Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #461
Sio nchi nzima ila naona mikoa mingi now wameanza kueka 4g yao, mimi pia nipo nje ya dar tumeekewa 4g.TTCL wanatoa huduma ya 4G nchi nzima mkuu?
Una kifaa cha 4g? Kiweke kiwe 4g only then search network uone kama utapata, ni vyema pia kiwe na band 1800