Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Tunao tumia VPN tunaseleleka kwa kweli
 
Wabongo hawafai, nikiikumbuka Stark vpn napata mpaka hasira, miaka mitatu tulikuwa tunainjoi mwendo ni kimya kimya, kuna kundi hapa duniani limeumbwa lisijue siri zozote ( kinachoendelea) maana fridge hazigandishi
Na ni hivi hakunaga masikini mwenye siri hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…