Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu mbna hii huduma hata ofisin inafanyika vzuri tu
 
Kama ni mara ya kwanza lazima ianze kwa kusumbua. Na wakati mwingine server huwa inakuwa busy sana, ikigoma badilisha server

cheza na hizi server 4 za mwanzo

frankfurt..

vienna

amsterdam

na paris
View attachment 2637058
Bila bando haiconnect na pia ikiconnect bando linalika kama kawa.
Naombeni mnieleweshe hapo
Mwalimu akifundisha nilisinzia[emoji23][emoji23]
 
Bila bando haiconnect na pia ikiconnect bando linalika kama kawa.
Naombeni mnieleweshe hapo
Mwalimu akifundisha nilisinzia[emoji23][emoji23]
Iko hivi..

VPN ni mtandao binafsi, ambao unaweza kukupa nafasi ya kuona website zilizofungiwa kama Pornhub hivyo data kwensa sio ishu, ishu ni kwamba uliiwasha vpn for what purpose wakati una DATA😄😄😄

Pili baadhi ya VPN kama hii Ha tunnel, sky vpn, wire tunnel n.k zinakupa access ya kuingia mitandaoni bila kuwa na Bando lolote... hapa Tuliza akili ufundishwe.. ukileta ukorofi unaachwa kama ulivyo.. sio lazima wala
 
Nipo nimetulia nipate madini, sasa huo upande wa kuingia mtandaoni bila bando, nimefata taratibu zote unazoonyesha ila bado inalamba data zangu, ikiwa laini haina bando haiconnect nadhani umenielewa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…