Kuna jamaa huko instargram ndio anatangaza kuwa anaonganisha hivyo vifurushi.Hii wewe umetoa wapi ?
Hamna kitu kama hicho huyo ni tapeli mkwepe kama ukomaKuna jamaa huko instargram ndio anatangaza kuwa anaonganisha hivyo vifurushi.
Kweli nimempotezea.Hamna kitu kama hicho huyo ni tapeli mkwepe kama ukoma
Jaman mbon watu mnamadili ivyo na hamshei??????????????????Wale wa free call leo hakuna kitu..nmesikitika sana
Jina la hii website tafadhali mkuuaiseee hapa jirani kuna hotel sasa mdada wa reception nimemtongoza kanipa password ya Wi-Fi yao inakimbia kweri kweri ! nitahakikisha naikamua kweri kweri
View attachment 2200240
hii mkuuJina la hii website tafadhali mkuu
Nahisi ndiyo itakuwa imeisha hiyo maana waungaji nao wamepotea ni kama Goti wamewakamata vileWakuu...baada ya huduma ya free call kuwa disconnected kuna ambaye amesharudishwa?? Au ndo tumepigwa [emoji848]
Nahisi ndiyo itakuwa imeisha hiyo maana waungaji nao wamepotea ni kama Goti wamewakamata vile
Mkuu ukiacha hiyo site, unatumia bit torrent au u torrent ili kupakua hizo movie? Maana kwangu sielewi hukuaiseee hapa jirani kuna hotel sasa mdada wa reception nimemtongoza kanipa password ya Wi-Fi yao inakimbia kweri kweri ! nitahakikisha naikamua kweri kweri
View attachment 2200240
mkuu situmii utorrent au bit torrent au torrent client yoyote . natumia tu hiyo site ambayo ni direct download inadownload moja kwa moja..na IDM ikiwa integrated inakua safi zaidiM
Mkuu ukiacha hiyo site, unatumia bit torrent au u torrent ili kupakua hizo movie? Maana kwangu sielewi huku
Mkuu natafuta setup ya idm ambayo haina expirationmkuu situmii utorrent au bit torrent au torrent client yoyote . natumia tu hiyo site ambayo ni direct download inadownload moja kwa moja..na IDM ikiwa integrated inakua safi zaidi
Hiyo ni slow DNS haiwezi kuwa fast.Ipo Slow saaaanaaaa
Umenena mkuu,Bora ufumbe macho tu uwe unalipia tigo postpaid [emoji2][emoji2]
Mbona SKYVPN ilikuwa faster, Acha ujuaji Sana na roho mbaya. Inakuuma ukiona watu wanafaidika.Hiyo ni slow DNS haiwezi kuwa fast.
Kuna wadau humu wanajitoa fahamu na kujidai eti wanapeta wakati vpn zote zinazopiga mzigo Tz ni slow DNS hata ulipie your freedom nayo inapita mulemule
Kuwa muelewa SKY ni fast DNS kama ilivyokuwa NIC vpn, Tunnel cat, vpn force,High vpn etc protocol ambayo imeblockwa na tigo imebaki slow Dns ambayo max speed haizidi 500KbpsMbona SKYVPN ilikuwa faster, Acha ujuaji Sana na roho mbaya. Inakuuma ukiona watu wanafaidika.
Sijaona kitu chako chochote positive kwenye huu Uzi zaidi ya kujifanya mjuaji na kuleta roho mbaya zako. Kama wewe hazikufaidishi waache ambao zinawafaidisha wengine wanaridhika hivyo hivyo.Roho mbaya bana.
Kuwa muelewa SKY ni fast DNS kama ilivyokuwa NIC vpn, Tunnel cat, vpn force,High vpn etc protocol ambayo imeblockwa na tigo imebaki slow Dns ambayo max speed haizidi 500Kbps
Sasa mbona hapo uliandika VPN zote bongo ni slow DNS? Sometimes Bora unyamaze Tu kuliko kuandika vitu tofauti tofati
Hujielewi!!!Sasa mbona hapo uliandika VPN zote bongo ni slow DNS? Sometimes Bora unyamaze Tu kuliko kuandika vitu tofauti tofauti
View attachment 2204455
Ishushe hapo mkuuMkuu natafuta setup ya idm ambayo haina expiration