Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Kajikuta mjanja kumbe bado hajawa making.. na maspy washanote namba kazi anayo.. hapo hakuna Cha anonymous hata nn
Unajikutaga mjanja mkuu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
hizo mbona ni biashara halali kabisa unalipia tigo huko

sio kila kitu ni wizi
 
Naelewa mkuu, Ila issue kubwa ilikuwa ifiche namba yako Ila ukajikologa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mkuu kujikoroga in which way wakati mimi ni marketing officer wa hilo bundle.

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

let
 
Mkuu kujikoroga in which way wakati mimi ni marketing officer wa hilo bundle.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

let
Inabidi tuongee master [emoji23][emoji23] mambo magumu sana.
 
Mm sizijui ila akina mkwawa walikuwa wanaziweka sana humu , watoto wa vpn wamekuja kujaza pages mpaka uzi umepoteza ladha
Dah suala la vpn limekuuma sana mkuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

hebu tengeneza juice ya arovera na pilipili kichaa upoze machungu.

kwa Taarifa yako.mimi ndio niliwasanua wadau kuhusu hayo ma vpn...

na nilipata umaarufu kishenz๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Dah suala la vpn limekuuma sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

hebu tengeneza juice ya arovera na pilipili kichaa upoze machungu.

kwa Taarifa yako.mimi ndio niliwasanua wadau kuhusu hayo ma vpn...

na nilipata umaarufu kishenz[emoji41][emoji41]
[emoji13] yatafute mengine uyalete maana yote ni mavifurushi yasiyo rasmi kama jina la thread lilivyo.[emoji28]
 
Taarifa kwa umma ..

Uongozi wa Team Vpn wa Jf unapenda kuwa taarifu kuwa unafanya kazi changamoto zilizotokea na upo Ktk hatua za mwisho kuja na machimbo mapya ya Vpn ,wadau wote wa Vpn nawapa taarifa njema kuwa wakae mkao wa kula kwani tupo katika hatua majaribio na zinakwenda vizuri #Tuwe Pamoja Ktk kipindi hiki kigumu#MaaduiNiWengi.

A. adriz
Katibu Mkuu
Makao makuu Dom
 
Dah suala la vpn limekuuma sana mkuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

hebu tengeneza juice ya arovera na pilipili kichaa upoze machungu.

kwa Taarifa yako.mimi ndio niliwasanua wadau kuhusu hayo ma vpn...

na nilipata umaarufu kishenz๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
Hongera ndugu msanuaji, hizo VPN tunatumia tangu kitambo sana, ila ni kimya kimya, issue yenyewe ni kinyume cha sheria then una expose mpaka namba za simu eti sadaka WTF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ