Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kuna ujumbe wako PM naomba uusome
 
After kukamilisha hizo hatua huwa unatumia siku ngapi kumuunganisha mtu na kuanza kupata huduma? Au hadi mtu asubiri hiyo tarehe moja.
Hahitaji kusubiri hadi tarehe moja ila ndani ya siku tatu anakua amepata huduma, some times hadi ndani ya siku hiyo hiyo 0717700921 kwa maelekezo zaidi unaweza kunipigia
 
Hahitaji kusubiri hadi tarehe moja ila ndani ya siku tatu anakua amepata huduma, some times hadi ndani ya siku hiyo hiyo 0717700921 kwa maelekezo zaidi unaweza kunipigia
Ok shukran sana.

Na ikipita hizo siku 3 huduma haijapatikana huenda ikawa dalili ya utapeli, sio?
 
Nipo kujibu kila hoja wakuu, ANY time niulizeni kabla hamjaja na conclusion kua mm ni tapeli, pia niwaombe muwe waaminifu siku mkipata huduma mfute hizo txt mbaya juu yangu !!
Huduma ikipatikana watu watakuwa mashahidi humu wewe wala usijali.

Watu wanahofu tu huduma kuchelewa, si unajua mambo ya mitandaoni tena.
 
Nipo kujibu kila hoja wakuu, ANY time niulizeni kabla hamjaja na conclusion kua mm ni tapeli, pia niwaombe muwe waaminifu siku mkipata huduma mfute hizo txt mbaya juu yangu !!
Mwamba tunakuomba msamaha huduma ipo imefika ingawa nilimpa na mwingine aniunganishe, alisema alituma pia koo kama ni wewe umefanikisha kwangu shukurani, ila kama ni yule mwingine nilie mpa wote shukurani pia,

Koo wadau huduma hii ipo na huwa inachukua mda sana kuunganishwa hata week mbili na zaidi
 
 
Sawa naomba uniletee watu wengine wanaohitaji huduma hii cause wewe umeshaona uhakika wake
 
Usemayo ni kweli, huduma ipo. Watu wanatiririka nayo tu kwa sasa.

Mkuu Hermanx big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…