Africayetuswahilitv
Senior Member
- Sep 24, 2022
- 168
- 221
Menu tunawezesha kwa 10000 tu.. Karibuni..Hiv SME kwa sasa inapatikana!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Menu tunawezesha kwa 10000 tu.. Karibuni..Hiv SME kwa sasa inapatikana!?
Minahitaji lipa namba ya MpesaAnaehitaji lipa namba ya Airtel money nakuunga ndani ya dk 1 kwa gharama ya 3000 tu malipo baada ya kazi ..Faida ukiwa na lipa namba ni kwamba unatoa pesa bila makato ya aina yoyote yale yaani free kabisa..slide my inbox [emoji392] for more informationView attachment 2679486
Ha ha shuhuda tupo tunasubilia ku type tuSawa, ngoja tusubiri shuhuda japo mmoja kwanza.
Mawasiliano yake mkuuWakuu hivi hii ni huduma gani, kuna jamaa niliona anatumia mtandao wa tigo na anapata GB 50 kwa mwezi kwa malipo ya 35000 Tu
Nilikuwa sina laini, ikabidi namie nisajili laini ya tigo na kuwasiliana na Mwamba akanifanyia makeke nikamtumia hela yake 35k nikapata 50 GB zangu saafi
ila shida inakuja kuwa, ukimaliza kutumia hizo GB 50 zako huwezi tena kujiunga kwa kutumia the same laini, inakubidi ubadirishe tena laini
Kwakuwa nilikuwa nimenogewa, nikamcheki tena Mwamba akaniagizia laini yake mwenyewe in short nishatumia 3 months consecutive
Sasa japokuwa naenjoy kupata 50 GB Kwa 35k, ila karaha yake ni hiyo kila ukitaka kuongeza mzigo basi ubadirishe laini, sasa ningependa kujua hii ni Aina gani ya huduma kutoka tigo Kwa wanaoifahamu
Samahani mkuu, jamaa anafanya kwa Siri me mwenyewe nilipata Ganda la ndizi kupitia mtu ambae anahamiana nae
Sema neno na sisi tujilipueHa ha shuhuda tupo tunasubilia ku type tu
mpesa soon itakujaMinahitaji lipa namba ya Mpesa
mkuu mpesa available nowMinahitaji lipa namba ya Mpesa
After kukamilisha hizo hatua huwa unatumia siku ngapi kumuunganisha mtu na kuanza kupata huduma? Au hadi mtu asubiri hiyo tarehe moja.UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO[emoji845]
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,
nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)
Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921
JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
[emoji3591]Kisha chagua no4
[emoji3591]Kisha chagua no 2 (kupata majina)
[emoji3591]Kisha chagua no 6 (tigo business)
[emoji3591]Kisha chagua no 2 (security deposit)
[emoji3591]Kisha chagua no1
[emoji3591]Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
[emoji3591]Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
[emoji3591]Kisha weka no ya siri kudhibitisha!
Ukikamilisha nifahamishe !
Umetangaza vizuri [emoji1]Wakuu hivi hii ni huduma gani, kuna jamaa niliona anatumia mtandao wa tigo na anapata GB 50 kwa mwezi kwa malipo ya 35000 Tu
Nilikuwa sina laini, ikabidi namie nisajili laini ya tigo na kuwasiliana na Mwamba akanifanyia makeke nikamtumia hela yake 35k nikapata 50 GB zangu saafi
ila shida inakuja kuwa, ukimaliza kutumia hizo GB 50 zako huwezi tena kujiunga kwa kutumia the same laini, inakubidi ubadirishe tena laini
Kwakuwa nilikuwa nimenogewa, nikamcheki tena Mwamba akaniagizia laini yake mwenyewe in short nishatumia 3 months consecutive
Sasa japokuwa naenjoy kupata 50 GB Kwa 35k, ila karaha yake ni hiyo kila ukitaka kuongeza mzigo basi ubadirishe laini, sasa ningependa kujua hii ni Aina gani ya huduma kutoka tigo Kwa wanaoifahamu
Sio kweli mkuu, soma comment namba 6649, kuna jamaa kaniomba mawasiliano ya jamaa ila nimechomoa kwa sababu halikuwa lengo kutangaza ila pia sitaki kumwanika MwambaUmetangaza vizuri [emoji1]