Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
 
Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
Asante sana mkuu. Bora nihamie TTCL. Hivi hawa TTCL wana wanazo modems?
 
Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
Hiki cha GB 30 nakitaka mkuu, naoamba msaada namna ya kupataa kwasababu nimeenda mpaka tigo shop wakasemaa vimebadilika.
 
Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
TTCL COPPER ndo nn mkuu?
 
Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
Sasa Hivi tigo(postpaid) wamepunguza GB kwenye kifurushi cha 15000.
 
Tigo wamepunguza gb kwenye postpaid maana nimeenda last week nikaambiwa bundle hizo hazipo ,

Kuna hizo mpya ni utopolo kabisa yan 15k ni gn 7
Labda kuanzia elfu 60 ndio unapata gb za kutosha
 
Mitandao yote inafanana mkuu, hakuna unafuu. Vifurushi vizuri ni Postpaid Tigo, 15,000 GB 13, 25,000 gb 30.

Pia ipo ofa ukinunua router ya 50,000 unapata GB 40 kwa Tigo.

Pia kama upo eneo kuna TTCL copper ni 25000 tu kwa mwezi unlimited 4mbps.
Hawa Ttcl wakisha kufungia hicho ki device chao kinakuwa na uwezo wa kuunganisha watu wangapi?..?
 
Hawa Ttcl wakisha kufungia hicho ki device chao kinakuwa na uwezo wa kuunganisha watu wangapi?..?
Minimum 10, ila router nyengine zinazidi hapo.

Sema 4mbps inatosha watu kama wawili ama watatu tu. Mkiwa wengi itabidi uongeze speed.
 
Minimum 10, ila router nyengine zinazidi hapo.

Sema 4mbps inatosha watu kama wawili ama watatu tu. Mkiwa wengi itabidi uongeze speed.
ukiwa na maana ikiwa ni 4mbps ikatokea mpo watu 4 kila mmoja atatumia 1mbps per each one?..?
 
ukiwa na maana ikiwa ni 4mbps ikatokea mpo watu 4 kila mmoja atatumia 1mbps per each one?..?
Ndio na ni 1mbps kwa maana megabit, Actual speed kwa bytes hapo ni 125 Kilobyte kwa sekunde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…