Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nazitafuta bila mafanikio mkuu nipe ramani
Upo wapi? waulize mawakala wao uliopo karibu nao kama wanaaccess ya kusajili laini za chuo au kama hapo ulipo kuna chuo kikuuu jaribu mawakala waliopo mitaa hiyo.
 
chef eeeeh... unaweza nifanyia msaada vocha zle za night bundle airtel mkoan kwangu hazpooo 600 kwa gb10 3days
Jamani kile kifurushi cha 10GB kwa 600/= bado kipo kuna trick ya kukipata hebu fanya hivi weka pesa kwa AIRTEL MONEY account yako hata buku hivi then tuma tsh 600/= kwa hii No. 0785566273 utaona jina FRANK LUGANO usiogope huyu jamaa ni balozi wa airtel wa chuo kikuu cha UDOM baada ya muamala wako kukamilika just ni dk.0 tu anakutumia SMS yenye jina lako kamili ulilosajiria laini yako ya Airtel ya kukushukuru then kama sekunde kadhaa hivi anatuma SMS yenye namba za UNI na maelezo jinsi ya ya kuzijaza kwa maana sio za kujaza tu kama vocha zingne kwa mnaotumia hizi vocha za UNI nadhani mtakua mnajua ambavyo huwa tunajaza unapiga *149*94* namba za hiyo then # unapata 10GB zako tu kwa siku 3 kuanzia saa 5 usiku mpaka majogoo spidi ya fastje,Na hii huduma ananunua mtu yeyote yule mwenye laini ya airtel kwa kufuata procedures nilizokupeni hapo juu haijalishi ni mwana chuo au mtu wa kitaa ni kwa wotee .

TRUST ME GUYS WORRY OUT IT IS ABSOLUTELY LEGAL TRICK!

Me nimekua nikitumia sana kwa muda mrefu najilia vyangu tu kuanzia saa 5 usiku nikijiunga na kama utapata tatizo au umekwama mahala flani usisite niulize nakuelekeza vizuri.

hii nzuri nitaijaribu
 
st: 20464517, member: 419167"]Jamani kile kifurushi cha 10GB kwa 600/= bado kipo kuna trick ya kukipata hebu fanya hivi weka pesa kwa AIRTEL MONEY account yako hata buku hivi then tuma tsh 600/= kwa hii No. 0785566273 utaona jina FRANK LUGANO usiogope huyu jamaa ni balozi wa airtel wa chuo kikuu cha UDOM baada ya muamala wako kukamilika just ni dk.0 tu anakutumia SMS yenye jina lako kamili ulilosajiria laini yako ya Airtel ya kukushukuru then kama sekunde kadhaa hivi anatuma SMS yenye namba za UNI na maelezo jinsi ya ya kuzijaza kwa maana sio za kujaza tu kama vocha zingne kwa mnaotumia hizi vocha za UNI nadhani mtakua mnajua ambavyo huwa tunajaza unapiga *149*94* namba za hiyo then # unapata 10GB zako tu kwa siku 3 kuanzia saa 5 usiku mpaka majogoo spidi ya fastje,Na hii huduma ananunua mtu yeyote yule mwenye laini ya airtel kwa kufuata procedures nilizokupeni hapo juu haijalishi ni mwana chuo au mtu wa kitaa ni kwa wotee .

TRUST ME GUYS WORRY OUT IT IS ABSOLUTELY LEGAL TRICK!

Me nimekua nikitumia sana kwa muda mrefu najilia vyangu tu kuanzia saa 5 usiku nikijiunga na kama utapata tatizo au umekwama mahala flani usisite niulize nakuelekeza vizuri.
hii nzuri ntaijaribu
vipi hilo bando linakaa muda gani[/QUOTE]
Wajinga ndo waliwao
 
Ukiambiwa haipatikani ujue lain yako sio ya chuo
Laini za chuo za halotel na airtel vifurushi vya chuo unajiunga popote pale, je, laini za chuo za voda na tiGO unaweza kujiunga popote?
 
Laini za chuo za halotel na airtel vifurushi vya chuo unajiunga popote pale, je, laini za chuo za voda na tiGO unaweza kujiunga popote?
Tigo na voda pia unajiunga popote
Mimi laini ya tigo nnayo na ya voda kuna mshkaji wangu anayo unajiunga sehemu yoyote nchini
 
Mkuu tafadhali naomba msaada,smart tv yangu inashindwa kucheza muziki niliyoidownload kutoka youtube ambayo ipo kwenye flash disc nichomekapo kwenye usb port ya hiyo tv!!.....naomba nieleze code sahihi za videos,sauti pamoja na format inayoweza kukubali kucheza kwenye tv.Pia naomba niambie software nzuri ya window ambayo inaweza kuconvert hizo video ili ziende kwenye format inayoweza kukubali kucheza kwenye hiyo tv yangu!!

Shukrani
TV nyingi zina shida hii, ila ukipata Tv genuine huwa zimeandikwa audio/video format zinazosupport kwa nyuma au kwenye menu.
Kuhusu converter software ingia goggle search "ANY VIDEO CONVERTER" idownload kisha install.
Mara nyingi supportive format ambazo ni common ni mpg. .mp4 .mpeg4 .wmv .mp3 .avi
 
mpaka wakusajili na kitambulisho cha chuo

XIAOMI REDMI 2
Technology:
GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500

Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.
 
XIAOMI REDMI 2
Technology:
GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500

Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.
Kwenye issue ya 4G kwa hizo bands(1800) inatakiwa iweze kushika network ya 4G hapa Tanzania,umewahi kujaribu network ya 4G mkuu?
 
XIAOMI REDMI 2
Technology:
GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500

Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.
Hiyo Simu Ulinunua Unlocked? Kama siyo Inatakiwa Unlocking
 
Back
Top Bottom