Aisee hii inchi ngumu sana maake hapo nicheke kwanza ππππsikuizi kote pini hali tete[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu hizi GB ni hizo bei kila mwezi au once?TTCL hatukati bando lako tumia mpaka umalize mwenyewe. hamna kikomo cha Muda
Gb15 kwa 20k
Gb30 kwa 30k
Gb50 kwa 50k
Gb70 kwa 60k
Gb90 kwa 80k
Gb120 kwa 90k
Gb150 kwa 100k
( Kila ofa ina dakika 700 za mitandao yote na SMS 1000 kwa mwaka1)
Nadhani amemansha mpka umalize so ukimaliza gb zko lazma uunge nyngneMkuu hizi GB ni hizo bei kila mwezi au once?
Hicho cha 30k ndio mpango mzima ngoja nikasajiri ttcl leoTTCL hatukati bando lako tumia mpaka umalize mwenyewe. hamna kikomo cha Muda
Gb15 kwa 20k
Gb30 kwa 30k
Gb50 kwa 50k
Gb70 kwa 60k
Gb90 kwa 80k
Gb120 kwa 90k
Gb150 kwa 100k
( Kila ofa ina dakika 700 za mitandao yote na SMS 1000 kwa mwaka1)
Mkuu hii naipataje nami naitakaWakubwa, hivi vifurushi hususani vya tigo no Bora other dealers muwaweke wazi watu kwamba ni within 14days kwa kila mwezi. Na pia vile vya free calls kwa sasa vina mushkeli. Ni Bora ujitusu tu ulipie 25k kila mwezi kwa postpaid ulambe 30GB hakuna namna View attachment 2206823
Hizo laini za Airtel bado unazoKuna pre paid Line za airtel zinapatikana Moshi 10k Gb 40 Kwa mwez nlishatumia mara mbili ,Sema Kuzipata kunahitaji Connection ,ambaye anazijua aje inbox atusaidie tupate wengne
Naomba niulize hizo prepaid sim card ndio zinatumikaje au ufanya kazi wake ni tofauti na hizi za kawaida.Kuna pre paid Line za airtel zinapatikana Moshi 10k Gb 40 Kwa mwez nlishatumia mara mbili ,Sema Kuzipata kunahitaji Connection ,ambaye anazijua aje inbox atusaidie tupate wengne
Prepaid ndo hizi line za kawaida, post paid zile za kulipia mwisho wa mweziNaomba niulize hizo prepaid sim card ndio zinatumikaje au ufanya kazi wake ni tofauti na hizi za kawaida.
Ttcl asbh bando ni noma
Imekaaje hii mzeeWale wa vpn naona wire tun kwa ttcl mambo mukide
VPN gan inayo kubaliVpn gani inapiga kazi kwa Airtel wazee?
ec tunnel proVpn gani inapiga kazi kwa Airtel wazee?
Thanks mzee, Kuanzia muda gani?ec tunnel pro
Nimejaribu kuiunga mbona haiendi , nielekeze mtaalam nafanyaje hapoec tunnel pro