Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Jana nimeweka namba hapa ya mtu mwingine

Nimeweka na info jinsi gani unaweza kupata hicho kifaa hata kama haupo katika maeneo yenye 5G
je nikinunua hiyo router kwa matumizi ya nyumbani, nalazimika kulipa kila mwezi?
 
je nikinunua hiyo router kwa matumizi ya nyumbani, nalazimika kulipa kila mwezi?
Kikawaida hiyo Router haiuzwi 200K. Ni beyond

ILa utaratibu walioweka ni kuwa utatoa 200K kama connection fee ili uendelee kulipa 70K kwa kila mwezi kwenye vifurushi vyao.

kama lengo lako ni kununua hiyo Router ili uwe unaitumia kwenye maswala yako binafsi nje na hizo package zao.

Basi gharama itakuwa juu kidogo kwa makadirio ni almost 700K

Voda wanauza 850K
 
Mkuu Kuna kitu nimesahau kukuuliza ivi izi router za Airtel zinaenda umbali Gani ?
 
Hivi Yale matangazo yanayotokeaga wakati unaendelea kutizama kitu YouTube baw zaje kuyafunga yasiwe yanajitokeza msaada plz
 
Hivi Yale matangazo yanayotokeaga wakati unaendelea kutizama kitu YouTube baw zaje kuyafunga yasiwe yanajitokeza msaada plz
1. Unatumia Vpn/dns za kuzuia matangazo kama simu yako ni ya karibuni nenda setting kisha network tafuta menu inaitwa private dns andika dns.adguard.com

2. Kama unataka kublock youtube tu ila kwengine uachie unaweza kuangalia youtube kutumia browser yenye adblocker kama Samsung browser ama firefox. Au ukadownload 3rd party app kama Youtube Vanced.
 
Ooooh sawa chief Wacha nifanye hivo
 
Bila shaka unasajili laini ila ni kwa ajili ya internet tu haipigi simu wala haitumi sms wala haipigiwi nasikia ina speed hatari.. Pia namba yake haianzi na ziro.
Hii huduma unajiunga nayo vipi mkuu nipe mwanga.
Leo nimeenda ofisi za halotel na nimeonesha hiyo menu wanatoa maacho tu wanasema hawajui hii kitu
 
Ukilipia premium yanatoka
Mkuu Hawa Airtel nao mbona bado wababaishi Sasa yule dada tulikubaliana Jumanne atakuja kunipimia ajabu Leo hajafika namtext anananiambia 5g Kigamboni hakuna na ukiweka 4g inashika ila hai support internet dah wazee bado changamoto
 
Mkuu Hawa Airtel nao mbona bado wababaishi Sasa yule dada tulikubaliana Jumanne atakuja kunipimia ajabu Leo hajafika namtext anananiambia 5g Kigamboni hakuna na ukiweka 4g inashika ila hai support internet dah wazee bado changamoto
Basi ni wapumbavu

Huyo dada jana kanipigia simu ananisisitiza nimsaidie kumtafutia watu hata kama hawapo katika maeneo ya 5G saizi anasema hai support sa si ujinga huo
 
Basi ni wapumbavu

Huyo dada jana kanipigia simu ananisisitiza nimsaidie kumtafutia watu hata kama hawapo katika maeneo ya 5G saizi anasema hai support sa si ujinga huo
Alafu ananishauli niwekee bando la elf 75 napata gb 100 dah! Kwa 4g sa SI bola tu niwekee zile ODU kuliko hio hizi company za internet wanalinga sanaa wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…