acontinuer
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 241
- 246
Kuna ukweli gani juu ya hili
Mkuu naomba uniwekee hata link utanisave sana, maana nimeingia huko google chenga tu, niliyofanikiwa kupakuwa hyo siilewi kabisa.BitVPN inakubaali ukiiweka Japan au UK Ila net kuipata lazima uwe mvumilivu kidogo.
View attachment 2171508
Utopolo tu humu. Speed HamnaNyie[emoji7][emoji7][emoji7][emoji119]View attachment 2171814
Imekubali? Kama imekubali nipe maujanja.Nyie[emoji7][emoji7][emoji7][emoji119]View attachment 2171814
Nimepakuwa Ila setting zake sizielewi kabisa.. Huwa wanatoa MB kwa kuangalia video au vp..?
Kwangu speed ipo kasi.jaribu kubadilisha mtangao[emoji849]Utopolo tu humu. Speed Hamna
Tunao tumia VPN tunaseleleka kwa kweliMimi sina roho mbaya ila mambo kama haya ya VPN ukishare na wabongo au public basi tegemeeni kupigwa pini faster.
Kulikuwa na ile stark VPN ilikuwa ni kuteleza daily mb600 tena niikuwa nakimbiza kwa pc full speed, lakini kuna watu wakaanza kuuza na kuna mwingine kaenda kuwaatarifu kabisa wahusika mwishowe wote tukafungiwa mlango kwa nje.
Sometimes ni bora kufuatana pm kwa mwenye shida na kucheza nyuma ya public servers ile kininja full stealth watashangaa kuna mashambulizi lakini wasijue yanatokea wapi na kama kufunga itachukua muda.
Mfano ona huyo jamaa eson jeremy kaenda direct kuwauliza tigo maswala ya huduma za VPN wakati ni wazi hizo vpn ni illegal, dude?
Unatumia ip?Tunao tumia VPN tunaseleleka kwa kweli
Unatumia ip?Tunao tumia VPN tunaseleleka kwa kweli
Na ni hivi hakunaga masikini mwenye siri hapa dunianiWabongo hawafai, nikiikumbuka Stark vpn napata mpaka hasira, miaka mitatu tulikuwa tunainjoi mwendo ni kimya kimya, kuna kundi hapa duniani limeumbwa lisijue siri zozote ( kinachoendelea) maana fridge hazigandishi
When the deal is Too good
Wewe ni tapeli.[emoji116]View attachment 2176369