Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Kinifurahishacho hapa JF, member wake hatutupani kama WAVUTA SIGARA. Jamaa anakutana na mtu anavuta sigara, walaa hamfahamu, wakati mwingine, bila hata kumsalimia, atamuomba hiyo sigara iliyopo mdomoni, na mvutaji, bila hata hiana, atamuachia!Kizuri kula na wenzako ila hapa leo nipo peke yangu nipe ujuzi na mm nije niwashukuru
iyoVPN zote za kutoa mb kitonga inamaana hamna zingine wazee?[emoji2]
Inaitwaje na inasapoti line gani ?
kuna mtu kanitumia tu ivo nahis ni wire tun iyo sema iko unlimited timeInaitwaje na inasapoti line gani ?
Iko slow hakuna maajabukuna mtu kanitumia tu ivo nahis ni wire tun iyo sema iko unlimited time
Mkuu tuletee na vifurushi vyakuanzia elfu tano nakupanda , haya mavifurushi ya bei gari , kumbuka tupo katika matabaka .VODACOM PACKAGE
SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022
NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.
1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.
2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.
3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.
4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.
5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.
6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.
7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.
8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.
Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
Dah Mzee tushirikishane ndo ipi hyo[emoji16]
Yeah sure hata mwenyewe nimeona ipo km wiretunkuna mtu kanitumia tu ivo nahis ni wire tun iyo sema iko unlimited time
Wire Tun iliyolewaYeah sure hata mwenyewe nimeona ipo km wiretun
VODACOM PACKAGE
SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022
NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.
1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.
2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.
3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.
4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.
5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.
6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.
7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.
8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.
Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
VODACOM PACKAGE
SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022
NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.
1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.
2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.
3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.
4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.
5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.
6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.
7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.
8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.
Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
MUoneni na PengobovuKiongozi tarehe 28/06/2022 ulisema utaanza kutoa hii huduma, ila leo ni tarehe 22 lakini hujaleta feedback yoyote.
Na hata tunakuuliza lakini hujibu chochote ndugu tukueleweje...?
Pre paid auTTCL hatukati bando lako tumia mpaka umalize mwenyewe. hamna kikomo cha Muda
Gb15 kwa 20k
Gb30 kwa 30k
Gb50 kwa 50k
Gb70 kwa 60k
Gb90 kwa 80k
Gb120 kwa 90k
Gb150 kwa 100k
( Kila ofa ina dakika 700 za mitandao yote na SMS 1000 kwa mwaka1)
kwa 10k hamna ndugu?TTCL hatukati bando lako tumia mpaka umalize mwenyewe. hamna kikomo cha Muda
Gb15 kwa 20k
Gb30 kwa 30k
Gb50 kwa 50k
Gb70 kwa 60k
Gb90 kwa 80k
Gb120 kwa 90k
Gb150 kwa 100k
( Kila ofa ina dakika 700 za mitandao yote na SMS 1000 kwa mwaka1)
VODACOM PACKAGE
SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022
NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.
1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.
2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.
3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.
4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.
5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.
6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.
7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.
8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.
Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
cjui ata kapotelea wapMkuu bado unaunga?
sikuizi kote pini hali tete[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]cjui ata kapotelea wap