Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Naona sasa hivi kuna kaushindani kwa haya mashirika ya simu,kuna kipindi ilikua package zao zinafanana na wakipandisha bei wote wanapandisha ila kwa sasa vifurushi na ofa zao zinatofautiana kidogoHawana kwa sasa, ila trend ya sasa ni kila anaetoa 5G anakuja na unlimited service. Tigo pia kuna wadau humu walisema wanakuja na bando kama supakasi.