Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Minimum 10, ila router nyengine zinazidi hapo.

Sema 4mbps inatosha watu kama wawili ama watatu tu. Mkiwa wengi itabidi uongeze speed.
in Bei gani? iyo router na mabando ya mwezi yana Bei gani?

nikinunue nitumie Hapa home wawili tu Mimi na mama watoto.
 
in Bei gani? iyo router na mabando ya mwezi yana Bei gani?

nikinunue nitumie Hapa home wawili tu Mimi na mama watoto.
Hio ni internet isiyohamishika wanakuletea waya Nyumbani. Kuanzia 25,000 kwa mwezi. Unaenda TTCL kuletewa huduma.
 
Hio ni internet isiyohamishika wanakuletea waya Nyumbani. Kuanzia 25,000 kwa mwezi. Unaenda TTCL kuletewa huduma.
Duh hiyo si mpaka uwe umejenga maana Kuna kuhama hizi nyumba za kupanga,

Halafu vipi kuhusu umbali na wtapoungia huo ways?
 
Waya unatoka kwenye nguzo ya simu kama ipo mtaani kwenu.
Habari Chief, nina tigo Postpaid ya 30gb per 25k lakini naona bado haitoshi kwa matumizi, nafikiria nihamie Ttcl adsl kwa 25k

Je kwenye ADSL naweza shusha 100gb kwa mwezi Au nibaki tuu na hii TG postpaid?
 
Habari Chief, nina tigo Postpaid ya 30gb per 25k lakini naona bado haitoshi kwa matumizi, nafikiria nihamie Ttcl adsl kwa 25k

Je kwenye ADSL naweza shusha 100gb kwa mwezi Au nibaki tuu na hii TG postpaid?
Kama una uvumilivu unashusha mkuu, mdogo mdogo.

Kwa siku ukiiacha gb 30 unashusha
 
Chief Mkwawa,, irudiwe hii
 
Habari Chief, nina tigo Postpaid ya 30gb per 25k lakini naona bado haitoshi kwa matumizi, nafikiria nihamie Ttcl adsl kwa 25k

Je kwenye ADSL naweza shusha 100gb kwa mwezi Au nibaki tuu na hii TG postpaid?
Tigo post paid unaipataje na ni gb ngapi?
 
Minimum 10, ila router nyengine zinazidi hapo.

Sema 4mbps inatosha watu kama wawili ama watatu tu. Mkiwa wengi itabidi uongeze speed.
Speed unaongezaje?maana supa kasi ya elfu 50 ya voda aikubali kudownload movies ila youtube poa,netflix n.k kudownload torrent tu ndio mb 200 wiki unaweza usimalize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…