo kidogo chief mkwawa kwe hicho cha voda chenye 3gb kwa buku 2
 
ni kwa baadhi ya watu, bonyeza *149*03# kama hukioni ujue kwako hakipo.

Nijuavyo mimi hicho cha voda inategemea na umenunua kwa muda gani bundle zao ..kwa kuanzia wanakuu tsh500 kwa 300mb ukiwa unanunua sana ndio wanaku-upgrade na kua kwenye hizo categories nyingine.
 
Nijuavyo mimi hicho cha voda inategemea na umenunua kwa muda gani bundle zao ..kwa kuanzia wanakuu tsh500 kwa 300mb ukiwa unanunua sana ndio wanaku-upgrade na kua kwenye hizo categories nyingine.
kuna mtu hapa anaunga cha buku mb 800 kila siku, hakijawahi kubadilika hata siku 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…