Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Au hiz nd post paid kwa airtel
Mkuu mbona unarudia swali.

1. Airtel hawana post paid. wana Sme.
unajiunga mwenyewe baada ya kuingia kwenye mfumo.

2. Tigo wana postpaid( malipo baada).

Ukiwa na wasiwasi, piga huduma kwa wateja Airtel/Tigo kwa uhakika zaidi..
 
HALOTEL CUG MWEZI MZIMA


Wateja kuanzia watano

16,000
GB 6
DAKIKA 550
SMS 600


26,000
GB 15
DAKIKA 1100
SMS 1000






36,000
GB 23
DAKIKA 1400
SMS 1000


46,000
GB 31
DAKIKA 2000
SMS 1000


56,000
GB 40
DAKIKA 3000
SMS 1000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…