+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,940
- 762
Mi inaniletea 40,000 kwa 18gbni kwa baadhi ya watu, bonyeza *149*03# kama hukioni ujue kwako hakipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi inaniletea 40,000 kwa 18gbni kwa baadhi ya watu, bonyeza *149*03# kama hukioni ujue kwako hakipo.
Kaka wezi haoUnga 0754828082
Huyu mikumiyetu ndo matapeli wenyewe tunaowatafuta msijaribu labda kama mnataka kulia wanawatoza watu hela harafu wanakimbiaNi pm mkuu kama unaitaji vifurushi vya chuo vya voda
Huwez liwa mkuu,mi hua natumia pia.umejaribu ukaliwa?
au ndio uoga wako ngoja mimi nijaribu nikiliwa nitakushirikisha hapa
Huyu mikumi ana vielement vya kitapeli, ajue kuna vichwa havitapeliwiKaka wezi hao
XIAOMI REDMI 2
Technology: GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500
Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.
Hata mimi ninayo hiyo Redmi 2 nilikuwa nimeweka laini ya voda kwa ajili ya kupiga tu maana ilikuwa ina sauti nzuri unapoongea na mtu, ilikuwa na miui 6 ikaniomba ku-upgrade kwenda 7 baada ya ku-upgrade ikaniomba ku-upgrade kwenda miui 8 nikafanya hivyo baada ya hapo hadi leo inaandika no service. Nimetafuta solution mtandaoni na nimefanya kila namna kulingana na maelezo niliyopata lakni hakuna solution. Nimetafuta rom ya miui 6 mtandaoni sijafanikiwa. Nimeamua kuitumia kwa wi-fi tu.XIAOMI REDMI 2
Technology: GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500
Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.
Mkuu TTCL 4G imefika Moshi, Kilimanjarokama inapandisha mjini tu pengine ni 4g. kwa simu hio voda na TTcl ndio wana band hizo, jaribu TTCL zaidi naona wana coverage nzuri.
unejaribu kuiforce ikae 2G only? pia haipandishi mnara?
sifahamu, search network utaona kama ipo au haipo tumia simu ya 4gMkuu TTCL 4G imefika Moshi, Kilimanjaro
Niliwambia .nakupa number kwanza. Uniunganishe ikikubali nakutumia hela yako. Akesema hela kwanza,nikaona Mwizi tu Kama wezi wengine.Huyu mikumi ana vielement vya kitapeli, ajue kuna vichwa havitapeliwi
Mkuu hilo bando la tigo linakaa kwa muda gn?Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
Nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-Vifurushi vya chuo
Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-Vifurushi vya chuo
Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb
pia wana vifurushi vya mwezi kwa sh 1500 utapata 2gb, 3000 utapata 4gb na shilingi 5000 utapata 7GB
kujiunga *148*30#
vifurushi vya usiku
kwa shilingi 1000 utapata gb 10 za 4g kuanIa saa 4 usiku hadi 12 asubuhi, kujiunga ni menu ile ile ya *148*30#.
Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu
Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.
Remote
Ni tapeli kweliHuyu mikumi ana vielement vya kitapeli, ajue kuna vichwa havitapeliwi
umejarib kufix netwrk km redmi 3s o note 3 wanavofanya? vp kuhusu IMEI ipo sawa?Hata mimi ninayo hiyo Redmi 2 nilikuwa nimeweka laini ya voda kwa ajili ya kupiga tu maana ilikuwa ina sauti nzuri unapoongea na mtu, ilikuwa na miui 6 ikaniomba ku-upgrade kwenda 7 baada ya ku-upgrade ikaniomba ku-upgrade kwenda miui 8 nikafanya hivyo baada ya hapo hadi leo inaandika no service. Nimetafuta solution mtandaoni na nimefanya kila namna kulingana na maelezo niliyopata lakni hakuna solution. Nimetafuta rom ya miui 6 mtandaoni sijafanikiwa. Nimeamua kuitumia kwa wi-fi tu.
Samahani mkuu....hivi kwa mfano nikanunua line ya ttcl 4g....bt smu yangu hai support....maana n 3g.. Vp inaweza kua compatible.....na speed ya net Ika improve kidogospeed ni nzuri kwangu ila haimaanishi sababu kwangu ni nzuri na kwako pia itakuwa ni nzuri, mitandao ya simu inatofautiana maeneo na maeneo, ni vyema na wewe ukapima eneo lako hio speed
hapo utapata 3g tu, hivyo itategemea na speed ya 3g ya eneo lako, kama una mtu wa karibu hapo ana ttcl unaweza ukatest speed ya 3g kabla hujasajili lineSamahani mkuu....hivi kwa mfano nikanunua line ya ttcl 4g....bt smu yangu hai support....maana n 3g.. Vp inaweza kua compatible.....na speed ya net Ika improve kidogo
siku moja tuMkuu hilo bando la tigo linakaa kwa muda gn?
Powa mkuusiku moja tu
XIAOMI REDMI 2
Technology: GSM / HSPA / LTE
2G bands: GSM 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bands: HSDPA 850 / 1900 / 2100
TD-SCDMA
4G bands : LTE band 3(1800), 7(2600), 38(2600), 39(1900), 40(2300), 41(2500
Mkuu mimi ninayo simu tajwa hapo juu. N version ya kichina. Huwa nikiweka laini inaniambia No service. Lakini katia setting simu inaonyesha laini zimesoma. Huwa inapandisha mtandao nikiwa maeneo ya mjini tu kwa mfano kuanzia ubungo kwenda mpaka mjini. ila kwa maeneo ya mbezi ya kimara ni shida tupu. Nikitaka kutumia mpaka nipate wireless ndipo nitumie. so kwa bands hizo ni laini gani nitumie. nimejaribu laini zote kasoro smart.
Ushauri wako tafadhali.