Naweka kituo hapaMsaada mtu anaye faham vpn nzur ya free Internet... Inayosapot TTCL na VODAView attachment 2418465
Mkuu umepotea sn kwenye ule uzi wetu wa ETS2.Mweny 5G ya voda,afanye speed test tuone
Nimetokea leo jf mkuu,nmepitia na kuleMkuu umepotea sn kwenye ule uzi wetu wa ETS2.
Usiwaamini sana vijana wa Zenj wengi ni wezi mzeeKuna huyu yupo insta, wakuu kuna ukweli hapa? Au watu wajitolee alafu walete mrejesho anasema yupo zenji.View attachment 2416090
ndio huyohuyo..Usiwaamini sana vijana wa Zenj wengi ni wezi mzee
Mkuu angalia pm kwako tafadhaliNimetokea leo jf mkuu,nmepitia na kule
Tigo wana band 2, 1800 ambayo inapatikana katikati ya majiji na 800 ambayo inapatikana nchi nzima.
1800 ina speed ila coverage ndogo na 800 ina coverage kubwa ila speed ya kawaida.
Ulitest mjini?
Watu wanawanyoosha [emoji3][emoji3]Dah! Epsidode ya dk 50 inapakuliwa kwa 4gb...[emoji3][emoji3]
Hongera mzee ,acha sisi wengine tupambane na kina Netnaija
Mkuu mimi itokee siku tu uje na link ya bus simulator. Nitashukuru sanaNimetokea leo jf mkuu,nmepitia na kule
Kwa mwez unakuwa unalipia bei gansupakasi LTE -FDD
Up to 20mbps-115,000 per month(unlimited)
Requirements
-New line Voda
-Copy tin no
Copy NIDA ID
No installation cost
Popote ulipo Tanzania
Check me 0744355811View attachment 2406051
115,000 tuKwa mwez unakuwa unalipia bei gan
Hata nikipata kile cha gb 30 kwa 25k sio mbayaNaitaji bando za post paid tigo 30,000 @37gb sema sina lesen ya biashara kuna anaweza kunisaidia nikafanikisha hili?? Nitalipa garama za usaidiz
Haya ni matumizi mabaya ya mbs 🤒Dah! Epsidode ya dk 50 inapakuliwa kwa 4gb...[emoji3][emoji3]
Hongera mzee ,acha sisi wengine tupambane na kina Netnaija
Hivi kwa sasa ni kampuni gani ya simu ambayo inatoa vifurushi rahisi vya internet (MBs nyingi kwa pesa kidogo)? Naona kampuni zote zimeamua kukaa kikao cha pamoja kutukandamiza sisi watumiaji kila kukicha ili tukose mahalli pa kukimbilia. Mwanzoni halotel walikuwa nafuu lakini juzi walishusha kiasi cha kifurushi kutoka 10 GB kwa Tsh 10,000 hadi 4.9 GB. Yaani hawa umbwa wameniudhi kweli hadi nimeamua kurudi Vodacom bila kupenda.Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
Kwa Tigo bonyeza *147*00# kisha chagua size yako, unaweza kupata vifurushi vizuri, Ila njia hii sio reliable kwani vifurushi hivyo hubadilika kila Mara.
Vodacom
Vodacom angalia kwenye ya kwako tu, piga *149*03# kuangalia ofa.
Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-Royal bundles pengine kifurushi kizuri zaidi kwa Sasa kinakupa dakika takriban 200 na Internet unlimited kwa 0.5mbps kwa mwezi mzima. Ni vyema kwenda ofisi za Halotel na kununua line ya Royal bundle, pia unaweza kukuunga kwa kubonyeza menu yao ya *148*66#
-Mega bundle kwa shilingi 10,000 Unapata GB 15 ambazo unatumia mb 500 kila siku kwa mwezi, kujiunga ni *150*88#, unakiunga na salio la halopesa.
-Kifurushi Cha usiku kwa 1000 unapata Internet unlimited, kizuri kwa ajili ya kudownload files kubwa Kama games na movies. Kujiunga *148*66# kisha vifurushi maalum (ya kwako tu)
vifurushi vya 4G kuendana na line zao mpya za 4G,
1000 unapata GB 1 kwa siku
5000 unapata GB 7 kwa wiki
10,000 unapata GB 10 kwa mwezi.
TTCL
-bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini.
-Toboa Night navyo ni vifurushi vizuri vya usiku in case Halotel kwako inasumbua ama Haina speed, kwa 500 unapata GB 2 na 1000 unapata GB 10.
Vyote toboa na bandika bandua unajiunga kwa kubonyeza *148*30# kisha TTCL bundles.
-Ofa maalum, pia TTCL Wana ofa mbalimbali Kama vile za sabasaba, nanenane etc ambazo wanazieka kwenye option ya vifurushi maalum,
Mkuu, hii Netnaija ni nini? Inauzwa Tsh ngapi?Dah! Epsidode ya dk 50 inapakuliwa kwa 4gb...[emoji3][emoji3]
Hongera mzee ,acha sisi wengine tupambane na kina Netnaija
Tsh 600 kwa 1 GB inawezekanaje mkuu?Hiyo ya Tigo 600 1gb ni kwa siku au?