Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Soon Halotel na wao watakuja na 5G maana wameshanunua Frequency. Gharama za mwezi zipoje?
 
Ulipe kwa awamu ukiwapa yote inakwenda na maji, hawa jamaa ni pasua kichwa.
Yani hiyo 50K iwe kumshawishi tu alete vifaa

Kwasababu najua kivyovyote hawezi kosa mbinu ya kupata vifaa hivyo.

Na sometimes hao hao ndio wanaoiba vifaa vya kampuni na kwenda kuviuza kwasababu hawapati kitu wanapoenda kumfungia mteja.

Imagine kigogo wa serikali ametaka huduma unafikiri ataambiwa kuwa waya zimeisha?
 
Kuna jamaa wa Zuku aliniambia ukiniletea wateja watano nakupa laki, ina maana yeye anapata mara 2 ama zaidi, wanao TTCL watu wa marketing siku hizi sema bado kuna Disjoint kubwa baina ya marketing na wale wa operation. So ili ufanyiwe mambo yako inabidi wote watatu wa marketing, operation na wanaokuja kumalizia Router mwishoni uwapate. Ila vigogo kama unavyosema ni fasta tu, hata dukani vitanunuliwa.
 
Imerudi bt bei waneongeza mpka 30k
VPN inauzwa 30K

Hahahaha yani hawajifunzi tu

Ulipie 30K afu baada ya siku 2 ifungwe si ugomvi huo tena

Ndio maana naskia kuna vibopa walipoona inazingua zingua wakawa wanapiga simu TTCL customer care naskia walikuwa wanalalamika "hivi mtandao wenu una nini mbona VPN yenu inasumbua sana na nimeunga juzi tu"
 
Yap hilo linawezekana likawa lipo kwenye Zuku kwasababu ni private company juhudi zako kutafuta wateja ndio mshahara wako

Na ndio maana unaona hata kwenye kufanya promosheni wamezagaa sehemu nyingi.

Lakini TTCL nadhani wao wanamchukulia engineer kama mwajiri ambaye tayari malipo yake yapo mwisho wa mwezi, apate wateja asipate hela yake ipo palepale.

Na ndio ukiangalia hata responding yao ni ya kivivu ilihali wamewekewa njia nyepesi sana kusambaza huduma zao maana hata kwenye nguzo za umeme pia wanaweza kupitisha hizo nyaya.
 
Jaribu kuwa approach kwa hela ya ziada maana najua kwasababu kampuni ilitangaza huduma hiyo ni bure so inakuwa ni kama kazi ya wito tu kwa hao wanaofanya installation.

Mtafute mmoja mshikishe hata 50K anaweza kukusaidia.
Sasa mkuu hata nikiwashikisha pesa bado haitasaidia kitu kwa maana hata Hawa watu waliowekea imechukua mwaka mzima mpka kuja kuwekewa na kwakua hio sehem Kuna washua wengi that's why wamefanya Ivo
 
Duuh bado palefu sana mzee
 
Sasa mkuu hata nikiwashikisha pesa bado haitasaidia kitu kwa maana hata Hawa watu waliowekea imechukua mwaka mzima mpka kuja kuwekewa na kwakua hio sehem Kuna washua wengi that's why wamefanya Ivo
Hayo yalikuwa ni maoni yangu tu maana ndio njia pekee ambayo sikuijaribu katika harakati za kupambania kupata huduma yao.

Nimeanza kwenda kwenye ofisi zao mwanzoni mwa 2021 tena kwa request ya copper lakini hakuna nilichokipata.

Hizi ni screenshot za awamu ya pili 2022

Niliamua kuwafuata tweeter

 
Azam wakiingia kwenye hili game wataingia kibiashara zaidi na watalenga watumiaji wa uswazi ambao ndio tupo wengi,kikubwa aweke package za bei rafiki
 
Sasa hivi vifurushi vyote hivi havipatikani. Haya makampuni ya simu yanatukamua zaidi ya waarabu wa DPW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…