Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kizuri kula na wenzako ila hapa leo nipo peke yangu nipe ujuzi na mm nije niwashukuru
Kinifurahishacho hapa JF, member wake hatutupani kama WAVUTA SIGARA. Jamaa anakutana na mtu anavuta sigara, walaa hamfahamu, wakati mwingine, bila hata kumsalimia, atamuomba hiyo sigara iliyopo mdomoni, na mvutaji, bila hata hiana, atamuachia!
 
VPN zote za kutoa mb kitonga inamaana hamna zingine wazee?[emoji2]
iyo
IMG-20220617-WA0007.jpg
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.
Mkuu tuletee na vifurushi vyakuanzia elfu tano nakupanda , haya mavifurushi ya bei gari , kumbuka tupo katika matabaka .
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.

Hii huduma imeshaanza kiongozi...?
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.

Kiongozi tarehe 18/06/2022 ulisema utaanza kutoa hii huduma, ila leo ni tarehe 22 lakini hujaleta feedback yoyote.

Na hata tunakuuliza lakini hujibu chochote ndugu tukueleweje...?
 
TTCL hatukati bando lako tumia mpaka umalize mwenyewe. hamna kikomo cha Muda

Gb15 kwa 20k
Gb30 kwa 30k
Gb50 kwa 50k
Gb70 kwa 60k
Gb90 kwa 80k
Gb120 kwa 90k
Gb150 kwa 100k
( Kila ofa ina dakika 700 za mitandao yote na SMS 1000 kwa mwaka1)
Pre paid au
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA NI TAREHE 18/06/2022

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.

Mkuu bado unaunga?
 
Back
Top Bottom