Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Oooh ila mkuu SI nilimpigia yule dada ulie nipa namba yake akadai kuwa eneo langu hakuna 5g so ita take time sana mpk kuja kupata vip Kuna njia YOYOTE labda,? Maana uwezo wakununua hio router Ninao
Jana nimeweka namba hapa ya mtu mwingine

Nimeweka na info jinsi gani unaweza kupata hicho kifaa hata kama haupo katika maeneo yenye 5G
 
Oooh ila mkuu SI nilimpigia yule dada ulie nipa namba yake akadai kuwa eneo langu hakuna 5g so ita take time sana mpk kuja kupata vip Kuna njia YOYOTE labda,? Maana uwezo wakununua hio router Ninao
+255 688 070 855
 
Nimekuwekea post ya juu hapo
Nimeongea nae Tayali kasema Jumanne atakuja kunipimia kama 5g inashika kwenye eneo langu anaweza kuniwekea Jumanne hio hio au jumatano na gharama zauwekaji kwa maofisin anasema hautalipia router ila unakua unanunua tu kifurushi Cha 110,000 ambayo ni mbps 30 hope kwa 5g kama itashika naweza kuipata hio mbps 30 kama Ilivyo
 
Hata kama haitoshika atakusajilia katika location yenye 5G kisha atakupa hiyo device ukaitumie popote utapokuwa unataka hata kama hakutakuwa na 5G
 
Na saizi naona soko lipo huku kila kampuni lunapigania kupata wateja kwa offa ya bei nafuu kwa speed ya kuridhisha

Nimeona tangazo la halotel kuhusu 20Mbps unlimited kwa pocket Mi-Fi nao wanauza kwa 115K
Ebu tupia hilo Tangazo, tuanze kupima wapi panavutia zaidi
 
Yeah nashangaa watu wanauziwa ghali sanaa mkuu wakati ni huduma ambazo tunatoa kitonga tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…